Killa Cam
JF-Expert Member
- Jun 12, 2022
- 1,880
- 5,471
Ina maana Serikali haina uwezo wa kujenga ghara la kuhifadhi silaha? Serikali huwa ina pesa za anasa tu
Serikali ina hela ya magari ya washawasha na msafari wa rais tu.
Kwioooo
Ina maana Serikali haina uwezo wa kujenga ghara la kuhifadhi silaha? Serikali huwa ina pesa za anasa tu
Sijui kama sasa kuna atakyemgusa ASASIGP Sirro amemshukuru mfanyabiashara maarufu mjini Iringa ASAS kea kulijengea Jeshi la Polisi ghala la kuhifadhia silaha
Sirro amesema yeye ni mwenyeji wa Iringa kwani Form 5 na 6 amesoma Tosamaganga High school
Ikumbukwe tu JPM alisoma Mkwawa na JK alisoma Tosamaganga pia
Source ITV habari
Mungu ni mwema wakati wote
Mkwepa kodiIGP Sirro amemshukuru mfanyabiashara maarufu mjini Iringa ASAS kea kulijengea Jeshi la Polisi ghala la kuhifadhia silaha
Sirro amesema yeye ni mwenyeji wa Iringa kwani Form 5 na 6 amesoma Tosamaganga High school
Ikumbukwe tu JPM alisoma Mkwawa na JK alisoma Tosamaganga pia
Source ITV habari
Mungu ni mwema wakati wote
ASAS hawezi kuguswa kwa sababu ni muadilifuSijui kama sasa kuna atakyemgusa ASAS
Hapana.Mmh ulisoma na Magu nini maana mimi nilienda Tosa miaka ile aliyopita Zitto Kabwe sema alinitangulia miaka kidogo.
Ila mlituogopa.Mkwawa walugaluga walikuwa wengi
Mlikuwa mnakula vibama.Hopellesses kweli!😂😂😂The Highlands naikumbuka daima
Ila Hall lenu lilikuwa zuri sanaIla mlituogopa.
Mlikuwa mkitutembelea mlikuwa mnajiona kama mmefika UDSMIla Hall lenu lilikuwa zuri sana
Chai nilikuwa nakumywa pale kwa TakoreMlikuwa mnakula vibama.Hopellesses kweli!😂😂😂
Hahaha......!Mlikuwa mkitutembelea mlikuwa mnajiona kama mmefika UDSM
Huna lolote weye!Ulikuwa unatia huruma unajibanza kwenye mikaratusi!😂😂😂Chai nilikuwa nakumywa pale kwa Takore
Unawajua police lkn?Hao sio wakuleta nao mazoea,siku ya kugeukwa utajua hujui.ASAS akiingiza sembe nchini kuna Policcm wa kunyanyua bunduki kweli! Maana technically hizo silaa zitakuwa zimetoka kuhifadhiwa kwenye ghala lake.
Siyo ghala la silaha tu.Hata mochwari pale Iringa ilijengwa kwa ufadhili.Ni uzalendo tu.Usiweke mawazo mabayaHaikubaliki serikali kujengewa ghala la silaha na raia na ni kukosa akili kwa viongozi wa taasisi nyeti na ni kujidhalilisha kukiri jambo la kidhaifu mtu namna hii.
Yupo jamaa mmoja ana daladala zake mbovu hazina kibali chochote nyingi zinapita hii barabara ya Morogoro amewashika wakuu wote kuanzia SUMATRA TANROAD huko polisi ndo nyumbani kwake gari yake ikisimamishwa driver ameshapewa maelekezo kama hongo isizidi 5K sasa ole wako uikatae uipige gari yake cheti.ASAS akiingiza sembe nchini kuna Policcm wa kunyanyua bunduki kweli! Maana technically hizo silaa zitakuwa zimetoka kuhifadhiwa kwenye ghala lake.
Mkwawa waliwawekea magogo timu yetu ya soka ya Tosa na kuwarushia maweIla mlituogopa.
Hiyo hadithi itakuwa ni kabla ya uhuru wa Tanganyika.Mkwawa waliwawekea magogo timu yetu ya soka ya Tosa na kuwarushia mawe
Basi siku ya pili waalimu wetu wakaruhusu watata kama watu wa Tarime wao tu wapande bedford yetu wakalinde heshima ya jina la shule yetu.
Kiliumana kweli kweli.. wajuba walitoa kipigo kikali hadi waalimu wetu walijilaumu.
Magu alikataa haya mambo kijeuri kabisa.Haikubaliki serikali kujengewa ghala la silaha na raia na ni kukosa akili kwa viongozi wa taasisi nyeti na ni kujidhalilisha kukiri jambo la kidhaifu mtu namna hii.
Hahahahahaaaaa!!! Hapo kulikuwa na msukumo wa msukuma mwanasiasa nguli chuma cha shoka… JPM.. ama sivyo mambo yangekuwa shwari mujaribu…Unawajua police lkn?Hao sio wakuleta nao mazoea,siku ya kugeukwa utajua hujui.
Muulize yule Singasinga,picha moja hapo akiwakabidhi police misaada na wakichekelea mpk jino la mwisho,Ila kilichokuja kufata ITV sasa.View attachment 2270955View attachment 2270956View attachment 2270958