Halafu anatokea mtu mmoja anasema sio kila rushwa ina madhara, baadhi ya watanzania sijui wana akili gani yaani uovu unachukulia ni jambo la kawaida wanasahau kuwa hata onyo linafaa kutumika lakini wanaikubali rushwa! Then kuna siku watarudi hapa na kusema nchi imetapakaa rushwa kila sehemu wakati wao ni wazoefu wa kutoa. Rushwa ni adui wa haki.Hii nchi raha saana yaani uovu unajengewa nyumba yaani...what a hell...mijitu imeshakuwa addicted na maisha ya hovyohovyo. Hivi Kila kosa lznmtu atoe helaa mengine si onyo au kalipio yaani mtu akikosea tuu azame mfukoni.....aisee
Acha udhalilishaji na dharau kwanza maana inafuta hoja talk nzuri sana,Kua Emolo/mbilikimo si matakwa yakeHuwa kanakuwa njia panda ya Kawe pale Maringo na kuna muda huwa anakuwa njia panda ya Kawe pale Lugalo na wakati mwingine anakuwa Mbezi Beach Tangi Bovu.
Ni Trafiki ambaye mara kwa mara nimeona Watu wakimsifia kwa Kufanya Mbwembwe zake huku akiongoza Magari na nadhani huenda hili ndilo linamfanya hata akichukua Rushwa asijulikane na asijadiliwe Mitandaoni.
Leo kwa macho yangu mida ya 9 Kasorobo huyu Trafiki Mbilikimo ( Emolo ) ila mwenye Mbwembwe jirani kabisa na ilipo Benki ya NBC Tangi Bovu akiwa anakagua Gari ya Dada Mmoja hivi iliyogongana na nyingine aliisimamisha Gari aina ya Canter ( Kenta ) iliyobeba Mbao kisha akawahi kwa Dereva na akapewa Tsh 5,000/= ambayo aliikunja Kiustadi na kuitumbukiza Mfukoni na kuendelea na Maisha.
Huku nikidhani kuwa huenda Tukio hilo la Kipumbavu na Kinyume na Maadili ya Kipolisi niliona peke yangu kumbe hata baadhi ya Madereva Bodaboda baadhi Jirani waliona na Kunishangaa huku wakisema kuwa Mimi ni Mgeni wa huyo Trafiki kwani Wao wameshamzoea na kwamba kwa Siku akikosakosa mno Pesa kuanzia Asubuhi hadi Jioni hakosi kati ya Tsh 50,0000/= hadi 75,000/=
Najua Maisha sasa ni Magumu hivyo kuna muda Mtu anaamua Kujiongeza kwa namna namna ila basi Staha itumike pamoja na Umakini.
Yaani kwa namna alivyoichukua ile Pesa ( Rushwa ) kiukweli imeonyesha kuwa haogopi, anajiamini na anaidharau ile Uniform yake na hata Jeshi la Polisi.
Mwisho IGP ikikupendeza kwa nia njema tu muonye huyu Kijana wako ( Trafiki ) aachane mno na tabia yake ya Kupenda tu Kutongoza hovyo Wanawake ambao huwa anasimamisha Gari zao ama Kuzikagua au kwa Makosa kweli ya barabarani.
Kuna Njemba moja anamlia sana Timing kwani ameshatonywa kuwa haka Katrafiki Emolo ( Mbilikimo ) kamemtongoza Mkewe na anahisi ameshatinduana ( fanyana nae ) na Jamaa ( mwenye Mke ) kasema Yeye hatofanya kama Hamza alivyofanya kwa Polisi wako Salenda Briji ila atamsodoma na kumgomora kwa kuelekea usawa wa ilipo kwa Mpalange yake.
Mdhibitini upesi sana asipende Rushwa.
Shida yako ni wivu anamdonoa mke wako!Huwa kanakuwa njia panda ya Kawe pale Maringo na kuna muda huwa anakuwa njia panda ya Kawe pale Lugalo na wakati mwingine anakuwa Mbezi Beach Tangi Bovu.
Ni Trafiki ambaye mara kwa mara nimeona Watu wakimsifia kwa Kufanya Mbwembwe zake huku akiongoza Magari na nadhani huenda hili ndilo linamfanya hata akichukua Rushwa asijulikane na asijadiliwe Mitandaoni.
Leo kwa macho yangu mida ya 9 Kasorobo huyu Trafiki Mbilikimo ( Emolo ) ila mwenye Mbwembwe jirani kabisa na ilipo Benki ya NBC Tangi Bovu akiwa anakagua Gari ya Dada Mmoja hivi iliyogongana na nyingine aliisimamisha Gari aina ya Canter ( Kenta ) iliyobeba Mbao kisha akawahi kwa Dereva na akapewa Tsh 5,000/= ambayo aliikunja Kiustadi na kuitumbukiza Mfukoni na kuendelea na Maisha.
Huku nikidhani kuwa huenda Tukio hilo la Kipumbavu na Kinyume na Maadili ya Kipolisi niliona peke yangu kumbe hata baadhi ya Madereva Bodaboda baadhi Jirani waliona na Kunishangaa huku wakisema kuwa Mimi ni Mgeni wa huyo Trafiki kwani Wao wameshamzoea na kwamba kwa Siku akikosakosa mno Pesa kuanzia Asubuhi hadi Jioni hakosi kati ya Tsh 50,0000/= hadi 75,000/=
Najua Maisha sasa ni Magumu hivyo kuna muda Mtu anaamua Kujiongeza kwa namna namna ila basi Staha itumike pamoja na Umakini.
Yaani kwa namna alivyoichukua ile Pesa ( Rushwa ) kiukweli imeonyesha kuwa haogopi, anajiamini na anaidharau ile Uniform yake na hata Jeshi la Polisi.
Mwisho IGP ikikupendeza kwa nia njema tu muonye huyu Kijana wako ( Trafiki ) aachane mno na tabia yake ya Kupenda tu Kutongoza hovyo Wanawake ambao huwa anasimamisha Gari zao ama Kuzikagua au kwa Makosa kweli ya barabarani.
Kuna Njemba moja anamlia sana Timing kwani ameshatonywa kuwa haka Katrafiki Emolo ( Mbilikimo ) kamemtongoza Mkewe na anahisi ameshatinduana ( fanyana nae ) na Jamaa ( mwenye Mke ) kasema Yeye hatofanya kama Hamza alivyofanya kwa Polisi wako Salenda Briji ila atamsodoma na kumgomora kwa kuelekea usawa wa ilipo kwa Mpalange yake.
Mdhibitini upesi sana asipende Rushwa.
Huwa kanakuwa njia panda ya Kawe pale Maringo na kuna muda huwa anakuwa njia panda ya Kawe pale Lugalo na wakati mwingine anakuwa Mbezi Beach Tangi Bovu.
Ni Trafiki ambaye mara kwa mara nimeona Watu wakimsifia kwa Kufanya Mbwembwe zake huku akiongoza Magari na nadhani huenda hili ndilo linamfanya hata akichukua Rushwa asijulikane na asijadiliwe Mitandaoni.
Leo kwa macho yangu mida ya 9 Kasorobo huyu Trafiki Mbilikimo ( Emolo ) ila mwenye Mbwembwe jirani kabisa na ilipo Benki ya NBC Tangi Bovu akiwa anakagua Gari ya Dada Mmoja hivi iliyogongana na nyingine aliisimamisha Gari aina ya Canter ( Kenta ) iliyobeba Mbao kisha akawahi kwa Dereva na akapewa Tsh 5,000/= ambayo aliikunja Kiustadi na kuitumbukiza Mfukoni na kuendelea na Maisha.
Huku nikidhani kuwa huenda Tukio hilo la Kipumbavu na Kinyume na Maadili ya Kipolisi niliona peke yangu kumbe hata baadhi ya Madereva Bodaboda baadhi Jirani waliona na Kunishangaa huku wakisema kuwa Mimi ni Mgeni wa huyo Trafiki kwani Wao wameshamzoea na kwamba kwa Siku akikosakosa mno Pesa kuanzia Asubuhi hadi Jioni hakosi kati ya Tsh 50,0000/= hadi 75,000/=
Najua Maisha sasa ni Magumu hivyo kuna muda Mtu anaamua Kujiongeza kwa namna namna ila basi Staha itumike pamoja na Umakini.
Yaani kwa namna alivyoichukua ile Pesa ( Rushwa ) kiukweli imeonyesha kuwa haogopi, anajiamini na anaidharau ile Uniform yake na hata Jeshi la Polisi.
Mwisho IGP ikikupendeza kwa nia njema tu muonye huyu Kijana wako ( Trafiki ) aachane mno na tabia yake ya Kupenda tu Kutongoza hovyo Wanawake ambao huwa anasimamisha Gari zao ama Kuzikagua au kwa Makosa kweli ya barabarani.
Kuna Njemba moja anamlia sana Timing kwani ameshatonywa kuwa haka Katrafiki Emolo ( Mbilikimo ) kamemtongoza Mkewe na anahisi ameshatinduana ( fanyana nae ) na Jamaa ( mwenye Mke ) kasema Yeye hatofanya kama Hamza alivyofanya kwa Polisi wako Salenda Briji ila atamsodoma na kumgomora kwa kuelekea usawa wa ilipo kwa Mpalange yake.
Mdhibitini upesi sana asipende Rushwa.
Hajawahi kutokea huyo traffic Tanzania 🇹🇿 Labda waeke marobotiHayupo na hakuwahi tokea askari trafic wa TZ asiyepokea rushwa.
Kama hautaki jinyonge
Japo kapicha mkuu ili tukuaminiHuwa kanakuwa njia panda ya Kawe pale Maringo na kuna muda huwa anakuwa njia panda ya Kawe pale Lugalo na wakati mwingine anakuwa Mbezi Beach Tangi Bovu.
Ni Trafiki ambaye mara kwa mara nimeona Watu wakimsifia kwa Kufanya Mbwembwe zake huku akiongoza Magari na nadhani huenda hili ndilo linamfanya hata akichukua Rushwa asijulikane na asijadiliwe Mitandaoni.
Leo kwa macho yangu mida ya 9 Kasorobo huyu Trafiki Mbilikimo ( Emolo ) ila mwenye Mbwembwe jirani kabisa na ilipo Benki ya NBC Tangi Bovu akiwa anakagua Gari ya Dada Mmoja hivi iliyogongana na nyingine aliisimamisha Gari aina ya Canter ( Kenta ) iliyobeba Mbao kisha akawahi kwa Dereva na akapewa Tsh 5,000/= ambayo aliikunja Kiustadi na kuitumbukiza Mfukoni na kuendelea na Maisha.
Huku nikidhani kuwa huenda Tukio hilo la Kipumbavu na Kinyume na Maadili ya Kipolisi niliona peke yangu kumbe hata baadhi ya Madereva Bodaboda baadhi Jirani waliona na Kunishangaa huku wakisema kuwa Mimi ni Mgeni wa huyo Trafiki kwani Wao wameshamzoea na kwamba kwa Siku akikosakosa mno Pesa kuanzia Asubuhi hadi Jioni hakosi kati ya Tsh 50,0000/= hadi 75,000/=
Najua Maisha sasa ni Magumu hivyo kuna muda Mtu anaamua Kujiongeza kwa namna namna ila basi Staha itumike pamoja na Umakini.
Yaani kwa namna alivyoichukua ile Pesa ( Rushwa ) kiukweli imeonyesha kuwa haogopi, anajiamini na anaidharau ile Uniform yake na hata Jeshi la Polisi.
Mwisho IGP ikikupendeza kwa nia njema tu muonye huyu Kijana wako ( Trafiki ) aachane mno na tabia yake ya Kupenda tu Kutongoza hovyo Wanawake ambao huwa anasimamisha Gari zao ama Kuzikagua au kwa Makosa kweli ya barabarani.
Kuna Njemba moja anamlia sana Timing kwani ameshatonywa kuwa haka Katrafiki Emolo ( Mbilikimo ) kamemtongoza Mkewe na anahisi ameshatinduana ( fanyana nae ) na Jamaa ( mwenye Mke ) kasema Yeye hatofanya kama Hamza alivyofanya kwa Polisi wako Salenda Briji ila atamsodoma na kumgomora kwa kuelekea usawa wa ilipo kwa Mpalange yake.
Mdhibitini upesi sana asipende Rushwa.
Kwa sisi madereva wakongwe kitambo hicho hapa mjini,umenikumbushs kulikuwa na traffic
Alikuwa mkuda naye anaitwa "kimti"
Alikuwa anapenda sana kukaa pale magomeno
Mataa ,alisumbua sana enzi zake ila alikuja letewa zengwe alipotezwa kabisa alitupwa
Mkoano huko akapoteaa
Ova
Trafiki na rushwa barabarani ni kama uji na mgonjwa, kila wanasimamisha ya gari la abiria au la mizigo na kujifanya wanakagua leseni nk, dereva huchukua hela na kuiweka kwenye leseni na kumpa askari. Askari alishaondoka he la "yake" humrudishia dereva leseni na safari kuendelea mpaka atakaposimamishwa tena na kurudia zoezi.Huwa kanakuwa njia panda ya Kawe pale Maringo na kuna muda huwa anakuwa njia panda ya Kawe pale Lugalo na wakati mwingine anakuwa Mbezi Beach Tangi Bovu.
Ni Trafiki ambaye mara kwa mara nimeona Watu wakimsifia kwa Kufanya Mbwembwe zake huku akiongoza Magari na nadhani huenda hili ndilo linamfanya hata akichukua Rushwa asijulikane na asijadiliwe Mitandaoni.
Leo kwa macho yangu mida ya 9 Kasorobo huyu Trafiki Mbilikimo ( Emolo ) ila mwenye Mbwembwe jirani kabisa na ilipo Benki ya NBC Tangi Bovu akiwa anakagua Gari ya Dada Mmoja hivi iliyogongana na nyingine aliisimamisha Gari aina ya Canter ( Kenta ) iliyobeba Mbao kisha akawahi kwa Dereva na akapewa Tsh 5,000/= ambayo aliikunja Kiustadi na kuitumbukiza Mfukoni na kuendelea na Maisha.
Huku nikidhani kuwa huenda Tukio hilo la Kipumbavu na Kinyume na Maadili ya Kipolisi niliona peke yangu kumbe hata baadhi ya Madereva Bodaboda baadhi Jirani waliona na Kunishangaa huku wakisema kuwa Mimi ni Mgeni wa huyo Trafiki kwani Wao wameshamzoea na kwamba kwa Siku akikosakosa mno Pesa kuanzia Asubuhi hadi Jioni hakosi kati ya Tsh 50,0000/= hadi 75,000/=
Najua Maisha sasa ni Magumu hivyo kuna muda Mtu anaamua Kujiongeza kwa namna namna ila basi Staha itumike pamoja na Umakini.
Yaani kwa namna alivyoichukua ile Pesa ( Rushwa ) kiukweli imeonyesha kuwa haogopi, anajiamini na anaidharau ile Uniform yake na hata Jeshi la Polisi.
Mwisho IGP ikikupendeza kwa nia njema tu muonye huyu Kijana wako ( Trafiki ) aachane mno na tabia yake ya Kupenda tu Kutongoza hovyo Wanawake ambao huwa anasimamisha Gari zao ama Kuzikagua au kwa Makosa kweli ya barabarani.
Kuna Njemba moja anamlia sana Timing kwani ameshatonywa kuwa haka Katrafiki Emolo ( Mbilikimo ) kamemtongoza Mkewe na anahisi ameshatinduana ( fanyana nae ) na Jamaa ( mwenye Mke ) kasema Yeye hatofanya kama Hamza alivyofanya kwa Polisi wako Salenda Briji ila atamsodoma na kumgomora kwa kuelekea usawa wa ilipo kwa Mpalange yake.
Mdhibitini upesi sana asipende Rushwa.
Alisumbua sana....😂😂Kimti mtu mmoja mfupi mweusi ali pelekwa Lindi .
Kweli kabisaTrafiki na rushwa barabarani ni kama uji na mgonjwa, kila wanasimamia ya gari la abiria au la mizigo na kujifanya wanakagua leseni nk, dereva huchukua hela na kuiweka kwenye leseni na kumpa askari. Askari alishaondoka he la "yake" humrudishia dereva leseni na safari kuendelea mpaka atakaposimamishwa tena na kurudia zoezi.
Yaani sijui POPOMA amezaliwa upya?Worning ni Kiingereza au Kijerumani?
Shida yako ni wivu anamdonoa mke wako!
Huenda wewe ni trafic mwenzake unamuonea donge. Mimi nikipitaga pale natamani nishuke nimpe hela sema naona ka mtaona natoa rushwa, nampenda sana.
Hii ni kawaida ungekuwa hata wewe ungechukua. Polisi nao ni binadamu Kama sisi sio kuwa wao ni malaika. Rushwa mpaka ni dunia nzima.polisi kutongoza sio dhambi. Ke si anamkataa kwani akalazimishwa kuwa amkubali. Tongozo ni kawaida kabisa Kama amevutiwa na ke aingize vocals kistaarabu basi atakayemuelewa atatoa ke ampe.Huwa kanakuwa njia panda ya Kawe pale Maringo na kuna muda huwa anakuwa njia panda ya Kawe pale Lugalo na wakati mwingine anakuwa Mbezi Beach Tangi Bovu.
Ni Trafiki ambaye mara kwa mara nimeona Watu wakimsifia kwa Kufanya Mbwembwe zake huku akiongoza Magari na nadhani huenda hili ndilo linamfanya hata akichukua Rushwa asijulikane na asijadiliwe Mitandaoni.
Leo kwa macho yangu mida ya 9 Kasorobo huyu Trafiki ila mwenye Mbwembwe jirani kabisa na ilipo Benki ya NBC Tangi Bovu akiwa anakagua Gari ya Dada Mmoja hivi iliyogongana na nyingine aliisimamisha Gari aina ya Canter ( Kenta ) iliyobeba Mbao kisha akawahi kwa Dereva na akapewa Tsh 5,000/= ambayo aliikunja Kiustadi na kuitumbukiza Mfukoni na kuendelea na Maisha.
Huku nikidhani kuwa huenda Tukio hilo la Kipumbavu na Kinyume na Maadili ya Kipolisi niliona peke yangu kumbe hata baadhi ya Madereva Bodaboda baadhi Jirani waliona na Kunishangaa huku wakisema kuwa Mimi ni Mgeni wa huyo Trafiki kwani Wao wameshamzoea na kwamba kwa Siku akikosakosa mno Pesa kuanzia Asubuhi hadi Jioni hakosi kati ya Tsh 50,0000/= hadi 75,000/=
Najua Maisha sasa ni Magumu hivyo kuna muda Mtu anaamua Kujiongeza kwa namna namna ila basi Staha itumike pamoja na Umakini.
Yaani kwa namna alivyoichukua ile Pesa ( Rushwa ) kiukweli imeonyesha kuwa haogopi, anajiamini na anaidharau ile Uniform yake na hata Jeshi la Polisi.
Mwisho IGP ikikupendeza kwa nia njema tu muonye huyu Kijana wako ( Trafiki ) aachane mno na tabia yake ya Kupenda tu Kutongoza hovyo Wanawake ambao huwa anasimamisha Gari zao ama Kuzikagua au kwa Makosa kweli ya barabarani.
Mdhibitini upesi sana asipende Rushwa.
Kwa hiyo unashauri huyo dereva asingekubali kutoa buku tano,na angekubali kulipa fine ya 30000!?Rushwa zote zina madhara, hii kauli ya kuwa sio kila rushwa ina madhara ndizo zinazopelekea kukua kwa tatizo! Tunakoelekea tunalibomoa taifa. Narudia tena "RUSHWA ZOTE ZINA MADHARA"
Kununua haki yako kuna madhara!!