MGOGOHALISI
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 1,984
- 2,587
Hela ya brashi tu mshaanza kutoa mimacho.
Anaitwa Dogo Ashirafu, nishamPa pesa tu bila kuombwa miaka ile 2017-2018 akiwa Bamaga kabla sijahamia huku MkoaniNgoja tukupe taarifa Huyo Mwamba Sharif ana Mashabiki wake kutokana na style yake ya ufanyaji kazi hivyo watu huwa wana mpa tuu fedha hizo buku tano ,buku kumi kawaida sana.
Rushwa zote zina madhara, hii kauli ya kuwa sio kila rushwa ina madhara ndizo zinazopelekea kukua kwa tatizo! Tunakoelekea tunalibomoa taifa. Narudia tena "RUSHWA ZOTE ZINA MADHARA"Siyo kila Rushwa ina madhara, zingine zinafaida, hapo dereva angepigwa fine la 30 lakini Askari kamuonea huruma na kumpaa worning kwa buku tano,hata ningekua Mimi ningekubali kutoa la tano kuliko kutoa la 30 na Uchumi huu!!