Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 27,945
- 74,209
Halafu anatokea mtu mmoja anasema sio kila rushwa ina madhara, baadhi ya watanzania sijui wana akili gani yaani uovu unachukulia ni jambo la kawaida wanasahau kuwa hata onyo linafaa kutumika lakini wanaikubali rushwa! Then kuna siku watarudi hapa na kusema nchi imetapakaa rushwa kila sehemu wakati wao ni wazoefu wa kutoa. Rushwa ni adui wa haki.Hii nchi raha saana yaani uovu unajengewa nyumba yaani...what a hell...mijitu imeshakuwa addicted na maisha ya hovyohovyo. Hivi Kila kosa lznmtu atoe helaa mengine si onyo au kalipio yaani mtu akikosea tuu azame mfukoni.....aisee