Isije kuwa wewe ndo mwenye mke aliyetinduliwa na Emolo, maana si kwa kusaga kunguni huku......anyway, hiyo ya kubrashia viatu ilishapewa baraka na mamlaka ya juu, ingawaje walimu nao wangeruhusiwa kuchukua ya maziwa kwa ajili ya vumbi la chaki, halikadhalika wahudumu wa afya wachukue ya gloves na maafisa mifugo walambe ya kukagulia nyama. Kilichonishangaza ni bodaboda kufuatilia mahesabu ya mlungula anaolamba Emolo kwamba ni 50 hadi 75 kwa siku, sijui hiyo chobingo ya kusoma milungula wanakuwa wanaifanyia wapi....