nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,929
Hakuna utumishi wa mungu mle.Gwajima ni mtumishi wa Mungu sio sawa kumlinganisha na walevi
Hakuna utumishi wa mungu mle.Gwajima ni mtumishi wa Mungu sio sawa kumlinganisha na walevi
Siyo wapinzani tu wanakamatwa kwa maagizo ya mdomoni, hata watumishi na watendaji wa umma wanakamatwa na kuswekwa mahabusu kwa maagizo ya mdomoni!Imekuwa kawaida kwa viongozi wa vyama vya upinzani kukamatwa kwa maagizo ya mdomo ya 'wakubwa' chamani na Serikalini
Sirro ni mpumbavu tu kama wapumbavu wengine!Jamaa Sirro mjanja sana, hataki msala kama wa sabaya wa kupokea tu maagizo ya wakubwa bila official statement kimaandishi.
hii ni nzuri kama akija kupata msala kama sabaya anaonesha evidences za maagizo hayo kimaandishi
Mtumishi wa Mungu yupi?Gwajima ni mtumishi wa Mungu sio sawa kumlinganisha na walevi
Unadhalilisha familia yako,ukoo wako na wanawake wenzako.I.J.P ndio Nini kumbe kilaza hivi
USSR
Maigizo ya wanakijani na vyombo vyao saidizi.IGP Sirro amedai kuwa jeshi la polisi haliwezi kumkamata mtu bila ya kuwepo mlalamikaji! IGP Sirro huyohuyo na jeshi lake la polisi wamekuwa na mfululizo wa kuwakamata wafuasi wa Chadema makanisani kwa madai ya kufanya fujo makanisani huku makanisa husika yakikanusha kuhusu uwepo wa fujo! Hapa ndipo ninapojikuta siielewi lugha anayoongea mtukufu IGP Sirro ya siyo ndiyo ndiyo siyo.