Acha woga mtoto wa kiume.dah huyo jamaa jasiri sana yani unanyooshewa bastola ndio kwanza unamuambia pasua. Mimi ningezimia ama ningetimua mbio.
Pia hyo shaban amekosea huwezi kumnyooshea mtu bastola hivyo kwa bahati mbaya risasi ikafyayuka. Vitu vingine inabidi kutumia hekima tu hasa ukiwa na hasira
wapinzani wa nini?Wapinzani walisema huyo ni Mkuu wa wilaya
Na aliyemtolea silaha nape?Well done kamanda Sirro. Tunataka polisi iwe active namna hii. Lie tukio lilikuwa baya sana na kimsingi yule mwenye bastola hatakiwi kumiliki silaha za moto kwa namna yoyote. Ni kichaa yule na alichofanya ni unyama.
Angekutana na jamaa mmoja anaitwa ukiwaona ditopile mzuzuri sa hivi ingekua habari nyingine.***** ..ukisikia mtu anasema alizaliwa siku moja atakufa siku moja, basi hapo hata kama umeenda na vifaru we rudi navyo tu..
DaaaahLazima umtaje Laazizi wako
mzee wa kujilipua kama mfuasi wa IS***** ..ukisikia mtu anasema alizaliwa siku moja atakufa siku moja, basi hapo hata kama umeenda na vifaru we rudi navyo tu..
Siyo uwoga wewee mgerasi. Hicho kitu mguu wa kuku hataree. Yani kitu ukipress tu kinatoa vitu vyenye ncha kali/butu vinavyoruka hewani kwa kasi ya ajabu pah pah paah. Dah mzungu maamae hajakariri kasoma nakuelewaAcha woga mtoto wa kiume.
Hapo ni ishara binadamu kafika mwisho sasa yupo kwa lolote***** ..ukisikia mtu anasema alizaliwa siku moja atakufa siku moja, basi hapo hata kama umeenda na vifaru we rudi navyo tu..
kwa ruge hapo jaziapo nyama kidogo.Ni mume wa Zamaradi Mketema..
Jamaa ndiyo alimfanya Ruge Mutahaba(R.I.P) alie kama mtoto kwenye simu anavyombembeleza Zamaradi..
Pia inasemekana ni Binamu wa Waziri Mkuu..
fukua sana topeMwanaume anaeweza kufanya ushenzi kama huo barabarani humo ndani sijui anaishije na Zamaradi.
Naye ndo mjinga kweli akaamua akajichukukie ukimwifukua sana tope
Kwahyo mtu akishika hiyo kitu akataka kumchukia mkeo utakubali kids kinatoa hivyo vitu?Siyo uwoga wewee mgerasi. Hicho kitu mguu wa kuku hataree. Yani kitu ukipress tu kinatoa vitu vyenye ncha kali/butu vinavyoruka hewani kwa kasi ya ajabu pah pah paah. Dah mzungu maamae hajakariri kasoma nakuelewa
Sina mke weweeeKwahyo mtu akishika hiyo kitu akataka kumchukia mkeo utakubali kids kinatoa hivyo vitu?
Ukawaulize wahusika. Mimi nimezungumzia hili tukio. Au uliambiwa mimi ni msemaje wa polisi?Na aliyemtolea silaha nape?
Mwanangu, wewe mwanaume wa Dar es salaaamdah huyo jamaa jasiri sana yani unanyooshewa bastola ndio kwanza unamuambia pasua. Mimi ningezimia ama ningetimua mbio.
Pia hyo shaban amekosea huwezi kumnyooshea mtu bastola hivyo kwa bahati mbaya risasi ikafyayuka. Vitu vingine inabidi kutumia hekima tu hasa ukiwa na hasira
Anaetishia au anaetishiwa?Huyu jamaa atakuwa HIV +