engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Wana JF ktk magazeti ya leo nimesikia kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Saidi Mwema anategemea kupokea TUZO inayohusu AMANI hapa Tanzania,
Swali langu hapo ni kwamba ni lipi haswa alilofanya mkuu huyo mpaka apewe TUZO hiyo? ama anapewa hiyo Tuzo kwa kuwa Polisi wake wamekuwa wakishiliki ktk mauwaji ya watu wasio na hatia?
Kwani Sio siri kwamba Jeshi la Polisi Tanzania lina sifa chafu na yayumkinika kuamini kuwa ni taasisi inayochukiwa sana na walalahoi.Sifa kuu mbili za jeshi hili linaloongozwa na IGP Saidi Mwema ni :-
1) RUSHWA ILIYOKUBUHU na
2) UBABE WA KUPINDUKIA.
na hata ukisoma mhalili wa gazeti la( 01/06/2011) Tanzania daima lina sema POLISI WATASABABISHA VITA
Sasa inakuwaje tena IGP Mwema apewe Tuzo ya amani kama bado kuna kasoro nyingi zinazojitokeza ktk chombo anachokiongoza?
Swali langu hapo ni kwamba ni lipi haswa alilofanya mkuu huyo mpaka apewe TUZO hiyo? ama anapewa hiyo Tuzo kwa kuwa Polisi wake wamekuwa wakishiliki ktk mauwaji ya watu wasio na hatia?
Kwani Sio siri kwamba Jeshi la Polisi Tanzania lina sifa chafu na yayumkinika kuamini kuwa ni taasisi inayochukiwa sana na walalahoi.Sifa kuu mbili za jeshi hili linaloongozwa na IGP Saidi Mwema ni :-
1) RUSHWA ILIYOKUBUHU na
2) UBABE WA KUPINDUKIA.
na hata ukisoma mhalili wa gazeti la( 01/06/2011) Tanzania daima lina sema POLISI WATASABABISHA VITA
Sasa inakuwaje tena IGP Mwema apewe Tuzo ya amani kama bado kuna kasoro nyingi zinazojitokeza ktk chombo anachokiongoza?