IGP Mangu unajua haya?

IGP Mangu unajua haya?

jmalema

Member
Joined
Feb 23, 2015
Posts
16
Reaction score
22
kuna pikipiki 5 zinafanya kazi ya wizi boxer zikiwa chini ya uangalizi wa polisi wako wa mkoa wa kipolisi ilala huzunguka maene ya bot ifm samora jirani na ikulu
biashara iko hivi hawa vijana wamesajiriwa na moja wa polisi wako anaitwa Christopha Mtabutu hupeleka 50000 elfu hamsini per day huyu ni askari wa chini sana ila analindwa na wakuu wake hasa RCO ilala fanya unavyoweza kesi za hawa wezi wa pikipiki huishia hapo na ikiongexezeka pikpik ambayo hawajaisajiri hutolewa mara moja nchi hii imekwisha wezi na fanya wizi huku wakifaidi ulinzi wa polisi
 
tunapoelekea kusheherekea sikukuu ya pasaka kuna taaarifa magaidi wamejiandaa kufanya shambulizi hasa maeneo yenye mikusanyiko makanisani ndio walengwa wakubwa na vituo vya mabasi wanapanga kuwatumia hasa raia wa kigeni hata mabasi ya kusafirishia abiria sio salama chukua tahadhari binafsi
 
tunapoelekea kusheherekea sikukuu ya pasaka kuna taaarifa magaidi wamejiandaa kufanya shambulizi hasa maeneo yenye mikusanyiko makanisani ndio walengwa wakubwa na vituo vya mabasi wanapanga kuwatumia hasa raia wa kigeni hata mabasi ya kusafirishia abiria sio salama chukua tahadhari binafsi

Haya, makamanda wamekusikia nadhani, kikubwa uwape ushirikiano wa kutosha watapotaka Msaada wa chanzo chako cha habari ili Kwao iwe rahisi kutekeleza majukumu yao.
 
Back
Top Bottom