IGP Mangu: Trafiki wengine hawa hapa

IGP Mangu: Trafiki wengine hawa hapa

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
26,680
Reaction score
59,179
10672290_763564583705144_3787979452770158771_n.jpg

10304695_763564720371797_4615885684419354333_n.jpg

1897964_763564970371772_5704522691496203009_n.jpg

10712746_763565070371762_8188317011753216145_n.jpg

Mia
 
Ha ha haaaa watafukuzwa wengi kama "wembe" hautabadilishwa!!!
 
Kama watu wanaweza kukata viuno bungeni,mbona freah tu.
 
Acheni kumwaga unga wa wenzenu, watoto wao watakula nn?
 
Hawana makosa,huenda siku hizi ni kati ya zile ambazo vyama vya upinzani vinakuwa havijatangaza maandamano au shughuli yoyote ya kichama,sasa wafanye nini?
 
Wakifuzwa kazi utasaidia kulisha familia zao? Ni yupo kati yenu aliyekamilika?
 
Back
Top Bottom