IGP Ernest Munga

IGP Ernest Munga

uko nchi gani????????? na hapo kijiweni walikuwa wanapiga umbea gani

Mkuu, kuwa nchigani haina maana. Kwakifupi leo ndionimesikia kubadilishwa kwa IGP
 
uko nje ya nchi,then hiyo kodi unalipa wapi hadi ujiite mlipakodi.?

Mkuu, silazima upeleke Kofi TRA ndipo uonekane unalipa kodi.
Kodi hulipwa hata kwa kununu sindano tayari unakua umetozwa na kodi
 
Mkuu, silazima upeleke Kofi TRA ndipo uonekane unalipa kodi.
Kodi hulipwa hata kwa kununu sindano tayari unakua umetozwa na kodi
sawa lakini wewe uko yemen ukinunua sindano huko tunapataje kodi yetu?.

Anyway cv ya IGP itakua ngumu kuipata since jamaa sio muuza sura,kuna information blackout kumhusu labda hadi ukaulizie wizarani.
 
sawa lakini wewe uko yemen ukinunua sindano huko tunapataje kodi yetu?.

Anyway cv ya IGP itakua ngumu kuipata since jamaa sio muuza sura,kuna information blackout kumhusu labda hadi ukaulizie wizarani.

Asante mkuu
 
Nenda kituo cha Polisi kwa msaada zaidi maana humu jamvini utakereka na majibu
 
Ningekuacha upite, lakini naomba nikueleze. Kwanza kumfahamu haina maana ya kumjadili. Pili mimi kama Tanzania mlipa kodo na ninaechangia hicho ulichokiita SALARY nihakiyangu ya kimsingi kutaka kumfahamu.

Kwanini upoteze muda kujadili kitu ambacho hakina msaada wowote kwenye maisha yako.Chapa kazi kijana
 
Nenda kituo cha Polisi kwa msaada zaidi maana humu jamvini utakereka na majibu

Hahaaahaaaa.......
Asante mkuu, lakini hili javi halitaki hasira mkuu. Hapa ni nihoja, changamoto na happyness''
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom