IGP Camillus Wambura: Rais Samia umefanya mambo ambayo yalitakiwa kufanyika kwa Miaka 50

IGP Camillus Wambura: Rais Samia umefanya mambo ambayo yalitakiwa kufanyika kwa Miaka 50

BigTall

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
654
Reaction score
1,598

Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP), Camillus Wambura ameyasema hayo wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki sherehe ya Kufunga Kozi ya Maafisa na Wakaguzi wa Jeshi la Polisi Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es salaam, leo tarehe 9 Juni, 2025.
 

Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP), Camillus Wambura ameyasema hayo wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki sherehe ya Kufunga Kozi ya Maafisa na Wakaguzi wa Jeshi la Polisi Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es salaam, leo tarehe 9 Juni, 2025.

Kutengeneza mabilionea wengi sio kazi ndogo 😂 😂 😂 😂 😂
 

Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP), Camillus Wambura ameyasema hayo wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki sherehe ya Kufunga Kozi ya Maafisa na Wakaguzi wa Jeshi la Polisi Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es salaam, leo tarehe 9 Juni, 2025.
Wimbo ni mmoja tu : praise praise and praise again
 
Kwa mkuu wa polisi ambaye mshahara wake wa mwezi ni 3.5M lakini ana miliki Bilioni 5B huku akilipa cash 1B ilipaswa hata miaka hamsini tusingepata lGP tajiri kama wewe. Kwa ufupi wewe ni jambazi na mwizi ndio maana hapa Majita Road musoma kila mtu anakushangaa. We ni mkurya gani mwizi
 
Back
Top Bottom