PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 13,296
- 42,812
Mahakama Kuu Dar es Salaam imetoa hati ya wito kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) na wenzake watano kufika mahakamani kufuatia ombi la mawakili wa CHADEMA wanaotaka Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, John Heche, afikishwe mahakamani au aachiwe kwa dhamana.
Wengine ni Afisa Upelelezi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma, Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Kamishna Jenerali wa Uhamiaji.
Ombi hilo litasikilizwa Novemba 7, 2025 saa 4:30 asubuhi.
Wengine ni Afisa Upelelezi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma, Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Kamishna Jenerali wa Uhamiaji.
Ombi hilo litasikilizwa Novemba 7, 2025 saa 4:30 asubuhi.