IGP afuta kikosi kazi cha wakaguzi wa leseni za udereva kutokana na ongezeko la ajali

harunimaiga

Member
Nov 13, 2022
26
47
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Camilius Wambura ametangaza kukifuta kikosi chote cha wakaguzi wa leseni za magari na watahini wa leseni na kuunda tume ya uchunguzi ili kuchunguza namna kikosi hicho kilivyokuwa kinatoa leseni kutokana na ongezeko la ajali za barabarani ambazo nyingi zimetokana na uzembe wa madereva.

#ITVUpdates

Screenshot_20230222-014457.png
 
IGP safi kabisa, ingawa umechelewa kidogo, siku hizi leseni za udereva hata stationary unapata na ni hao hao matrafic wanakupa mchongo, yaani ni business as usual, baada ya uchunguzi utalia kwa uchungu ukiwa mwenyewe hakuna mtu anakuona sbb askari hutakiwi kulia unaonekana, ndio hivyo.
 
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Camilius Wambura ametangaza kukifuta kikosi chote cha wakaguzi wa leseni za magari na watahini wa leseni na kuunda tume ya uchunguzi ili kuchunguza namna kikosi hicho kilivyokuwa kinatoa leseni kutokana na ongezeko la ajali za barabarani ambazo nyingi zimetokana na uzembe wa madereva.

#ITVUpdates
View attachment 2525701
Uamuzi mzuri sana japo umekuja kwa kuchelewa
 
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Camilius Wambura ametangaza kukifuta kikosi chote cha wakaguzi wa leseni za magari na watahini wa leseni na kuunda tume ya uchunguzi ili kuchunguza namna kikosi hicho kilivyokuwa kinatoa leseni kutokana na ongezeko la ajali za barabarani ambazo nyingi zimetokana na uzembe wa madereva.

#ITVUpdates
HIi imetulia
 
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Camilius Wambura ametangaza kukifuta kikosi chote cha wakaguzi wa leseni za magari na watahini wa leseni...
Huku mtaani ni khatari mtu anajifunza pikipiki asubuhi jioni anaanza kubeba abilia tena mbele ya tarafiki
 
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Camilius Wambura ametangaza kukifuta kikosi chote cha wakaguzi wa leseni za magari na watahini wa leseni na kuunda tume ya uchunguzi ili kuchunguza namna kikosi hicho kilivyokuwa kinatoa leseni kutokana na ongezeko la ajali za barabarani ambazo nyingi zimetokana na uzembe wa madereva.

#ITVUpdates
View attachment 2525701
Kazi iendelee kwa kishindo kikuu!
 
ili kuchunguza namna kikosi hicho kilivyokuwa kinatoa leseni kutokana na ongezeko la ajali za barabarani ambazo nyingi zimetokana na uzembe wa madereva.
Kuna watu wengi walipewa leseni hawajawahi hata kugusa usukani wa gari wala pikipiki
 
Uhamuzi mzur sana lakini naona umechelewa sana mheshimiwa IGP nakumbuka miaka ileeeeee kulikuwa na mzee mmoja mitaa fulani jijini daslam alikuwa anatoa hizo leseni unampa ela alafu anakuletea leseni yako.

Sasa sirikali imeshtuka kumekucha tayali wao ndio wanakumbuka shuka eniwei wacha wapige kazi
 
Shida ni kwamba kuna watu tunahitaji leseni na hatujaweza kupata zaidi ya wiki sasa kisa igp kafuta hicho kikosi kazi.

Yaani kweli nchi nzima tunashindwa kupata leseni kisa kuna wakaguzi wamefanya mambo ya hovyo kwenye kazi zao.

Kwanini wengine tuadhibiwe kwa ujinga wa watu mliowaajiri wenyewe walioshindwa kufuata weledi wao....hii nchi ya ajabu sana
 
Back
Top Bottom