IGP afunga njia Ubungo-Kimara

IGP afunga njia Ubungo-Kimara

albani

Member
Joined
May 29, 2012
Posts
24
Reaction score
3
Kuna foleni kubwa sana muda huu maeneo kuanzia Korogwe hadi Kimara. Askari wamezuia magari yanayotoka mjini kisa IGP yuko njiani kutoka Morogoro. Sasa jamani naomba maoni yenu maana gharama inayopotelea barabarani kwa ajili ya kutaka ukubwa imezidi. Wanajamvi kazi kwenu
 
hii nchi balaa, yaani tumesimamishwa kuna foleni kubwa sana kuanzia kimara
 
Akitumia chopa hutamjua. Huo ndo ukubwa Tanzania banaaaa. Baada ya masaa 2 atakuja naibu wake kwani wametoka kwenye kikao cha kujadili ajali nyingi Tanzania. Nayo mtakaa masaa mengine 2. Hatuna kiongozi mwenye kuwajali watu wake hapa. Anavyoona akipita speed atajua ka kuna foleni hapa Dar?
 
yap ni adha kubwa hapa ila kwa sasa mambo swali tunakwena kama kawa kama dawa
 
Ukikaa kimara au Mbezi inakua kama hauko DSM vile
 
Mkome kuishabikia ccm

Komeni kuishabikia CCM, lakini kamwe msithubutu hata kidogo kuijaribu CDM kuongoza Taifa hili la Tanzania.

Mkiijaribu tu CDM kidogo, huo ndio itakuwa mwisho wa nchi hii yaani kilio cha kusaga meno kwa Watanzania.
 
Komeni kuishabikia CCM, lakini kamwe msithubutu hata kidogo kuijaribu CDM kuongoza Taifa hili la Tanzania.

Mkiijaribu tu CDM kidogo, huo ndio itakuwa mwisho wa nchi hii yaani kilio cha kusaga meno kwa Watanzania.

usiwatishe watu bo...ya ww!labda ww naukoo wako!
 
huyu bwana amekuja na yakwake,sasa hivi akielekea nyumbani anaenda na ving'ora,mbona kazi tunayo mwaka huu
 
igp gani huyu mangu mangu au?naye kaanza mbwembwe eeh
 
Komeni kuishabikia CCM, lakini kamwe msithubutu hata kidogo kuijaribu CDM kuongoza Taifa hili la Tanzania.

Mkiijaribu tu CDM kidogo, huo ndio itakuwa mwisho wa nchi hii yaani kilio cha kusaga meno kwa Watanzania.

uwe unatoa na proof mkuu kuwa ni nchi gani iliwahi kukijaribu chama cha siasa kuongoza na wakaproof failure? Na kama huna uthibitisho, kwanini uwasemee wenye kukiamini chama chao na kuwatisha eti watasaga meno? Kenya ilikuwaje wakaitema kanu? Zambia na malawi je? Nao walilia na kusaga meno kwa kuwapa wapinzani madaraka? Kama siyo, mbona wewe unapropagate na kuwatishia watu nyau? Je, ikiwa hivyo na hawakusaga meno wewe utafanya kwa niaba au ndo utaanza kujipendekeza kama unavyofanya sasa? Tuwe tunafikiri zaidi ya fikra zetu na kuepuka ubendera fuata upepo kwani watu wa leo si wa kulishwa maneno tena!
 
Wakati wa Nyerere hakukua na upuuzi wote huu. Mama Maria hakuwa na msafara IGP yeye alitembelea magari ya kawaida tena bila vibweka.
 
Back
Top Bottom