[IFUFUE AZSKY G6] Jinsi ya kutumia CCCAM katika AZSKY G6 na QSAT

Huu sasa ni mwaka 2019 nimejaribu kucheki updates mpya za masuala haya cccam naziona za miaka ya nyuma tu! kuna mwenye idea kuhusu hili? kama yupo atuambie aina za cccam accounts zilizopo now na zinazofanya vyema sokoni hasa kwa soko la Afrika na pia satellites muambato bila kusahau bei!
 
Huu sasa ni mwaka 2019 nimejaribu kucheki updates mpya za masuala haya cccam naziona za miaka ya nyuma tu! kuna mwenye idea kuhusu hili? kama yupo atuambie aina za cccam accounts zilizopo now na zinazofanya vyema sokoni hasa kwa soko la Afrika na pia satellites muambato bila kusahau bei!
Ndugu Popomtata , CCCAM imesumbua tangu 2015, mpaka sasa decoder nyingi sana zimeshindwa ku operate kwa kutumia akaunti hiyo. Nilijaribu kuweka hiyo akaunti kwa miezi sita kwa Azsky G6 kunako 2015, mpaka ina expire nilikua sijawahi kuona picha hata siku moja. Ni majanga matupu. Ushauri wangu, kama unapenda sana soka basi lipia kwa mkaburu, siku hizi hata elfu 39 unaona mechi nyingi tu za PL, ama nunua decoder za Canal+ za Kifaransa (ni halali kwa ajili ya Francophone countries) uendelee kuangalia soka. Hata Sports 24 iliyokuwa inapatikana kwa kutumia BISS keys nayo ilifanyiwa figisu ikafungwa kabisa tangu 2016. Hizi akaunti za CCCAM, DQCAM, PowerVU na wenzao haziaminiki kabisa na zitakumalizia pesa tu na utaishia kugombana na watu. Mkaburu kaweka encryption ngumu sana kweza kuibwa na Mchina, kwa sababu inabadili encryption keys kila wakati. Hata ukifanikiwa, itafanya kazi siku mbili ama tatu then inakuwa blacklisted mazima. Hutaona kamwe. Usione hii thread iko kimya tangu 2014, sio BURE, Mkaburu kafanya yake.Take it from me!
 
Hata walio kuwa wakituuzia walikuwa ni matapeli kamili..... ukifuata hiyo kifaa hataki ujue ofisi ilipo..... naikumbuka laki mbili na nusu ya aliyochukua M2N kama sikosei.... sijawahi ona hata picha ya nusu saa...
Ndugu Popomtata , CCCAM imesumbua tangu 2015, mpaka sasa decoder nyingi sana zimeshindwa ku operate kwa kutumia akaunti hiyo. Nilijaribu kuweka hiyo akaunti kwa miezi sita kwa Azsky G6 kunako 2015, mpaka ina expire nilikua sijawahi kuona picha hata siku moja. Ni majanga matupu. Ushauri wangu, kama unapenda sana soka basi lipia kwa mkaburu, siku hizi hata elfu 39 unaona mechi nyingi tu za PL, ama nunua decoder za Canal+ za Kifaransa (ni halali kwa ajili ya Francophone countries) uendelee kuangalia soka. Hata Sports 24 iliyokuwa inapatikana kwa kutumia BISS keys nayo ilifanyiwa figisu ikafungwa kabisa tangu 2016. Hizi akaunti za CCCAM, DQCAM, PowerVU na wenzao haziaminiki kabisa na zitakumalizia pesa tu na utaishia kugombana na watu. Mkaburu kaweka encryption ngumu sana kweza kuibwa na Mchina, kwa sababu inabadili encryption keys kila wakati. Hata ukifanikiwa, itafanya kazi siku mbili ama tatu then inakuwa blacklisted mazima. Hutaona kamwe. Usione hii thread iko kimya tangu 2014, sio BURE, Mkaburu kafanya yake.Take it from me!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu Popomtata , CCCAM imesumbua tangu 2015, mpaka sasa decoder nyingi sana zimeshindwa ku operate kwa kutumia akaunti hiyo. Nilijaribu kuweka hiyo akaunti kwa miezi sita kwa Azsky G6 kunako 2015, mpaka ina expire nilikua sijawahi kuona picha hata siku moja. Ni majanga matupu. Ushauri wangu, kama unapenda sana soka basi lipia kwa mkaburu, siku hizi hata elfu 39 unaona mechi nyingi tu za PL, ama nunua decoder za Canal+ za Kifaransa (ni halali kwa ajili ya Francophone countries) uendelee kuangalia soka. Hata Sports 24 iliyokuwa inapatikana kwa kutumia BISS keys nayo ilifanyiwa figisu ikafungwa kabisa tangu 2016. Hizi akaunti za CCCAM, DQCAM, PowerVU na wenzao haziaminiki kabisa na zitakumalizia pesa tu na utaishia kugombana na watu. Mkaburu kaweka encryption ngumu sana kweza kuibwa na Mchina, kwa sababu inabadili encryption keys kila wakati. Hata ukifanikiwa, itafanya kazi siku mbili ama tatu then inakuwa blacklisted mazima. Hutaona kamwe. Usione hii thread iko kimya tangu 2014, sio BURE, Mkaburu kafanya yake.Take it from me!
Asante kwa ufafanuzi mkuu, kweli haya majanga!
 
Hata walio kuwa wakituuzia walikuwa ni matapeli kamili..... ukifuata hiyo kifaa hataki ujue ofisi ilipo..... naikumbuka laki mbili na nusu ya aliyochukua M2N kama sikosei.... sijawahi ona hata picha ya nusu saa...

Sent using Jamii Forums mobile app
:D:D:D:D pole sana Mtali , ndio changamoto za kutaka mteremko, aka ganda la ndizi. Wengi tulipitia huko na kuumia. Baaada ya kuona IKS hazina dili, niliamua ku deal na halali kabisa, na mambo yanakwenda. Tatizo hawa jamaa walikuja na gia kubwa sana, kwamba ukinunua hivyo vidude unapata channels za mkaburu mwaka mzima "BURE". Wengi tulishawishika. M2N namjua in person, mpaka leo anaendelea kuuza hivi vidude, ingawa anauza vya halali kwa sasa (Dst*, Azam, Zuku, Ting nk).
 
Back
Top Bottom