HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,376
- 94,570
Huu unazi ndo unaharibu soka la africa..ukiangalia hizi mechi mbili ivory cost hawajacheza kitimu ..hawapeani pasi..viungo walikuwa wanapoteza mpira maeneo ya hatari mara kibao..tunakuja kulaumu penalt ya wazi kabisa..
Haikuwa na sababu ya kumkaba mtu kivile afu tena kwa nyuma hapo hata mie ningejiangusha