Beesmom
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 37,365
- 91,923
- Thread starter
- #101
Sawa mkuu Asante Kwa ushauriWote wataonekana wameoza. Ila wengine ni mazingira au malezi tu kwa sababu hat hivyo toka nizaliwe sijawahi ona wazazi wangu wakitoleana hata maneno machafu. .
Angalia sana jinsi unavyoish na watoto wako watatala kuishi kama wewe. .
