BULLDOZZER
Senior Member
- Jan 18, 2011
- 103
- 0
Gazeti la Tanzania Daima liliwahi kuandika "Slaa alishinda kwa 64%".
Baadaye likaandika: Mmiliki wa Dowans ni JK.
Ni gazeti hilohilo pia liliwahi kuandika "Sitta na Mwakyembe wafungwa mdomo".
Ni gazeti likaandika baadaye: Tunaomba radhi: Tulisema Uongo.
Gazeti hili linamilikiwa na "CHADEMA". Au waandishi wake wanaandika maelekezo ya Viongozi wa Chadema. Lakini pia inaonekana ni wakereketwa wa chama hicho bila kutumia akili.
Je, Kuna "UCHAKACHUZI" zaidi ya huu????? Tutaendelewa kuchakachuliwa akili zetu mpaka lini???. Ifike mahala tusema HAPANA!
Wadau Mna maoni gani?
Baadaye likaandika: Mmiliki wa Dowans ni JK.
Ni gazeti hilohilo pia liliwahi kuandika "Sitta na Mwakyembe wafungwa mdomo".
Ni gazeti likaandika baadaye: Tunaomba radhi: Tulisema Uongo.
Gazeti hili linamilikiwa na "CHADEMA". Au waandishi wake wanaandika maelekezo ya Viongozi wa Chadema. Lakini pia inaonekana ni wakereketwa wa chama hicho bila kutumia akili.
Je, Kuna "UCHAKACHUZI" zaidi ya huu????? Tutaendelewa kuchakachuliwa akili zetu mpaka lini???. Ifike mahala tusema HAPANA!
Wadau Mna maoni gani?