Heko bunge kuwaadhibu wabunge wahuni

kalulukalunde

JF-Expert Member
May 27, 2016
1,056
1,083
Na Happiness Katabazi

MHUNI ni neno linalotumika wakati mwingine kumtambulisha mtu Mfulani Kuwa mhuni kwasababu hadhi yake haimruhusu kutenda matendo ya kihuni sehemu usiyostahili Kutenda matendo ya kihuni yakiwemo matendo ya kuvunja Sheria, ustaarabu, miiko na Kutenda matendo yanayothibitisha kudharau mamlaka Fulani wakati kuna Sheria ,Kanuni, Taratibu na busara azimruhusu Kutenda matendo ya kihuni.

Nimelazimika kutumia neno mhuni kwasababu makala yangu ya Leo itajadili "Azimio la Bunge kuhusu Adhabu kwa wabunge waliofanya vurugu na Bungeni na kudharau mamlaka ya Spika Katika Kikao cha pili cha mkutano wa pili wa Bunge ,27/1/2016"

Uamuzi huo wa Bunge uliotolewa Bungeni Dodoma, Mei 30 Mwaka huu , chini ya Kifungu cha 30A(1) cha Sheria ya Haki,Kinga na Madaraka ya Bunge Sura ya 296 na Kanuni ya 74(4) na (6).

Kwa mujibu wa nakala ya azimio Hilo la Bunge linasomeka kama ifuatavyo;

" Na Kwa Kuwa ,Sheria na Kanuni hizo zimeweka Masharti Kuhusu utaratibu Unatakiwa kufuatwa Katika majadiliano Bungeni na kwamba Katika majadiliano hayo, Wabunge wanapaswa kuheshimu na kutii mamlaka ya Spika;

" Na kwa Kuwa siku ,Siku ya tarehe 27 Januari 2016 baadhi ya Wabunge wa Kambi ya Upinzani Bungeni walifanya vurugu na kudharau mamlaka ya Spika ;

"Na kwa Kuwa , Mheshimiwa Spika alipeleka suala la baadhi ya wabunge Hao kufanya vurugu na kudharau mamlaka ya Spika Kwenye Kamati ya Haki ,Maadili na Madaraka ya kuwataja wabunge wafuatao;

" Ester Bulaya ,Tundu Lissu waliudhurie vikao vyote Vya mkutano wa Tatu wa Bunge la 11 vilivyobaki kaunzia Mei 30 Mwaka huu pamoja na vikao vyote Vya mkutano wa nne wa Bunge la 11 kwa Kuwa walipatikana NA makosa ya ukiukwaji wa Kanuni na Kuonyesha dharau kubwa kwa Mamlaka ya Spika na pia walihusika kwa kiasi kikubwa kuchochea vurugu zilizotokea siku ya 27/1/ 2016 ;

"Aidha Bunge limeadhimia wabunge Pauline Gekul,GodblessLema,Kabwe Zitto na Halima Mdee ,waliudhurie vikao vyote Vya Mkutano wa Tatu wa Bunge la 11 vilivyosalia kuanzia Mei 30 Mwaka huu ,kwa walifanya vitendo ambavyo ni Vya utovu wa nidhamu na dharau kubwa kwa Mamlaka ya Spika. Vitendo hivyo Vya vurugu walivyovifanya vilisababisha kuvurugika kwa shughuli za Bunge."

Binafsi Naunga mkono azimio Hilo la Bunge la kuwapatia Adhabu hiyo wabunge hao Saba waliopatikana na hatia ya kuvunja Kanuni ya Bunge kwa Kutenda matendo Yao ya kihuni ndani ya Bunge ya kudharau nafasi ya Spika.

Nikiwa ni muumini wa Sheria ambaye nakerwa na tabia ya watu wasiyo penda kutii Sheria bila shuruti wakiwemo baadhi ya wabunge wetu ambao ni watunga Sheria lakini wameamua kujifanya ni wahuni na bila aibu uhuni huo wamekuwa wakiupeleka hadi ndani ya Bunge ambalo mambo mengi ya mustakabali wa taifa letu yanajadiliwa humo .

Enzi za Utawala wa Spika Mstaafu Anne Makinda enzi za utawala wa serikali ya awamu ya nne niliwahi kuandika makala zaidi ya mbili za kukemea tabia chafu na za kihuni zinazofanywa na baadhi ya wabunge wa CCM na upinzani bila mafanikio yoyote Matokeo.

Lakini Mei 30 Mwaka huu, Bunge letu chini ya Spika mpya Job Ndugai ' Mzee Kifimbo cheza' Mhadhiri wa Sheria Naibu Spika Dk.Tulia Ackson wameamua kuacha kulea wabunge wanaofanya matendo ya kihuni ndani ya Bunge na imewapatia Adhabu ya Kifungo cha kutoudhuria vikao Kadhaa Vya Bunge.Safi.

Ifike mahali baadhi ya wabunge mnajifanya sijui mnawazimu vichwani Muweke pembeni huo wazimu wenu na mjue kabisa hizi siyo zama zile mlizokuwa mmezoea kufanya uhuni ndani ya Bunge Mnachekewa na kuachwa bila kuchukuliwa Hatua.

Kila zama na kitabu Chake , mtambue kabisa kwanza Watanzania wenye akili timamu Tunawafahamu kwa Majina baadhi ya wabunge wanaofanya vitendo Vya kihuni bungeni licha Bunge halionyeshwi Live ila kwa kuwa mhuni ni mhuni baadhi yenu mmekuwa mkitumia simu Zenu kurekodi sauti Zenu mnapata michango yenu bungeni na wakati huo kuna sauti za baadhi ya wabunge wahuni wanaowaunga mkono wanatoa manasikika wakitoa maneno ya kihuni ndani ya Bunge.Upuuzi mtupu.

Hivi hata siku Moja kwanini msijipe muda Mkae chini mkatafakari ni Kwanini wanasiasa hasa wabunge zama hizi mnadhaurika sana Mbele ya Jamii ya watu wastaarabu , wasomi ?

Ni kwasababu baadhi yenu hamjiheshimu ,hamuheshimi Kanuni zinazowaongoza, mnatenda matendo ya ovyo ndani ya Bunge tena wazi wazi .

Sasa kama Nyie baadhi ya wabunge tena ni watunga Sheria mnakuwa wa kwanza kunajisi Sheria,Kanuni na kudharau Kiti cha Spika mnafikiri huku nje watu watawaheshimu?

Bunge limewekwa thamani nzuri za gharama ukilinganisha na thamani za Hali ya chini zilizopo Katika Mahakama zetu nchini.

Lakini wananchi,Mahakimu wanakuwa na heshima ya Hali ya juu na hawatendi mambo ya kipuuzi wakati kesi zikiendelea au wawapo nje ya viwanja vya mahakama licha baadhi ya mahakama majengo yake ni mabovu.

Ni kwasababu mahakimu, majaji na watumishi wa mahakama wanajiheshimu sana ndiyo maana hata wananchi hawadharau huo mhilimi wa mahakama wanauheshimu na kuogopa pia.

Bungeni kule kwasababu baadhi ya Maspika walilegeza kamba sana wakaruhusu baadhi ya wabunge wafanye matendo ya kihuni ndani ya bunge ya kuvunja kanuni, kubwatuka ovyo matokeo yake leo hii wabunge mnasemwa vibaya na kudharauliwa .

Mfano wanasheria wakutanapo wanapojadili mambo yao wanamtaka mwanasheria mwenzao ajadili kama msomi wa sheria azungumze kwa vielelezo aache kuwa kama mwanasiasa ambao wanazungumza porojo .

Zitto na wabunge wenzake wamepewa adhabu hiyo kwa mujibu wa Kanuni alali za Bunge na walistahili kupewa Adhabu hiyo .

Kwasababu wametenda matendo ya kihuni ambayo siyo tu yaliiletea rabsha bungeni pia Adhabu hiyo imewashushia heshima Mbele ya Jamii kwasababu sasa tunahaki ya kuwaita wabunge wahuni ambao wamevunja Kanuni za Bunge kutoka na Adhabu hiyo ya Bunge.

Hivyo Napingana na wale wote wanaosema wabunge walioadhibiwa yaani Zitto na wenzake wameonewa, eti ni kosa Lao la kwanza hivyo Adhabu waliyopewa ni kubwa halikustahili, ni mikakati wa serikali ya CCM kwa kumtumia Naibu Spika Dk.Tulia Kuwafunga midomo wapinzani bungeni,Adhabu hiyo inanyima Haki wabunge Hao kuingia bungeni kuwawakilisha wananchi. upuuzi mtupu tena wa aina yake.

Kama Adhabu hiyo kweli ina Lengo la Kufunga midomo ya wapinzani bungeni ,Mbona haijatolewa kwa wabunge wote wa upinzani?mbona bado wabunge wa upinzani Jana Tumewashuhudia wakiendelea kutoa michango Yao ndani ya Bunge bila kubughudhiwa?

Hoja kuhusu wabunge Hao walioadhibiwa Kuwa Haki Yao ya kuwawakilisha wananchi bungeni imepotezwa kutokana na Adhabu hiyo ya Bunge, haina mashiko kwasababu kwanza kabla ya adhabu kutolewa ,walipewa haki zao zote ikiwemo haki ya kuitwa, kuelezwa kosa na wakajieleza na hatimaye hukumu imetolewa na wamepatikana na hatia na makosa waliyotuhumiwa nao.

Katiba ya nchi yetu inatoa haki kwa wananchi wake na pia Katiba hiyo hiyo inatoa wajibu kwa wananchi wake.Huwezi kudai haki yako bila kutimiza wajibu wako.

Wanasheria wanasema Haki yako inapoishia ndiyo Haki ya mwenzake inaooanzia.Hao wabunge walikuwa wanatumia Haki Yao ya kutoa mawazo Yao kwa mujibu wa a ibara ya 18 (a) ya Katiba ya Nchi ya Mwaka 1977 lakini pia Haki hiyo inaendana na wajibu .Na pia

Kwa Mujibu wa Kanuni ya 74(4)(6) ya Sheria ya Haki ,Kinga Maadili ya Bunge Inawataka wabunge wakati Katika majadiliano ndani ya Bung wanapaswa kuheshimu na kutii mamlaka ya Spika.

Sasa hawa wabunge 'wafungwa,wahuni' walishindwa kutimiza wajibu huo wa kuheshimu na kutii mamlaka ya Spika walitenda matendo ya kihuni yaliyosababisha wakashindwa Kutimiza wajibu wao ndiyo maana wameadhibiwa na Bunge.

Kwa hiyo hoja ya Kudai Haki Yao ya kuwawakilisha wananchi bungeni imeporwa,uamuzi huo ni ukandamizaji wa kidemokrasia ni ya kipuuzi kabisa.

Wametenda makosa ,wakaadhiwa.Kama walikuwa wanaipenda sana hiyo Haki yao ya kuwawakilisha wapiga kula wao bungeni kwanini walishindwa kutimiza wajibu wao kuheshimu mamlaka ya Spika ?

Na Ieleweke wazi Wapiga kura wa wabunge Hao hawakuwatuma wabunge hao wahuni kwenda Bunge kuwasemea matatizo Yao Kwanjia za kihuni ,kunajisi Kanuni za Bunge.

Bali wananchi waliwatuma wabunge Hao wakawawakilishe Wapiga kura wao kwa kufuata Sheria ,Kanuni na Taratibu Wawapo ndani ya Bunge.

Tanzania ni Taifa linaloongozwa kwa mujibu wa Sheria na siyo vinginevyo .Na Ibara ya 13 ( 1) ya Katiba ya nchi inasomeka hivi ; " Watu wote ni sawa Mbele ya Sheria Na wanayo Haki ,bila ya ubaguzi wowote kulindwa na kupata Haki sawa Mbele ya Sheria".

Kwa Tafsiri ya Ibara hiyo wabunge 'wafungwa' hawakuwa juu ya Sheria licha ni watunga Sheria wameadhibiwa kwa mujibu wa Sheria kwasababu Ibara hiyo ya 13 (1) ya Katiba inatoa Usawa Mbele ya Sheria .

Wameadhibiwa kwasababu wa mepatikana na hatia za Kutenda kosa na kisheria huwezi kumshitaki mtu hadi ukamtia hatiani bila kuwepo na kosa liloandishwa kwa mujibu wa Sheria ,Kanuni.

Hivyo Adhabu iwe ni Funzo kwa wabunge ' Wafungwa 'kama wanapenda kujifunza lakini,na wabunge wengine wawe wa CCM na vyama vya upinzani maana ndani ya bunge pia kuna wabunge wa CCM na wamekuwa wakitoa maneno yasiyo faa kwa wabunge wa upinzani licha hatujaona wakichukuliwa Hatua kama hizo na kupewa Adhabu .

Tambueni Hilo Bunge ni Chombo kilichoanzishwa kwa mujibu wa Ibara ya 62 (1)ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 nikasome sekta hiki ;

" Kutakuwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano ambalo litakuwa na sehemu mbili,Rais na Wabunge".

Na ibara 33(1) ya Katiba ya nchi inasomeka ;" Kutakuwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano .

Ibara 33(2) ya Katiba hiyo inasema : " Rais atakuwa Mkuu wa Nchi , Kiongozi wa Serikali na Amiri Jeshi Mkuu.".


Hivyo nyie baadhi ya wabunge na wanaharakati uchwara mtambue vyema Kuwa Rais ni sehemu ya Bunge licha pia ndiyo Mkuu wa nchi na kiongozi wa serikali na Amir Jeshi Mkuu.

Hivyo mtakayoyafanya humo bungeni Ana Haki ya kuyafahamu kwasababu Na yeye ni sehemu ya Bunge .

Na Rais Magufuli Katika Kipindi hiki anacho endelea kuijenga serikali na kuakikisha ahadi zote alizozitoa kwa wananchi Katika Kampeni za uchaguzi Mkuu Mwaka 2015 wakati akiomba a chaguliwa Kuwa rais , nilazima pia kuendane sambamba na yeye na safu yake kuisuka pia mihimili mingine ambayo ni Bunge na Mahakama.Kwani yeye Rais ni sehemu ya Bunge na hakatazwi kuwafanya mawasiliano ya wazi,Siri na Spika na Naibu Spika wake.

Nchi haiendeshwi kihuni kama mnavyozani,huwezi Kuwa na serikali imara halafu serikali hiyo ikubali Kuwa na Bunge la ovyo ovyo .Nchi itayumba .

Tunataka Bunge imara ambalo lina wabunge imara Ambao wanajua Kujenga hoja bila kufanya vitendo vya kihuni ndani ya bunge ili Tujenge nchi yenye uwajibikaji.

Kuwa mwanasiasa sio tiketi ya kufanya vitendo Vya kihuni, kuvunja Kanuni kwa kisingizio Kuwa eti Naibu Spika, Spika wanapendelea CCM au wanatumiwa na Mhimili wa Serikali kugandamiza wapinzani .

Muunganwa asifiwi ushenzi, hata kama ni kweli Spika, Naibu Spika wanatumika na serikali ,wanawagandamiza wapinzani, wabunge wa upinzani mlipaswa mtumie njia sahihi kupinga vitendo hivyo Vya Naibu Spika na Spika kuliko kuamua kuvunja Kanuni Matokeo yake hata kama ni kweli hoja Zenu zilikuwa ni za Msingi ,mmeishazipoteza, mmeadhibiwa.

Mimi Mwenyewe siungi mkono Bunge kuto onyesha Live lakini hata siku Moja sijawahi kufanya vitendo Vya Uvunjifu wa Sheria Kuonyesha napingana uamuzi wa Bunge wa kukataa Bunge lisionyweshwe Live.

Hakuna ubishi CHADEMA ya sasa baada ya uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015 kumalizika siyo Chadema ya Kipindi kile iliyokuwa imestawi, Chadema ya sasa tuwe wa kweli tu najua baadhi ya wafuasi wengine wa Chadema wana Maradhi ya kutokubali Chama chao kikosolewe watapinga , Chadema hivi sasa ni kama imepoteza dira na Taratibu Umaarufu wake utapungua.Huo Ndio ukweli mchungu.

Kambi ya upinzani Bungeni katika Utawala huu wa serikali ya awamu ya Tano,chini ya Rais Magufuli ,imeyumba sana .

Tazama Katika ukurasa wa Facebook wa Zitto Kabwe utetezi wake kuhusu Adhabu hiyo waliyopewa ni sawa na wa mtoto Mdogo ambaye ametega kwenda shule Akaamua kwenda kinyemeleza ziwani kuvua Samaki
Wajinga wachache ndiyo wanaamini utetezi wake wake Kwenye mitandao usiyo kuwa na kichwa wa miguu.

Zitto hafai Kuwa kiongozi anafaha Kuwa Mwanaharakati. Zitto na Chadema wapi na wapi?Kwanza sera za Chama Chake cha ACT Wazalendo na Chadema ni tofauti. Ajabu sana!

Mbunge wa Bunda (Chadema ) Esta Bulaya namchukulia kama ni mwanasiasa kijana aliyepotea mwelekeo .

Aiingii akilini haraka ,Bulaya Huyo Aliyehama CCM Mwaka Jana akajiunga na Chadema licha ni Haki yake kwa mujibu wa Ibara ya 20(1) ya Katiba ya nchi ya kujiunga na Chama chochote anachokitaka .

Siasa za kiuanaharakati uchwara anazozifanya Bulaya tangu ajiunge na Chadema zimeshindwa kumpambanua Lengo lake analolitaka Katika ulingo wa siasa ni lipia zaidi ya Kufanikiwa Mzee wa Steven Wassira na kufanikiwa kurudi bungeni kwa awamu ya pili.

Bulaya ameshindwa kuleta Mageuzi yanayowavutia wanawake vijana wavutiwe naye zaidi ya kila kukicha kutoka nje ya Bunge na Kulalamika Katika vyombo Vya Habari kwasauti ya juu Mithili ya mtu aliyepandisha mashetani.

Mfano mzuri ni wa Mama Samia Suluhu alipokuwa Mbunge, waziri alichaguliwa Kuwa Naibu Spika Bunge Maalum la Katiba licha ni mwanamke alikuwa na staha ,unyeyekevu na aliweza kushirikiana na Spika wake Samwel Sitta kuliendesha Bunge lile lilokuwa lina vioja Vya kila aina .

Na mwisho CCM Mwaka Jana ikampendekeza Kuwa Mgombea Mwenza wa kwanza mwanamke tangu CCM ianzishwe na ndiyo amekuwa Makamu wa Rais wa kwanza Tanzania,tangu Tanzania ipate Uhuru.

Leo hii wanawake tu namchukulia Samia kama mfano bora wa wanawake wanaweza kwasababu wakati alipokuwa mbunge ,Naibu Spika hakufanya ufedhuli wa kudharau Kanuni kama Nyie baadhi ya wabunge wanawake vijana Bulaya, Mdee mnavyomfanya ufedhuli ndani na nje Bunge hadi mmeadhibiwa.

Leo hii Nyie wanasiasa wanawake vijana mmeshindwa Kujenga matumaini kwa wanawake vijana ili waige kutoka kwenu zaidi zaidi hivi sasa Mara kwa Mara mmekuwa mkionekana Kwenye Televisheni mkibwatuka tu ,kuropokaropoka hivyo kujitengenezea sifa Mbaya ambazo hamstahili Kuwa nazo kama wabunge wa kuchaguliwa wanawake vijana.

Angalau hivi sasa Mbunge wa Arusha Mjini( Chadema) , Godbless Lema Ukimtazama na kumsikiliza wakati akitoa baadhi ya michango yake ndani ya Bunge unapenda unamsikiliza licha U Lema wake bado haujamtoka.

Lema angeweza kuandaliwa na Chama Chake angeweza kuipeleka Mbele Chadema .

Hivi sasa Lema anaonekana ameanza kukomaa kisiasa ,ule uhuni wake wa zamani wa kuongea ovyo,umeanza kumtoka.Hakika Godbles Lema amebadilika kidogo.

Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni,Freeman Mbowe Leo hii Hana sauti zaidi ya wabunge wahuni .Simsikii Mbowe akitoa matamko ya Kujenga Chama kama awali.Kulikoni?

Ni hitimishe kwa Kulishauri Bunge hizo Kanuni walizotumia wa kuwadhibu wabunge Hao Saba wa upinzani, basi Mbele ya safari pia zitumike kuwaadhibu baadhi ya wabunge wa CCM ambao nao wanalalamikiwa Kuwa wanawatolea maneno yasiyofaha wabunge wa upinzani.

Pia Spika Ndugai na Dk.Tulia jiepusheni na tuhuma zinazowaandama hasa wewe Naibu Spika Dk.Tulia Kuwa unatumiwa na serikali Kwani msipojiepusha nazo kama ni kweli hamtoaminika.

Mimi binafsi sina ushahidi na Hilo ila ukweli mnaujua Nyie .Ila kama ni kweli wakati mkitekeleza majukumu yenu ndani ya Bunge jaribuni Kuwa 'umpire' , yaani muwe katikati yaani refa ,msionyeshe Kupendelea upande wowote .

Aidha na Nyie wabunge wakorofi, msiotaka kuheshimu Kanuni,Sheria Mabadilike anze ni Kujenga Utamaduni wa kuheshimu Kanuni na Kujenga Utamaduni wa kuvumilia.

Sheria, Kanuni zipo tena mmezitunga wenyewe ,mziiti na mziheshimu mkishindwa kufanya hivyo Mkae mkijua Naibu Spika Dk.Tulia ni Mhadhiri wa Sheria hivyo sidhani atakubali kuona Kanuni na Sheria mnazivunja awache bila kuwachukulia Hatua.

Wabunge Saba Tayari wameishaadhibiwa bila kujali Umaarufu wao, na Bunge linaendelea vizuri bila wao kuwepo na Matokeo yake Jamii hivi sasa inawachukulia ni wabunge hao saba wahuni ambao wamepatikana na hatia ya kudharau mamlaka ya Spika .

Mwisho nawashauri wabunge 'wahuni au wabunge wafungwa,Tulieni mtu mike Adhabu Zenu kwa ni dhamu.

Tabia ya baadhi yenu kukaa Kwenye mitandao na kuwatafuta mazuzu huko mitaani wawatetee kwa Jamii kupitia Mlango wa nyuma ili muonekane mmeonewa haitowasaidia Kabisa maana Mimi Binfasi tangu Juzi nimekuwa nikipambana vikali na baadhi ya watu tena wengine wakiwa waandishi wakongwe ambao walikuwa wanajaribu kupotosha ukweli wa hukumu hiyo ya Kamati ya Haki ,Madaraka ya Bunge inayoongozwa na George Mkuchika kwasababu za kijinga tu kisa wana mahusiano na wabunge Hao, waandishi Hao ni wanachama wa baadhi Chama wanachotoka baadhi ya wabunge wahuni .Na wamefyata Mkia.

Na Mbaya zaidi nakala ya uamuzi wa Bunge ipo inayooelezwa makosa mliyotenda ,Kanuni iliyomtumika kuwaadhibu, lini mlifanya makosa hayo.

Hivyo Tulieni Nyie wabunge wahuni mtumikie Adhabu yenu iliyotokana na matendo ya kihuni mliyoyatenda ndani ya Bunge Januari 27 Mwaka huu, mkavunja Kanuni na kudharau mamlaka ya Spika wakati kwa hadhi yenu hamkumpaswa kujivunjia heshima kwa kutenda uhuni ule wa kudharau mamlaka ya Spika .Ifike mahala Utawala wa Sheria uheshimiwe kwa vitendo.

Mungu ibariki Tanzania

Facebook: Happy Katabazi
Blogg: www.katabazihappy.blogspot.com
 
"JAMII YOYOTE HUPATA VIONGOZI INAOWASTAHILI"

Kama wabunge "waliosimamishwa" ni wahuni basi wao sio wahuni bali jamii iliyowatuma bungeni ndio wahuni.
 
Na Happiness Katabazi

MHUNI ni neno linalotumika wakati mwingine kumtambulisha mtu Mfulani Kuwa mhuni kwasababu hadhi yake haimruhusu kutenda matendo ya kihuni sehemu usiyostahili Kutenda matendo ya kihuni yakiwemo matendo ya kuvunja Sheria, ustaarabu, miiko na Kutenda matendo yanayothibitisha kudharau mamlaka Fulani wakati kuna Sheria ,Kanuni, Taratibu na busara azimruhusu Kutenda matendo ya kihuni.

Nimelazimika kutumia neno mhuni kwasababu makala yangu ya Leo itajadili "Azimio la Bunge kuhusu Adhabu kwa wabunge waliofanya vurugu na Bungeni na kudharau mamlaka ya Spika Katika Kikao cha pili cha mkutano wa pili wa Bunge ,27/1/2016"

Uamuzi huo wa Bunge uliotolewa Bungeni Dodoma, Mei 30 Mwaka huu , chini ya Kifungu cha 30A(1) cha Sheria ya Haki,Kinga na Madaraka ya Bunge Sura ya 296 na Kanuni ya 74(4) na (6).

Kwa mujibu wa nakala ya azimio Hilo la Bunge linasomeka kama ifuatavyo;

" Na Kwa Kuwa ,Sheria na Kanuni hizo zimeweka Masharti Kuhusu utaratibu Unatakiwa kufuatwa Katika majadiliano Bungeni na kwamba Katika majadiliano hayo, Wabunge wanapaswa kuheshimu na kutii mamlaka ya Spika;

" Na kwa Kuwa siku ,Siku ya tarehe 27 Januari 2016 baadhi ya Wabunge wa Kambi ya Upinzani Bungeni walifanya vurugu na kudharau mamlaka ya Spika ;

"Na kwa Kuwa , Mheshimiwa Spika alipeleka suala la baadhi ya wabunge Hao kufanya vurugu na kudharau mamlaka ya Spika Kwenye Kamati ya Haki ,Maadili na Madaraka ya kuwataja wabunge wafuatao;

" Ester Bulaya ,Tundu Lissu waliudhurie vikao vyote Vya mkutano wa Tatu wa Bunge la 11 vilivyobaki kaunzia Mei 30 Mwaka huu pamoja na vikao vyote Vya mkutano wa nne wa Bunge la 11 kwa Kuwa walipatikana NA makosa ya ukiukwaji wa Kanuni na Kuonyesha dharau kubwa kwa Mamlaka ya Spika na pia walihusika kwa kiasi kikubwa kuchochea vurugu zilizotokea siku ya 27/1/ 2016 ;

"Aidha Bunge limeadhimia wabunge Pauline Gekul,GodblessLema,Kabwe Zitto na Halima Mdee ,waliudhurie vikao vyote Vya Mkutano wa Tatu wa Bunge la 11 vilivyosalia kuanzia Mei 30 Mwaka huu ,kwa walifanya vitendo ambavyo ni Vya utovu wa nidhamu na dharau kubwa kwa Mamlaka ya Spika. Vitendo hivyo Vya vurugu walivyovifanya vilisababisha kuvurugika kwa shughuli za Bunge."

Binafsi Naunga mkono azimio Hilo la Bunge la kuwapatia Adhabu hiyo wabunge hao Saba waliopatikana na hatia ya kuvunja Kanuni ya Bunge kwa Kutenda matendo Yao ya kihuni ndani ya Bunge ya kudharau nafasi ya Spika.

Nikiwa ni muumini wa Sheria ambaye nakerwa na tabia ya watu wasiyo penda kutii Sheria bila shuruti wakiwemo baadhi ya wabunge wetu ambao ni watunga Sheria lakini wameamua kujifanya ni wahuni na bila aibu uhuni huo wamekuwa wakiupeleka hadi ndani ya Bunge ambalo mambo mengi ya mustakabali wa taifa letu yanajadiliwa humo .

Enzi za Utawala wa Spika Mstaafu Anne Makinda enzi za utawala wa serikali ya awamu ya nne niliwahi kuandika makala zaidi ya mbili za kukemea tabia chafu na za kihuni zinazofanywa na baadhi ya wabunge wa CCM na upinzani bila mafanikio yoyote Matokeo.

Lakini Mei 30 Mwaka huu, Bunge letu chini ya Spika mpya Job Ndugai ' Mzee Kifimbo cheza' Mhadhiri wa Sheria Naibu Spika Dk.Tulia Ackson wameamua kuacha kulea wabunge wanaofanya matendo ya kihuni ndani ya Bunge na imewapatia Adhabu ya Kifungo cha kutoudhuria vikao Kadhaa Vya Bunge.Safi.

Ifike mahali baadhi ya wabunge mnajifanya sijui mnawazimu vichwani Muweke pembeni huo wazimu wenu na mjue kabisa hizi siyo zama zile mlizokuwa mmezoea kufanya uhuni ndani ya Bunge Mnachekewa na kuachwa bila kuchukuliwa Hatua.

Kila zama na kitabu Chake , mtambue kabisa kwanza Watanzania wenye akili timamu Tunawafahamu kwa Majina baadhi ya wabunge wanaofanya vitendo Vya kihuni bungeni licha Bunge halionyeshwi Live ila kwa kuwa mhuni ni mhuni baadhi yenu mmekuwa mkitumia simu Zenu kurekodi sauti Zenu mnapata michango yenu bungeni na wakati huo kuna sauti za baadhi ya wabunge wahuni wanaowaunga mkono wanatoa manasikika wakitoa maneno ya kihuni ndani ya Bunge.Upuuzi mtupu.

Hivi hata siku Moja kwanini msijipe muda Mkae chini mkatafakari ni Kwanini wanasiasa hasa wabunge zama hizi mnadhaurika sana Mbele ya Jamii ya watu wastaarabu , wasomi ?

Ni kwasababu baadhi yenu hamjiheshimu ,hamuheshimi Kanuni zinazowaongoza, mnatenda matendo ya ovyo ndani ya Bunge tena wazi wazi .

Sasa kama Nyie baadhi ya wabunge tena ni watunga Sheria mnakuwa wa kwanza kunajisi Sheria,Kanuni na kudharau Kiti cha Spika mnafikiri huku nje watu watawaheshimu?

Bunge limewekwa thamani nzuri za gharama ukilinganisha na thamani za Hali ya chini zilizopo Katika Mahakama zetu nchini.

Lakini wananchi,Mahakimu wanakuwa na heshima ya Hali ya juu na hawatendi mambo ya kipuuzi wakati kesi zikiendelea au wawapo nje ya viwanja vya mahakama licha baadhi ya mahakama majengo yake ni mabovu.

Ni kwasababu mahakimu, majaji na watumishi wa mahakama wanajiheshimu sana ndiyo maana hata wananchi hawadharau huo mhilimi wa mahakama wanauheshimu na kuogopa pia.

Bungeni kule kwasababu baadhi ya Maspika walilegeza kamba sana wakaruhusu baadhi ya wabunge wafanye matendo ya kihuni ndani ya bunge ya kuvunja kanuni, kubwatuka ovyo matokeo yake leo hii wabunge mnasemwa vibaya na kudharauliwa .

Mfano wanasheria wakutanapo wanapojadili mambo yao wanamtaka mwanasheria mwenzao ajadili kama msomi wa sheria azungumze kwa vielelezo aache kuwa kama mwanasiasa ambao wanazungumza porojo .

Zitto na wabunge wenzake wamepewa adhabu hiyo kwa mujibu wa Kanuni alali za Bunge na walistahili kupewa Adhabu hiyo .

Kwasababu wametenda matendo ya kihuni ambayo siyo tu yaliiletea rabsha bungeni pia Adhabu hiyo imewashushia heshima Mbele ya Jamii kwasababu sasa tunahaki ya kuwaita wabunge wahuni ambao wamevunja Kanuni za Bunge kutoka na Adhabu hiyo ya Bunge.

Hivyo Napingana na wale wote wanaosema wabunge walioadhibiwa yaani Zitto na wenzake wameonewa, eti ni kosa Lao la kwanza hivyo Adhabu waliyopewa ni kubwa halikustahili, ni mikakati wa serikali ya CCM kwa kumtumia Naibu Spika Dk.Tulia Kuwafunga midomo wapinzani bungeni,Adhabu hiyo inanyima Haki wabunge Hao kuingia bungeni kuwawakilisha wananchi. upuuzi mtupu tena wa aina yake.

Kama Adhabu hiyo kweli ina Lengo la Kufunga midomo ya wapinzani bungeni ,Mbona haijatolewa kwa wabunge wote wa upinzani?mbona bado wabunge wa upinzani Jana Tumewashuhudia wakiendelea kutoa michango Yao ndani ya Bunge bila kubughudhiwa?

Hoja kuhusu wabunge Hao walioadhibiwa Kuwa Haki Yao ya kuwawakilisha wananchi bungeni imepotezwa kutokana na Adhabu hiyo ya Bunge, haina mashiko kwasababu kwanza kabla ya adhabu kutolewa ,walipewa haki zao zote ikiwemo haki ya kuitwa, kuelezwa kosa na wakajieleza na hatimaye hukumu imetolewa na wamepatikana na hatia na makosa waliyotuhumiwa nao.

Katiba ya nchi yetu inatoa haki kwa wananchi wake na pia Katiba hiyo hiyo inatoa wajibu kwa wananchi wake.Huwezi kudai haki yako bila kutimiza wajibu wako.

Wanasheria wanasema Haki yako inapoishia ndiyo Haki ya mwenzake inaooanzia.Hao wabunge walikuwa wanatumia Haki Yao ya kutoa mawazo Yao kwa mujibu wa a ibara ya 18 (a) ya Katiba ya Nchi ya Mwaka 1977 lakini pia Haki hiyo inaendana na wajibu .Na pia

Kwa Mujibu wa Kanuni ya 74(4)(6) ya Sheria ya Haki ,Kinga Maadili ya Bunge Inawataka wabunge wakati Katika majadiliano ndani ya Bung wanapaswa kuheshimu na kutii mamlaka ya Spika.

Sasa hawa wabunge 'wafungwa,wahuni' walishindwa kutimiza wajibu huo wa kuheshimu na kutii mamlaka ya Spika walitenda matendo ya kihuni yaliyosababisha wakashindwa Kutimiza wajibu wao ndiyo maana wameadhibiwa na Bunge.

Kwa hiyo hoja ya Kudai Haki Yao ya kuwawakilisha wananchi bungeni imeporwa,uamuzi huo ni ukandamizaji wa kidemokrasia ni ya kipuuzi kabisa.

Wametenda makosa ,wakaadhiwa.Kama walikuwa wanaipenda sana hiyo Haki yao ya kuwawakilisha wapiga kula wao bungeni kwanini walishindwa kutimiza wajibu wao kuheshimu mamlaka ya Spika ?

Na Ieleweke wazi Wapiga kura wa wabunge Hao hawakuwatuma wabunge hao wahuni kwenda Bunge kuwasemea matatizo Yao Kwanjia za kihuni ,kunajisi Kanuni za Bunge.

Bali wananchi waliwatuma wabunge Hao wakawawakilishe Wapiga kura wao kwa kufuata Sheria ,Kanuni na Taratibu Wawapo ndani ya Bunge.

Tanzania ni Taifa linaloongozwa kwa mujibu wa Sheria na siyo vinginevyo .Na Ibara ya 13 ( 1) ya Katiba ya nchi inasomeka hivi ; " Watu wote ni sawa Mbele ya Sheria Na wanayo Haki ,bila ya ubaguzi wowote kulindwa na kupata Haki sawa Mbele ya Sheria".

Kwa Tafsiri ya Ibara hiyo wabunge 'wafungwa' hawakuwa juu ya Sheria licha ni watunga Sheria wameadhibiwa kwa mujibu wa Sheria kwasababu Ibara hiyo ya 13 (1) ya Katiba inatoa Usawa Mbele ya Sheria .

Wameadhibiwa kwasababu wa mepatikana na hatia za Kutenda kosa na kisheria huwezi kumshitaki mtu hadi ukamtia hatiani bila kuwepo na kosa liloandishwa kwa mujibu wa Sheria ,Kanuni.

Hivyo Adhabu iwe ni Funzo kwa wabunge ' Wafungwa 'kama wanapenda kujifunza lakini,na wabunge wengine wawe wa CCM na vyama vya upinzani maana ndani ya bunge pia kuna wabunge wa CCM na wamekuwa wakitoa maneno yasiyo faa kwa wabunge wa upinzani licha hatujaona wakichukuliwa Hatua kama hizo na kupewa Adhabu .

Tambueni Hilo Bunge ni Chombo kilichoanzishwa kwa mujibu wa Ibara ya 62 (1)ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 nikasome sekta hiki ;

" Kutakuwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano ambalo litakuwa na sehemu mbili,Rais na Wabunge".

Na ibara 33(1) ya Katiba ya nchi inasomeka ;" Kutakuwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano .

Ibara 33(2) ya Katiba hiyo inasema : " Rais atakuwa Mkuu wa Nchi , Kiongozi wa Serikali na Amiri Jeshi Mkuu.".


Hivyo nyie baadhi ya wabunge na wanaharakati uchwara mtambue vyema Kuwa Rais ni sehemu ya Bunge licha pia ndiyo Mkuu wa nchi na kiongozi wa serikali na Amir Jeshi Mkuu.

Hivyo mtakayoyafanya humo bungeni Ana Haki ya kuyafahamu kwasababu Na yeye ni sehemu ya Bunge .

Na Rais Magufuli Katika Kipindi hiki anacho endelea kuijenga serikali na kuakikisha ahadi zote alizozitoa kwa wananchi Katika Kampeni za uchaguzi Mkuu Mwaka 2015 wakati akiomba a chaguliwa Kuwa rais , nilazima pia kuendane sambamba na yeye na safu yake kuisuka pia mihimili mingine ambayo ni Bunge na Mahakama.Kwani yeye Rais ni sehemu ya Bunge na hakatazwi kuwafanya mawasiliano ya wazi,Siri na Spika na Naibu Spika wake.

Nchi haiendeshwi kihuni kama mnavyozani,huwezi Kuwa na serikali imara halafu serikali hiyo ikubali Kuwa na Bunge la ovyo ovyo .Nchi itayumba .

Tunataka Bunge imara ambalo lina wabunge imara Ambao wanajua Kujenga hoja bila kufanya vitendo vya kihuni ndani ya bunge ili Tujenge nchi yenye uwajibikaji.

Kuwa mwanasiasa sio tiketi ya kufanya vitendo Vya kihuni, kuvunja Kanuni kwa kisingizio Kuwa eti Naibu Spika, Spika wanapendelea CCM au wanatumiwa na Mhimili wa Serikali kugandamiza wapinzani .

Muunganwa asifiwi ushenzi, hata kama ni kweli Spika, Naibu Spika wanatumika na serikali ,wanawagandamiza wapinzani, wabunge wa upinzani mlipaswa mtumie njia sahihi kupinga vitendo hivyo Vya Naibu Spika na Spika kuliko kuamua kuvunja Kanuni Matokeo yake hata kama ni kweli hoja Zenu zilikuwa ni za Msingi ,mmeishazipoteza, mmeadhibiwa.

Mimi Mwenyewe siungi mkono Bunge kuto onyesha Live lakini hata siku Moja sijawahi kufanya vitendo Vya Uvunjifu wa Sheria Kuonyesha napingana uamuzi wa Bunge wa kukataa Bunge lisionyweshwe Live.

Hakuna ubishi CHADEMA ya sasa baada ya uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015 kumalizika siyo Chadema ya Kipindi kile iliyokuwa imestawi, Chadema ya sasa tuwe wa kweli tu najua baadhi ya wafuasi wengine wa Chadema wana Maradhi ya kutokubali Chama chao kikosolewe watapinga , Chadema hivi sasa ni kama imepoteza dira na Taratibu Umaarufu wake utapungua.Huo Ndio ukweli mchungu.

Kambi ya upinzani Bungeni katika Utawala huu wa serikali ya awamu ya Tano,chini ya Rais Magufuli ,imeyumba sana .

Tazama Katika ukurasa wa Facebook wa Zitto Kabwe utetezi wake kuhusu Adhabu hiyo waliyopewa ni sawa na wa mtoto Mdogo ambaye ametega kwenda shule Akaamua kwenda kinyemeleza ziwani kuvua Samaki
Wajinga wachache ndiyo wanaamini utetezi wake wake Kwenye mitandao usiyo kuwa na kichwa wa miguu.

Zitto hafai Kuwa kiongozi anafaha Kuwa Mwanaharakati. Zitto na Chadema wapi na wapi?Kwanza sera za Chama Chake cha ACT Wazalendo na Chadema ni tofauti. Ajabu sana!

Mbunge wa Bunda (Chadema ) Esta Bulaya namchukulia kama ni mwanasiasa kijana aliyepotea mwelekeo .

Aiingii akilini haraka ,Bulaya Huyo Aliyehama CCM Mwaka Jana akajiunga na Chadema licha ni Haki yake kwa mujibu wa Ibara ya 20(1) ya Katiba ya nchi ya kujiunga na Chama chochote anachokitaka .

Siasa za kiuanaharakati uchwara anazozifanya Bulaya tangu ajiunge na Chadema zimeshindwa kumpambanua Lengo lake analolitaka Katika ulingo wa siasa ni lipia zaidi ya Kufanikiwa Mzee wa Steven Wassira na kufanikiwa kurudi bungeni kwa awamu ya pili.

Bulaya ameshindwa kuleta Mageuzi yanayowavutia wanawake vijana wavutiwe naye zaidi ya kila kukicha kutoka nje ya Bunge na Kulalamika Katika vyombo Vya Habari kwasauti ya juu Mithili ya mtu aliyepandisha mashetani.

Mfano mzuri ni wa Mama Samia Suluhu alipokuwa Mbunge, waziri alichaguliwa Kuwa Naibu Spika Bunge Maalum la Katiba licha ni mwanamke alikuwa na staha ,unyeyekevu na aliweza kushirikiana na Spika wake Samwel Sitta kuliendesha Bunge lile lilokuwa lina vioja Vya kila aina .

Na mwisho CCM Mwaka Jana ikampendekeza Kuwa Mgombea Mwenza wa kwanza mwanamke tangu CCM ianzishwe na ndiyo amekuwa Makamu wa Rais wa kwanza Tanzania,tangu Tanzania ipate Uhuru.

Leo hii wanawake tu namchukulia Samia kama mfano bora wa wanawake wanaweza kwasababu wakati alipokuwa mbunge ,Naibu Spika hakufanya ufedhuli wa kudharau Kanuni kama Nyie baadhi ya wabunge wanawake vijana Bulaya, Mdee mnavyomfanya ufedhuli ndani na nje Bunge hadi mmeadhibiwa.

Leo hii Nyie wanasiasa wanawake vijana mmeshindwa Kujenga matumaini kwa wanawake vijana ili waige kutoka kwenu zaidi zaidi hivi sasa Mara kwa Mara mmekuwa mkionekana Kwenye Televisheni mkibwatuka tu ,kuropokaropoka hivyo kujitengenezea sifa Mbaya ambazo hamstahili Kuwa nazo kama wabunge wa kuchaguliwa wanawake vijana.

Angalau hivi sasa Mbunge wa Arusha Mjini( Chadema) , Godbless Lema Ukimtazama na kumsikiliza wakati akitoa baadhi ya michango yake ndani ya Bunge unapenda unamsikiliza licha U Lema wake bado haujamtoka.

Lema angeweza kuandaliwa na Chama Chake angeweza kuipeleka Mbele Chadema .

Hivi sasa Lema anaonekana ameanza kukomaa kisiasa ,ule uhuni wake wa zamani wa kuongea ovyo,umeanza kumtoka.Hakika Godbles Lema amebadilika kidogo.

Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni,Freeman Mbowe Leo hii Hana sauti zaidi ya wabunge wahuni .Simsikii Mbowe akitoa matamko ya Kujenga Chama kama awali.Kulikoni?

Ni hitimishe kwa Kulishauri Bunge hizo Kanuni walizotumia wa kuwadhibu wabunge Hao Saba wa upinzani, basi Mbele ya safari pia zitumike kuwaadhibu baadhi ya wabunge wa CCM ambao nao wanalalamikiwa Kuwa wanawatolea maneno yasiyofaha wabunge wa upinzani.

Pia Spika Ndugai na Dk.Tulia jiepusheni na tuhuma zinazowaandama hasa wewe Naibu Spika Dk.Tulia Kuwa unatumiwa na serikali Kwani msipojiepusha nazo kama ni kweli hamtoaminika.

Mimi binafsi sina ushahidi na Hilo ila ukweli mnaujua Nyie .Ila kama ni kweli wakati mkitekeleza majukumu yenu ndani ya Bunge jaribuni Kuwa 'umpire' , yaani muwe katikati yaani refa ,msionyeshe Kupendelea upande wowote .

Aidha na Nyie wabunge wakorofi, msiotaka kuheshimu Kanuni,Sheria Mabadilike anze ni Kujenga Utamaduni wa kuheshimu Kanuni na Kujenga Utamaduni wa kuvumilia.

Sheria, Kanuni zipo tena mmezitunga wenyewe ,mziiti na mziheshimu mkishindwa kufanya hivyo Mkae mkijua Naibu Spika Dk.Tulia ni Mhadhiri wa Sheria hivyo sidhani atakubali kuona Kanuni na Sheria mnazivunja awache bila kuwachukulia Hatua.

Wabunge Saba Tayari wameishaadhibiwa bila kujali Umaarufu wao, na Bunge linaendelea vizuri bila wao kuwepo na Matokeo yake Jamii hivi sasa inawachukulia ni wabunge hao saba wahuni ambao wamepatikana na hatia ya kudharau mamlaka ya Spika .

Mwisho nawashauri wabunge 'wahuni au wabunge wafungwa,Tulieni mtu mike Adhabu Zenu kwa ni dhamu.

Tabia ya baadhi yenu kukaa Kwenye mitandao na kuwatafuta mazuzu huko mitaani wawatetee kwa Jamii kupitia Mlango wa nyuma ili muonekane mmeonewa haitowasaidia Kabisa maana Mimi Binfasi tangu Juzi nimekuwa nikipambana vikali na baadhi ya watu tena wengine wakiwa waandishi wakongwe ambao walikuwa wanajaribu kupotosha ukweli wa hukumu hiyo ya Kamati ya Haki ,Madaraka ya Bunge inayoongozwa na George Mkuchika kwasababu za kijinga tu kisa wana mahusiano na wabunge Hao, waandishi Hao ni wanachama wa baadhi Chama wanachotoka baadhi ya wabunge wahuni .Na wamefyata Mkia.

Na Mbaya zaidi nakala ya uamuzi wa Bunge ipo inayooelezwa makosa mliyotenda ,Kanuni iliyomtumika kuwaadhibu, lini mlifanya makosa hayo.

Hivyo Tulieni Nyie wabunge wahuni mtumikie Adhabu yenu iliyotokana na matendo ya kihuni mliyoyatenda ndani ya Bunge Januari 27 Mwaka huu, mkavunja Kanuni na kudharau mamlaka ya Spika wakati kwa hadhi yenu hamkumpaswa kujivunjia heshima kwa kutenda uhuni ule wa kudharau mamlaka ya Spika .Ifike mahala Utawala wa Sheria uheshimiwe kwa vitendo.

Mungu ibariki Tanzania

Facebook: Happy Katabazi
Blogg: www.katabazihappy.blogspot.com
Siasa inahitaji uwe kichwa ngumu
 
Na Happiness Katabazi

MHUNI ni neno linalotumika wakati mwingine kumtambulisha mtu Mfulani Kuwa mhuni kwasababu hadhi yake haimruhusu kutenda matendo ya kihuni sehemu usiyostahili Kutenda matendo ya kihuni yakiwemo matendo ya kuvunja Sheria, ustaarabu, miiko na Kutenda matendo yanayothibitisha kudharau mamlaka Fulani wakati kuna Sheria ,Kanuni, Taratibu na busara azimruhusu Kutenda matendo ya kihuni.

Nimelazimika kutumia neno mhuni kwasababu makala yangu ya Leo itajadili "Azimio la Bunge kuhusu Adhabu kwa wabunge waliofanya vurugu na Bungeni na kudharau mamlaka ya Spika Katika Kikao cha pili cha mkutano wa pili wa Bunge ,27/1/2016"

Uamuzi huo wa Bunge uliotolewa Bungeni Dodoma, Mei 30 Mwaka huu , chini ya Kifungu cha 30A(1) cha Sheria ya Haki,Kinga na Madaraka ya Bunge Sura ya 296 na Kanuni ya 74(4) na (6).

Kwa mujibu wa nakala ya azimio Hilo la Bunge linasomeka kama ifuatavyo;

" Na Kwa Kuwa ,Sheria na Kanuni hizo zimeweka Masharti Kuhusu utaratibu Unatakiwa kufuatwa Katika majadiliano Bungeni na kwamba Katika majadiliano hayo, Wabunge wanapaswa kuheshimu na kutii mamlaka ya Spika;

" Na kwa Kuwa siku ,Siku ya tarehe 27 Januari 2016 baadhi ya Wabunge wa Kambi ya Upinzani Bungeni walifanya vurugu na kudharau mamlaka ya Spika ;

"Na kwa Kuwa , Mheshimiwa Spika alipeleka suala la baadhi ya wabunge Hao kufanya vurugu na kudharau mamlaka ya Spika Kwenye Kamati ya Haki ,Maadili na Madaraka ya kuwataja wabunge wafuatao;

" Ester Bulaya ,Tundu Lissu waliudhurie vikao vyote Vya mkutano wa Tatu wa Bunge la 11 vilivyobaki kaunzia Mei 30 Mwaka huu pamoja na vikao vyote Vya mkutano wa nne wa Bunge la 11 kwa Kuwa walipatikana NA makosa ya ukiukwaji wa Kanuni na Kuonyesha dharau kubwa kwa Mamlaka ya Spika na pia walihusika kwa kiasi kikubwa kuchochea vurugu zilizotokea siku ya 27/1/ 2016 ;

"Aidha Bunge limeadhimia wabunge Pauline Gekul,GodblessLema,Kabwe Zitto na Halima Mdee ,waliudhurie vikao vyote Vya Mkutano wa Tatu wa Bunge la 11 vilivyosalia kuanzia Mei 30 Mwaka huu ,kwa walifanya vitendo ambavyo ni Vya utovu wa nidhamu na dharau kubwa kwa Mamlaka ya Spika. Vitendo hivyo Vya vurugu walivyovifanya vilisababisha kuvurugika kwa shughuli za Bunge."

Binafsi Naunga mkono azimio Hilo la Bunge la kuwapatia Adhabu hiyo wabunge hao Saba waliopatikana na hatia ya kuvunja Kanuni ya Bunge kwa Kutenda matendo Yao ya kihuni ndani ya Bunge ya kudharau nafasi ya Spika.

Nikiwa ni muumini wa Sheria ambaye nakerwa na tabia ya watu wasiyo penda kutii Sheria bila shuruti wakiwemo baadhi ya wabunge wetu ambao ni watunga Sheria lakini wameamua kujifanya ni wahuni na bila aibu uhuni huo wamekuwa wakiupeleka hadi ndani ya Bunge ambalo mambo mengi ya mustakabali wa taifa letu yanajadiliwa humo .

Enzi za Utawala wa Spika Mstaafu Anne Makinda enzi za utawala wa serikali ya awamu ya nne niliwahi kuandika makala zaidi ya mbili za kukemea tabia chafu na za kihuni zinazofanywa na baadhi ya wabunge wa CCM na upinzani bila mafanikio yoyote Matokeo.

Lakini Mei 30 Mwaka huu, Bunge letu chini ya Spika mpya Job Ndugai ' Mzee Kifimbo cheza' Mhadhiri wa Sheria Naibu Spika Dk.Tulia Ackson wameamua kuacha kulea wabunge wanaofanya matendo ya kihuni ndani ya Bunge na imewapatia Adhabu ya Kifungo cha kutoudhuria vikao Kadhaa Vya Bunge.Safi.

Ifike mahali baadhi ya wabunge mnajifanya sijui mnawazimu vichwani Muweke pembeni huo wazimu wenu na mjue kabisa hizi siyo zama zile mlizokuwa mmezoea kufanya uhuni ndani ya Bunge Mnachekewa na kuachwa bila kuchukuliwa Hatua.

Kila zama na kitabu Chake , mtambue kabisa kwanza Watanzania wenye akili timamu Tunawafahamu kwa Majina baadhi ya wabunge wanaofanya vitendo Vya kihuni bungeni licha Bunge halionyeshwi Live ila kwa kuwa mhuni ni mhuni baadhi yenu mmekuwa mkitumia simu Zenu kurekodi sauti Zenu mnapata michango yenu bungeni na wakati huo kuna sauti za baadhi ya wabunge wahuni wanaowaunga mkono wanatoa manasikika wakitoa maneno ya kihuni ndani ya Bunge.Upuuzi mtupu.

Hivi hata siku Moja kwanini msijipe muda Mkae chini mkatafakari ni Kwanini wanasiasa hasa wabunge zama hizi mnadhaurika sana Mbele ya Jamii ya watu wastaarabu , wasomi ?

Ni kwasababu baadhi yenu hamjiheshimu ,hamuheshimi Kanuni zinazowaongoza, mnatenda matendo ya ovyo ndani ya Bunge tena wazi wazi .

Sasa kama Nyie baadhi ya wabunge tena ni watunga Sheria mnakuwa wa kwanza kunajisi Sheria,Kanuni na kudharau Kiti cha Spika mnafikiri huku nje watu watawaheshimu?

Bunge limewekwa thamani nzuri za gharama ukilinganisha na thamani za Hali ya chini zilizopo Katika Mahakama zetu nchini.

Lakini wananchi,Mahakimu wanakuwa na heshima ya Hali ya juu na hawatendi mambo ya kipuuzi wakati kesi zikiendelea au wawapo nje ya viwanja vya mahakama licha baadhi ya mahakama majengo yake ni mabovu.

Ni kwasababu mahakimu, majaji na watumishi wa mahakama wanajiheshimu sana ndiyo maana hata wananchi hawadharau huo mhilimi wa mahakama wanauheshimu na kuogopa pia.

Bungeni kule kwasababu baadhi ya Maspika walilegeza kamba sana wakaruhusu baadhi ya wabunge wafanye matendo ya kihuni ndani ya bunge ya kuvunja kanuni, kubwatuka ovyo matokeo yake leo hii wabunge mnasemwa vibaya na kudharauliwa .

Mfano wanasheria wakutanapo wanapojadili mambo yao wanamtaka mwanasheria mwenzao ajadili kama msomi wa sheria azungumze kwa vielelezo aache kuwa kama mwanasiasa ambao wanazungumza porojo .

Zitto na wabunge wenzake wamepewa adhabu hiyo kwa mujibu wa Kanuni alali za Bunge na walistahili kupewa Adhabu hiyo .

Kwasababu wametenda matendo ya kihuni ambayo siyo tu yaliiletea rabsha bungeni pia Adhabu hiyo imewashushia heshima Mbele ya Jamii kwasababu sasa tunahaki ya kuwaita wabunge wahuni ambao wamevunja Kanuni za Bunge kutoka na Adhabu hiyo ya Bunge.

Hivyo Napingana na wale wote wanaosema wabunge walioadhibiwa yaani Zitto na wenzake wameonewa, eti ni kosa Lao la kwanza hivyo Adhabu waliyopewa ni kubwa halikustahili, ni mikakati wa serikali ya CCM kwa kumtumia Naibu Spika Dk.Tulia Kuwafunga midomo wapinzani bungeni,Adhabu hiyo inanyima Haki wabunge Hao kuingia bungeni kuwawakilisha wananchi. upuuzi mtupu tena wa aina yake.

Kama Adhabu hiyo kweli ina Lengo la Kufunga midomo ya wapinzani bungeni ,Mbona haijatolewa kwa wabunge wote wa upinzani?mbona bado wabunge wa upinzani Jana Tumewashuhudia wakiendelea kutoa michango Yao ndani ya Bunge bila kubughudhiwa?

Hoja kuhusu wabunge Hao walioadhibiwa Kuwa Haki Yao ya kuwawakilisha wananchi bungeni imepotezwa kutokana na Adhabu hiyo ya Bunge, haina mashiko kwasababu kwanza kabla ya adhabu kutolewa ,walipewa haki zao zote ikiwemo haki ya kuitwa, kuelezwa kosa na wakajieleza na hatimaye hukumu imetolewa na wamepatikana na hatia na makosa waliyotuhumiwa nao.

Katiba ya nchi yetu inatoa haki kwa wananchi wake na pia Katiba hiyo hiyo inatoa wajibu kwa wananchi wake.Huwezi kudai haki yako bila kutimiza wajibu wako.

Wanasheria wanasema Haki yako inapoishia ndiyo Haki ya mwenzake inaooanzia.Hao wabunge walikuwa wanatumia Haki Yao ya kutoa mawazo Yao kwa mujibu wa a ibara ya 18 (a) ya Katiba ya Nchi ya Mwaka 1977 lakini pia Haki hiyo inaendana na wajibu .Na pia

Kwa Mujibu wa Kanuni ya 74(4)(6) ya Sheria ya Haki ,Kinga Maadili ya Bunge Inawataka wabunge wakati Katika majadiliano ndani ya Bung wanapaswa kuheshimu na kutii mamlaka ya Spika.

Sasa hawa wabunge 'wafungwa,wahuni' walishindwa kutimiza wajibu huo wa kuheshimu na kutii mamlaka ya Spika walitenda matendo ya kihuni yaliyosababisha wakashindwa Kutimiza wajibu wao ndiyo maana wameadhibiwa na Bunge.

Kwa hiyo hoja ya Kudai Haki Yao ya kuwawakilisha wananchi bungeni imeporwa,uamuzi huo ni ukandamizaji wa kidemokrasia ni ya kipuuzi kabisa.

Wametenda makosa ,wakaadhiwa.Kama walikuwa wanaipenda sana hiyo Haki yao ya kuwawakilisha wapiga kula wao bungeni kwanini walishindwa kutimiza wajibu wao kuheshimu mamlaka ya Spika ?

Na Ieleweke wazi Wapiga kura wa wabunge Hao hawakuwatuma wabunge hao wahuni kwenda Bunge kuwasemea matatizo Yao Kwanjia za kihuni ,kunajisi Kanuni za Bunge.

Bali wananchi waliwatuma wabunge Hao wakawawakilishe Wapiga kura wao kwa kufuata Sheria ,Kanuni na Taratibu Wawapo ndani ya Bunge.

Tanzania ni Taifa linaloongozwa kwa mujibu wa Sheria na siyo vinginevyo .Na Ibara ya 13 ( 1) ya Katiba ya nchi inasomeka hivi ; " Watu wote ni sawa Mbele ya Sheria Na wanayo Haki ,bila ya ubaguzi wowote kulindwa na kupata Haki sawa Mbele ya Sheria".

Kwa Tafsiri ya Ibara hiyo wabunge 'wafungwa' hawakuwa juu ya Sheria licha ni watunga Sheria wameadhibiwa kwa mujibu wa Sheria kwasababu Ibara hiyo ya 13 (1) ya Katiba inatoa Usawa Mbele ya Sheria .

Wameadhibiwa kwasababu wa mepatikana na hatia za Kutenda kosa na kisheria huwezi kumshitaki mtu hadi ukamtia hatiani bila kuwepo na kosa liloandishwa kwa mujibu wa Sheria ,Kanuni.

Hivyo Adhabu iwe ni Funzo kwa wabunge ' Wafungwa 'kama wanapenda kujifunza lakini,na wabunge wengine wawe wa CCM na vyama vya upinzani maana ndani ya bunge pia kuna wabunge wa CCM na wamekuwa wakitoa maneno yasiyo faa kwa wabunge wa upinzani licha hatujaona wakichukuliwa Hatua kama hizo na kupewa Adhabu .

Tambueni Hilo Bunge ni Chombo kilichoanzishwa kwa mujibu wa Ibara ya 62 (1)ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 nikasome sekta hiki ;

" Kutakuwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano ambalo litakuwa na sehemu mbili,Rais na Wabunge".

Na ibara 33(1) ya Katiba ya nchi inasomeka ;" Kutakuwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano .

Ibara 33(2) ya Katiba hiyo inasema : " Rais atakuwa Mkuu wa Nchi , Kiongozi wa Serikali na Amiri Jeshi Mkuu.".


Hivyo nyie baadhi ya wabunge na wanaharakati uchwara mtambue vyema Kuwa Rais ni sehemu ya Bunge licha pia ndiyo Mkuu wa nchi na kiongozi wa serikali na Amir Jeshi Mkuu.

Hivyo mtakayoyafanya humo bungeni Ana Haki ya kuyafahamu kwasababu Na yeye ni sehemu ya Bunge .

Na Rais Magufuli Katika Kipindi hiki anacho endelea kuijenga serikali na kuakikisha ahadi zote alizozitoa kwa wananchi Katika Kampeni za uchaguzi Mkuu Mwaka 2015 wakati akiomba a chaguliwa Kuwa rais , nilazima pia kuendane sambamba na yeye na safu yake kuisuka pia mihimili mingine ambayo ni Bunge na Mahakama.Kwani yeye Rais ni sehemu ya Bunge na hakatazwi kuwafanya mawasiliano ya wazi,Siri na Spika na Naibu Spika wake.

Nchi haiendeshwi kihuni kama mnavyozani,huwezi Kuwa na serikali imara halafu serikali hiyo ikubali Kuwa na Bunge la ovyo ovyo .Nchi itayumba .

Tunataka Bunge imara ambalo lina wabunge imara Ambao wanajua Kujenga hoja bila kufanya vitendo vya kihuni ndani ya bunge ili Tujenge nchi yenye uwajibikaji.

Kuwa mwanasiasa sio tiketi ya kufanya vitendo Vya kihuni, kuvunja Kanuni kwa kisingizio Kuwa eti Naibu Spika, Spika wanapendelea CCM au wanatumiwa na Mhimili wa Serikali kugandamiza wapinzani .

Muunganwa asifiwi ushenzi, hata kama ni kweli Spika, Naibu Spika wanatumika na serikali ,wanawagandamiza wapinzani, wabunge wa upinzani mlipaswa mtumie njia sahihi kupinga vitendo hivyo Vya Naibu Spika na Spika kuliko kuamua kuvunja Kanuni Matokeo yake hata kama ni kweli hoja Zenu zilikuwa ni za Msingi ,mmeishazipoteza, mmeadhibiwa.

Mimi Mwenyewe siungi mkono Bunge kuto onyesha Live lakini hata siku Moja sijawahi kufanya vitendo Vya Uvunjifu wa Sheria Kuonyesha napingana uamuzi wa Bunge wa kukataa Bunge lisionyweshwe Live.

Hakuna ubishi CHADEMA ya sasa baada ya uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015 kumalizika siyo Chadema ya Kipindi kile iliyokuwa imestawi, Chadema ya sasa tuwe wa kweli tu najua baadhi ya wafuasi wengine wa Chadema wana Maradhi ya kutokubali Chama chao kikosolewe watapinga , Chadema hivi sasa ni kama imepoteza dira na Taratibu Umaarufu wake utapungua.Huo Ndio ukweli mchungu.

Kambi ya upinzani Bungeni katika Utawala huu wa serikali ya awamu ya Tano,chini ya Rais Magufuli ,imeyumba sana .

Tazama Katika ukurasa wa Facebook wa Zitto Kabwe utetezi wake kuhusu Adhabu hiyo waliyopewa ni sawa na wa mtoto Mdogo ambaye ametega kwenda shule Akaamua kwenda kinyemeleza ziwani kuvua Samaki
Wajinga wachache ndiyo wanaamini utetezi wake wake Kwenye mitandao usiyo kuwa na kichwa wa miguu.

Zitto hafai Kuwa kiongozi anafaha Kuwa Mwanaharakati. Zitto na Chadema wapi na wapi?Kwanza sera za Chama Chake cha ACT Wazalendo na Chadema ni tofauti. Ajabu sana!

Mbunge wa Bunda (Chadema ) Esta Bulaya namchukulia kama ni mwanasiasa kijana aliyepotea mwelekeo .

Aiingii akilini haraka ,Bulaya Huyo Aliyehama CCM Mwaka Jana akajiunga na Chadema licha ni Haki yake kwa mujibu wa Ibara ya 20(1) ya Katiba ya nchi ya kujiunga na Chama chochote anachokitaka .

Siasa za kiuanaharakati uchwara anazozifanya Bulaya tangu ajiunge na Chadema zimeshindwa kumpambanua Lengo lake analolitaka Katika ulingo wa siasa ni lipia zaidi ya Kufanikiwa Mzee wa Steven Wassira na kufanikiwa kurudi bungeni kwa awamu ya pili.

Bulaya ameshindwa kuleta Mageuzi yanayowavutia wanawake vijana wavutiwe naye zaidi ya kila kukicha kutoka nje ya Bunge na Kulalamika Katika vyombo Vya Habari kwasauti ya juu Mithili ya mtu aliyepandisha mashetani.

Mfano mzuri ni wa Mama Samia Suluhu alipokuwa Mbunge, waziri alichaguliwa Kuwa Naibu Spika Bunge Maalum la Katiba licha ni mwanamke alikuwa na staha ,unyeyekevu na aliweza kushirikiana na Spika wake Samwel Sitta kuliendesha Bunge lile lilokuwa lina vioja Vya kila aina .

Na mwisho CCM Mwaka Jana ikampendekeza Kuwa Mgombea Mwenza wa kwanza mwanamke tangu CCM ianzishwe na ndiyo amekuwa Makamu wa Rais wa kwanza Tanzania,tangu Tanzania ipate Uhuru.

Leo hii wanawake tu namchukulia Samia kama mfano bora wa wanawake wanaweza kwasababu wakati alipokuwa mbunge ,Naibu Spika hakufanya ufedhuli wa kudharau Kanuni kama Nyie baadhi ya wabunge wanawake vijana Bulaya, Mdee mnavyomfanya ufedhuli ndani na nje Bunge hadi mmeadhibiwa.

Leo hii Nyie wanasiasa wanawake vijana mmeshindwa Kujenga matumaini kwa wanawake vijana ili waige kutoka kwenu zaidi zaidi hivi sasa Mara kwa Mara mmekuwa mkionekana Kwenye Televisheni mkibwatuka tu ,kuropokaropoka hivyo kujitengenezea sifa Mbaya ambazo hamstahili Kuwa nazo kama wabunge wa kuchaguliwa wanawake vijana.

Angalau hivi sasa Mbunge wa Arusha Mjini( Chadema) , Godbless Lema Ukimtazama na kumsikiliza wakati akitoa baadhi ya michango yake ndani ya Bunge unapenda unamsikiliza licha U Lema wake bado haujamtoka.

Lema angeweza kuandaliwa na Chama Chake angeweza kuipeleka Mbele Chadema .

Hivi sasa Lema anaonekana ameanza kukomaa kisiasa ,ule uhuni wake wa zamani wa kuongea ovyo,umeanza kumtoka.Hakika Godbles Lema amebadilika kidogo.

Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni,Freeman Mbowe Leo hii Hana sauti zaidi ya wabunge wahuni .Simsikii Mbowe akitoa matamko ya Kujenga Chama kama awali.Kulikoni?

Ni hitimishe kwa Kulishauri Bunge hizo Kanuni walizotumia wa kuwadhibu wabunge Hao Saba wa upinzani, basi Mbele ya safari pia zitumike kuwaadhibu baadhi ya wabunge wa CCM ambao nao wanalalamikiwa Kuwa wanawatolea maneno yasiyofaha wabunge wa upinzani.

Pia Spika Ndugai na Dk.Tulia jiepusheni na tuhuma zinazowaandama hasa wewe Naibu Spika Dk.Tulia Kuwa unatumiwa na serikali Kwani msipojiepusha nazo kama ni kweli hamtoaminika.

Mimi binafsi sina ushahidi na Hilo ila ukweli mnaujua Nyie .Ila kama ni kweli wakati mkitekeleza majukumu yenu ndani ya Bunge jaribuni Kuwa 'umpire' , yaani muwe katikati yaani refa ,msionyeshe Kupendelea upande wowote .

Aidha na Nyie wabunge wakorofi, msiotaka kuheshimu Kanuni,Sheria Mabadilike anze ni Kujenga Utamaduni wa kuheshimu Kanuni na Kujenga Utamaduni wa kuvumilia.

Sheria, Kanuni zipo tena mmezitunga wenyewe ,mziiti na mziheshimu mkishindwa kufanya hivyo Mkae mkijua Naibu Spika Dk.Tulia ni Mhadhiri wa Sheria hivyo sidhani atakubali kuona Kanuni na Sheria mnazivunja awache bila kuwachukulia Hatua.

Wabunge Saba Tayari wameishaadhibiwa bila kujali Umaarufu wao, na Bunge linaendelea vizuri bila wao kuwepo na Matokeo yake Jamii hivi sasa inawachukulia ni wabunge hao saba wahuni ambao wamepatikana na hatia ya kudharau mamlaka ya Spika .

Mwisho nawashauri wabunge 'wahuni au wabunge wafungwa,Tulieni mtu mike Adhabu Zenu kwa ni dhamu.

Tabia ya baadhi yenu kukaa Kwenye mitandao na kuwatafuta mazuzu huko mitaani wawatetee kwa Jamii kupitia Mlango wa nyuma ili muonekane mmeonewa haitowasaidia Kabisa maana Mimi Binfasi tangu Juzi nimekuwa nikipambana vikali na baadhi ya watu tena wengine wakiwa waandishi wakongwe ambao walikuwa wanajaribu kupotosha ukweli wa hukumu hiyo ya Kamati ya Haki ,Madaraka ya Bunge inayoongozwa na George Mkuchika kwasababu za kijinga tu kisa wana mahusiano na wabunge Hao, waandishi Hao ni wanachama wa baadhi Chama wanachotoka baadhi ya wabunge wahuni .Na wamefyata Mkia.

Na Mbaya zaidi nakala ya uamuzi wa Bunge ipo inayooelezwa makosa mliyotenda ,Kanuni iliyomtumika kuwaadhibu, lini mlifanya makosa hayo.

Hivyo Tulieni Nyie wabunge wahuni mtumikie Adhabu yenu iliyotokana na matendo ya kihuni mliyoyatenda ndani ya Bunge Januari 27 Mwaka huu, mkavunja Kanuni na kudharau mamlaka ya Spika wakati kwa hadhi yenu hamkumpaswa kujivunjia heshima kwa kutenda uhuni ule wa kudharau mamlaka ya Spika .Ifike mahala Utawala wa Sheria uheshimiwe kwa vitendo.

Mungu ibariki Tanzania

Facebook: Happy Katabazi
Blogg: www.katabazihappy.blogspot.com
Siasa inahitaji uwe kichwa ngumu
 
Na Happiness Katabazi

MHUNI ni neno linalotumika wakati mwingine kumtambulisha mtu Mfulani Kuwa mhuni kwasababu hadhi yake haimruhusu kutenda matendo ya kihuni sehemu usiyostahili Kutenda matendo ya kihuni yakiwemo matendo ya kuvunja Sheria, ustaarabu, miiko na Kutenda matendo yanayothibitisha kudharau mamlaka Fulani wakati kuna Sheria ,Kanuni, Taratibu na busara azimruhusu Kutenda matendo ya kihuni.

Nimelazimika kutumia neno mhuni kwasababu makala yangu ya Leo itajadili "Azimio la Bunge kuhusu Adhabu kwa wabunge waliofanya vurugu na Bungeni na kudharau mamlaka ya Spika Katika Kikao cha pili cha mkutano wa pili wa Bunge ,27/1/2016"

Uamuzi huo wa Bunge uliotolewa Bungeni Dodoma, Mei 30 Mwaka huu , chini ya Kifungu cha 30A(1) cha Sheria ya Haki,Kinga na Madaraka ya Bunge Sura ya 296 na Kanuni ya 74(4) na (6).

Kwa mujibu wa nakala ya azimio Hilo la Bunge linasomeka kama ifuatavyo;

" Na Kwa Kuwa ,Sheria na Kanuni hizo zimeweka Masharti Kuhusu utaratibu Unatakiwa kufuatwa Katika majadiliano Bungeni na kwamba Katika majadiliano hayo, Wabunge wanapaswa kuheshimu na kutii mamlaka ya Spika;

" Na kwa Kuwa siku ,Siku ya tarehe 27 Januari 2016 baadhi ya Wabunge wa Kambi ya Upinzani Bungeni walifanya vurugu na kudharau mamlaka ya Spika ;

"Na kwa Kuwa , Mheshimiwa Spika alipeleka suala la baadhi ya wabunge Hao kufanya vurugu na kudharau mamlaka ya Spika Kwenye Kamati ya Haki ,Maadili na Madaraka ya kuwataja wabunge wafuatao;

" Ester Bulaya ,Tundu Lissu waliudhurie vikao vyote Vya mkutano wa Tatu wa Bunge la 11 vilivyobaki kaunzia Mei 30 Mwaka huu pamoja na vikao vyote Vya mkutano wa nne wa Bunge la 11 kwa Kuwa walipatikana NA makosa ya ukiukwaji wa Kanuni na Kuonyesha dharau kubwa kwa Mamlaka ya Spika na pia walihusika kwa kiasi kikubwa kuchochea vurugu zilizotokea siku ya 27/1/ 2016 ;

"Aidha Bunge limeadhimia wabunge Pauline Gekul,GodblessLema,Kabwe Zitto na Halima Mdee ,waliudhurie vikao vyote Vya Mkutano wa Tatu wa Bunge la 11 vilivyosalia kuanzia Mei 30 Mwaka huu ,kwa walifanya vitendo ambavyo ni Vya utovu wa nidhamu na dharau kubwa kwa Mamlaka ya Spika. Vitendo hivyo Vya vurugu walivyovifanya vilisababisha kuvurugika kwa shughuli za Bunge."

Binafsi Naunga mkono azimio Hilo la Bunge la kuwapatia Adhabu hiyo wabunge hao Saba waliopatikana na hatia ya kuvunja Kanuni ya Bunge kwa Kutenda matendo Yao ya kihuni ndani ya Bunge ya kudharau nafasi ya Spika.

Nikiwa ni muumini wa Sheria ambaye nakerwa na tabia ya watu wasiyo penda kutii Sheria bila shuruti wakiwemo baadhi ya wabunge wetu ambao ni watunga Sheria lakini wameamua kujifanya ni wahuni na bila aibu uhuni huo wamekuwa wakiupeleka hadi ndani ya Bunge ambalo mambo mengi ya mustakabali wa taifa letu yanajadiliwa humo .

Enzi za Utawala wa Spika Mstaafu Anne Makinda enzi za utawala wa serikali ya awamu ya nne niliwahi kuandika makala zaidi ya mbili za kukemea tabia chafu na za kihuni zinazofanywa na baadhi ya wabunge wa CCM na upinzani bila mafanikio yoyote Matokeo.

Lakini Mei 30 Mwaka huu, Bunge letu chini ya Spika mpya Job Ndugai ' Mzee Kifimbo cheza' Mhadhiri wa Sheria Naibu Spika Dk.Tulia Ackson wameamua kuacha kulea wabunge wanaofanya matendo ya kihuni ndani ya Bunge na imewapatia Adhabu ya Kifungo cha kutoudhuria vikao Kadhaa Vya Bunge.Safi.

Ifike mahali baadhi ya wabunge mnajifanya sijui mnawazimu vichwani Muweke pembeni huo wazimu wenu na mjue kabisa hizi siyo zama zile mlizokuwa mmezoea kufanya uhuni ndani ya Bunge Mnachekewa na kuachwa bila kuchukuliwa Hatua.

Kila zama na kitabu Chake , mtambue kabisa kwanza Watanzania wenye akili timamu Tunawafahamu kwa Majina baadhi ya wabunge wanaofanya vitendo Vya kihuni bungeni licha Bunge halionyeshwi Live ila kwa kuwa mhuni ni mhuni baadhi yenu mmekuwa mkitumia simu Zenu kurekodi sauti Zenu mnapata michango yenu bungeni na wakati huo kuna sauti za baadhi ya wabunge wahuni wanaowaunga mkono wanatoa manasikika wakitoa maneno ya kihuni ndani ya Bunge.Upuuzi mtupu.

Hivi hata siku Moja kwanini msijipe muda Mkae chini mkatafakari ni Kwanini wanasiasa hasa wabunge zama hizi mnadhaurika sana Mbele ya Jamii ya watu wastaarabu , wasomi ?

Ni kwasababu baadhi yenu hamjiheshimu ,hamuheshimi Kanuni zinazowaongoza, mnatenda matendo ya ovyo ndani ya Bunge tena wazi wazi .

Sasa kama Nyie baadhi ya wabunge tena ni watunga Sheria mnakuwa wa kwanza kunajisi Sheria,Kanuni na kudharau Kiti cha Spika mnafikiri huku nje watu watawaheshimu?

Bunge limewekwa thamani nzuri za gharama ukilinganisha na thamani za Hali ya chini zilizopo Katika Mahakama zetu nchini.

Lakini wananchi,Mahakimu wanakuwa na heshima ya Hali ya juu na hawatendi mambo ya kipuuzi wakati kesi zikiendelea au wawapo nje ya viwanja vya mahakama licha baadhi ya mahakama majengo yake ni mabovu.

Ni kwasababu mahakimu, majaji na watumishi wa mahakama wanajiheshimu sana ndiyo maana hata wananchi hawadharau huo mhilimi wa mahakama wanauheshimu na kuogopa pia.

Bungeni kule kwasababu baadhi ya Maspika walilegeza kamba sana wakaruhusu baadhi ya wabunge wafanye matendo ya kihuni ndani ya bunge ya kuvunja kanuni, kubwatuka ovyo matokeo yake leo hii wabunge mnasemwa vibaya na kudharauliwa .

Mfano wanasheria wakutanapo wanapojadili mambo yao wanamtaka mwanasheria mwenzao ajadili kama msomi wa sheria azungumze kwa vielelezo aache kuwa kama mwanasiasa ambao wanazungumza porojo .

Zitto na wabunge wenzake wamepewa adhabu hiyo kwa mujibu wa Kanuni alali za Bunge na walistahili kupewa Adhabu hiyo .

Kwasababu wametenda matendo ya kihuni ambayo siyo tu yaliiletea rabsha bungeni pia Adhabu hiyo imewashushia heshima Mbele ya Jamii kwasababu sasa tunahaki ya kuwaita wabunge wahuni ambao wamevunja Kanuni za Bunge kutoka na Adhabu hiyo ya Bunge.

Hivyo Napingana na wale wote wanaosema wabunge walioadhibiwa yaani Zitto na wenzake wameonewa, eti ni kosa Lao la kwanza hivyo Adhabu waliyopewa ni kubwa halikustahili, ni mikakati wa serikali ya CCM kwa kumtumia Naibu Spika Dk.Tulia Kuwafunga midomo wapinzani bungeni,Adhabu hiyo inanyima Haki wabunge Hao kuingia bungeni kuwawakilisha wananchi. upuuzi mtupu tena wa aina yake.

Kama Adhabu hiyo kweli ina Lengo la Kufunga midomo ya wapinzani bungeni ,Mbona haijatolewa kwa wabunge wote wa upinzani?mbona bado wabunge wa upinzani Jana Tumewashuhudia wakiendelea kutoa michango Yao ndani ya Bunge bila kubughudhiwa?

Hoja kuhusu wabunge Hao walioadhibiwa Kuwa Haki Yao ya kuwawakilisha wananchi bungeni imepotezwa kutokana na Adhabu hiyo ya Bunge, haina mashiko kwasababu kwanza kabla ya adhabu kutolewa ,walipewa haki zao zote ikiwemo haki ya kuitwa, kuelezwa kosa na wakajieleza na hatimaye hukumu imetolewa na wamepatikana na hatia na makosa waliyotuhumiwa nao.

Katiba ya nchi yetu inatoa haki kwa wananchi wake na pia Katiba hiyo hiyo inatoa wajibu kwa wananchi wake.Huwezi kudai haki yako bila kutimiza wajibu wako.

Wanasheria wanasema Haki yako inapoishia ndiyo Haki ya mwenzake inaooanzia.Hao wabunge walikuwa wanatumia Haki Yao ya kutoa mawazo Yao kwa mujibu wa a ibara ya 18 (a) ya Katiba ya Nchi ya Mwaka 1977 lakini pia Haki hiyo inaendana na wajibu .Na pia

Kwa Mujibu wa Kanuni ya 74(4)(6) ya Sheria ya Haki ,Kinga Maadili ya Bunge Inawataka wabunge wakati Katika majadiliano ndani ya Bung wanapaswa kuheshimu na kutii mamlaka ya Spika.

Sasa hawa wabunge 'wafungwa,wahuni' walishindwa kutimiza wajibu huo wa kuheshimu na kutii mamlaka ya Spika walitenda matendo ya kihuni yaliyosababisha wakashindwa Kutimiza wajibu wao ndiyo maana wameadhibiwa na Bunge.

Kwa hiyo hoja ya Kudai Haki Yao ya kuwawakilisha wananchi bungeni imeporwa,uamuzi huo ni ukandamizaji wa kidemokrasia ni ya kipuuzi kabisa.

Wametenda makosa ,wakaadhiwa.Kama walikuwa wanaipenda sana hiyo Haki yao ya kuwawakilisha wapiga kula wao bungeni kwanini walishindwa kutimiza wajibu wao kuheshimu mamlaka ya Spika ?

Na Ieleweke wazi Wapiga kura wa wabunge Hao hawakuwatuma wabunge hao wahuni kwenda Bunge kuwasemea matatizo Yao Kwanjia za kihuni ,kunajisi Kanuni za Bunge.

Bali wananchi waliwatuma wabunge Hao wakawawakilishe Wapiga kura wao kwa kufuata Sheria ,Kanuni na Taratibu Wawapo ndani ya Bunge.

Tanzania ni Taifa linaloongozwa kwa mujibu wa Sheria na siyo vinginevyo .Na Ibara ya 13 ( 1) ya Katiba ya nchi inasomeka hivi ; " Watu wote ni sawa Mbele ya Sheria Na wanayo Haki ,bila ya ubaguzi wowote kulindwa na kupata Haki sawa Mbele ya Sheria".

Kwa Tafsiri ya Ibara hiyo wabunge 'wafungwa' hawakuwa juu ya Sheria licha ni watunga Sheria wameadhibiwa kwa mujibu wa Sheria kwasababu Ibara hiyo ya 13 (1) ya Katiba inatoa Usawa Mbele ya Sheria .

Wameadhibiwa kwasababu wa mepatikana na hatia za Kutenda kosa na kisheria huwezi kumshitaki mtu hadi ukamtia hatiani bila kuwepo na kosa liloandishwa kwa mujibu wa Sheria ,Kanuni.

Hivyo Adhabu iwe ni Funzo kwa wabunge ' Wafungwa 'kama wanapenda kujifunza lakini,na wabunge wengine wawe wa CCM na vyama vya upinzani maana ndani ya bunge pia kuna wabunge wa CCM na wamekuwa wakitoa maneno yasiyo faa kwa wabunge wa upinzani licha hatujaona wakichukuliwa Hatua kama hizo na kupewa Adhabu .

Tambueni Hilo Bunge ni Chombo kilichoanzishwa kwa mujibu wa Ibara ya 62 (1)ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 nikasome sekta hiki ;

" Kutakuwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano ambalo litakuwa na sehemu mbili,Rais na Wabunge".

Na ibara 33(1) ya Katiba ya nchi inasomeka ;" Kutakuwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano .

Ibara 33(2) ya Katiba hiyo inasema : " Rais atakuwa Mkuu wa Nchi , Kiongozi wa Serikali na Amiri Jeshi Mkuu.".


Hivyo nyie baadhi ya wabunge na wanaharakati uchwara mtambue vyema Kuwa Rais ni sehemu ya Bunge licha pia ndiyo Mkuu wa nchi na kiongozi wa serikali na Amir Jeshi Mkuu.

Hivyo mtakayoyafanya humo bungeni Ana Haki ya kuyafahamu kwasababu Na yeye ni sehemu ya Bunge .

Na Rais Magufuli Katika Kipindi hiki anacho endelea kuijenga serikali na kuakikisha ahadi zote alizozitoa kwa wananchi Katika Kampeni za uchaguzi Mkuu Mwaka 2015 wakati akiomba a chaguliwa Kuwa rais , nilazima pia kuendane sambamba na yeye na safu yake kuisuka pia mihimili mingine ambayo ni Bunge na Mahakama.Kwani yeye Rais ni sehemu ya Bunge na hakatazwi kuwafanya mawasiliano ya wazi,Siri na Spika na Naibu Spika wake.

Nchi haiendeshwi kihuni kama mnavyozani,huwezi Kuwa na serikali imara halafu serikali hiyo ikubali Kuwa na Bunge la ovyo ovyo .Nchi itayumba .

Tunataka Bunge imara ambalo lina wabunge imara Ambao wanajua Kujenga hoja bila kufanya vitendo vya kihuni ndani ya bunge ili Tujenge nchi yenye uwajibikaji.

Kuwa mwanasiasa sio tiketi ya kufanya vitendo Vya kihuni, kuvunja Kanuni kwa kisingizio Kuwa eti Naibu Spika, Spika wanapendelea CCM au wanatumiwa na Mhimili wa Serikali kugandamiza wapinzani .

Muunganwa asifiwi ushenzi, hata kama ni kweli Spika, Naibu Spika wanatumika na serikali ,wanawagandamiza wapinzani, wabunge wa upinzani mlipaswa mtumie njia sahihi kupinga vitendo hivyo Vya Naibu Spika na Spika kuliko kuamua kuvunja Kanuni Matokeo yake hata kama ni kweli hoja Zenu zilikuwa ni za Msingi ,mmeishazipoteza, mmeadhibiwa.

Mimi Mwenyewe siungi mkono Bunge kuto onyesha Live lakini hata siku Moja sijawahi kufanya vitendo Vya Uvunjifu wa Sheria Kuonyesha napingana uamuzi wa Bunge wa kukataa Bunge lisionyweshwe Live.

Hakuna ubishi CHADEMA ya sasa baada ya uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015 kumalizika siyo Chadema ya Kipindi kile iliyokuwa imestawi, Chadema ya sasa tuwe wa kweli tu najua baadhi ya wafuasi wengine wa Chadema wana Maradhi ya kutokubali Chama chao kikosolewe watapinga , Chadema hivi sasa ni kama imepoteza dira na Taratibu Umaarufu wake utapungua.Huo Ndio ukweli mchungu.

Kambi ya upinzani Bungeni katika Utawala huu wa serikali ya awamu ya Tano,chini ya Rais Magufuli ,imeyumba sana .

Tazama Katika ukurasa wa Facebook wa Zitto Kabwe utetezi wake kuhusu Adhabu hiyo waliyopewa ni sawa na wa mtoto Mdogo ambaye ametega kwenda shule Akaamua kwenda kinyemeleza ziwani kuvua Samaki
Wajinga wachache ndiyo wanaamini utetezi wake wake Kwenye mitandao usiyo kuwa na kichwa wa miguu.

Zitto hafai Kuwa kiongozi anafaha Kuwa Mwanaharakati. Zitto na Chadema wapi na wapi?Kwanza sera za Chama Chake cha ACT Wazalendo na Chadema ni tofauti. Ajabu sana!

Mbunge wa Bunda (Chadema ) Esta Bulaya namchukulia kama ni mwanasiasa kijana aliyepotea mwelekeo .

Aiingii akilini haraka ,Bulaya Huyo Aliyehama CCM Mwaka Jana akajiunga na Chadema licha ni Haki yake kwa mujibu wa Ibara ya 20(1) ya Katiba ya nchi ya kujiunga na Chama chochote anachokitaka .

Siasa za kiuanaharakati uchwara anazozifanya Bulaya tangu ajiunge na Chadema zimeshindwa kumpambanua Lengo lake analolitaka Katika ulingo wa siasa ni lipia zaidi ya Kufanikiwa Mzee wa Steven Wassira na kufanikiwa kurudi bungeni kwa awamu ya pili.

Bulaya ameshindwa kuleta Mageuzi yanayowavutia wanawake vijana wavutiwe naye zaidi ya kila kukicha kutoka nje ya Bunge na Kulalamika Katika vyombo Vya Habari kwasauti ya juu Mithili ya mtu aliyepandisha mashetani.

Mfano mzuri ni wa Mama Samia Suluhu alipokuwa Mbunge, waziri alichaguliwa Kuwa Naibu Spika Bunge Maalum la Katiba licha ni mwanamke alikuwa na staha ,unyeyekevu na aliweza kushirikiana na Spika wake Samwel Sitta kuliendesha Bunge lile lilokuwa lina vioja Vya kila aina .

Na mwisho CCM Mwaka Jana ikampendekeza Kuwa Mgombea Mwenza wa kwanza mwanamke tangu CCM ianzishwe na ndiyo amekuwa Makamu wa Rais wa kwanza Tanzania,tangu Tanzania ipate Uhuru.

Leo hii wanawake tu namchukulia Samia kama mfano bora wa wanawake wanaweza kwasababu wakati alipokuwa mbunge ,Naibu Spika hakufanya ufedhuli wa kudharau Kanuni kama Nyie baadhi ya wabunge wanawake vijana Bulaya, Mdee mnavyomfanya ufedhuli ndani na nje Bunge hadi mmeadhibiwa.

Leo hii Nyie wanasiasa wanawake vijana mmeshindwa Kujenga matumaini kwa wanawake vijana ili waige kutoka kwenu zaidi zaidi hivi sasa Mara kwa Mara mmekuwa mkionekana Kwenye Televisheni mkibwatuka tu ,kuropokaropoka hivyo kujitengenezea sifa Mbaya ambazo hamstahili Kuwa nazo kama wabunge wa kuchaguliwa wanawake vijana.

Angalau hivi sasa Mbunge wa Arusha Mjini( Chadema) , Godbless Lema Ukimtazama na kumsikiliza wakati akitoa baadhi ya michango yake ndani ya Bunge unapenda unamsikiliza licha U Lema wake bado haujamtoka.

Lema angeweza kuandaliwa na Chama Chake angeweza kuipeleka Mbele Chadema .

Hivi sasa Lema anaonekana ameanza kukomaa kisiasa ,ule uhuni wake wa zamani wa kuongea ovyo,umeanza kumtoka.Hakika Godbles Lema amebadilika kidogo.

Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni,Freeman Mbowe Leo hii Hana sauti zaidi ya wabunge wahuni .Simsikii Mbowe akitoa matamko ya Kujenga Chama kama awali.Kulikoni?

Ni hitimishe kwa Kulishauri Bunge hizo Kanuni walizotumia wa kuwadhibu wabunge Hao Saba wa upinzani, basi Mbele ya safari pia zitumike kuwaadhibu baadhi ya wabunge wa CCM ambao nao wanalalamikiwa Kuwa wanawatolea maneno yasiyofaha wabunge wa upinzani.

Pia Spika Ndugai na Dk.Tulia jiepusheni na tuhuma zinazowaandama hasa wewe Naibu Spika Dk.Tulia Kuwa unatumiwa na serikali Kwani msipojiepusha nazo kama ni kweli hamtoaminika.

Mimi binafsi sina ushahidi na Hilo ila ukweli mnaujua Nyie .Ila kama ni kweli wakati mkitekeleza majukumu yenu ndani ya Bunge jaribuni Kuwa 'umpire' , yaani muwe katikati yaani refa ,msionyeshe Kupendelea upande wowote .

Aidha na Nyie wabunge wakorofi, msiotaka kuheshimu Kanuni,Sheria Mabadilike anze ni Kujenga Utamaduni wa kuheshimu Kanuni na Kujenga Utamaduni wa kuvumilia.

Sheria, Kanuni zipo tena mmezitunga wenyewe ,mziiti na mziheshimu mkishindwa kufanya hivyo Mkae mkijua Naibu Spika Dk.Tulia ni Mhadhiri wa Sheria hivyo sidhani atakubali kuona Kanuni na Sheria mnazivunja awache bila kuwachukulia Hatua.

Wabunge Saba Tayari wameishaadhibiwa bila kujali Umaarufu wao, na Bunge linaendelea vizuri bila wao kuwepo na Matokeo yake Jamii hivi sasa inawachukulia ni wabunge hao saba wahuni ambao wamepatikana na hatia ya kudharau mamlaka ya Spika .

Mwisho nawashauri wabunge 'wahuni au wabunge wafungwa,Tulieni mtu mike Adhabu Zenu kwa ni dhamu.

Tabia ya baadhi yenu kukaa Kwenye mitandao na kuwatafuta mazuzu huko mitaani wawatetee kwa Jamii kupitia Mlango wa nyuma ili muonekane mmeonewa haitowasaidia Kabisa maana Mimi Binfasi tangu Juzi nimekuwa nikipambana vikali na baadhi ya watu tena wengine wakiwa waandishi wakongwe ambao walikuwa wanajaribu kupotosha ukweli wa hukumu hiyo ya Kamati ya Haki ,Madaraka ya Bunge inayoongozwa na George Mkuchika kwasababu za kijinga tu kisa wana mahusiano na wabunge Hao, waandishi Hao ni wanachama wa baadhi Chama wanachotoka baadhi ya wabunge wahuni .Na wamefyata Mkia.

Na Mbaya zaidi nakala ya uamuzi wa Bunge ipo inayooelezwa makosa mliyotenda ,Kanuni iliyomtumika kuwaadhibu, lini mlifanya makosa hayo.

Hivyo Tulieni Nyie wabunge wahuni mtumikie Adhabu yenu iliyotokana na matendo ya kihuni mliyoyatenda ndani ya Bunge Januari 27 Mwaka huu, mkavunja Kanuni na kudharau mamlaka ya Spika wakati kwa hadhi yenu hamkumpaswa kujivunjia heshima kwa kutenda uhuni ule wa kudharau mamlaka ya Spika .Ifike mahala Utawala wa Sheria uheshimiwe kwa vitendo.

Mungu ibariki Tanzania

Facebook: Happy Katabazi
Blogg: www.katabazihappy.blogspot.com
acha kutaja taja jina langu hivyo hovyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom