Wimbo huu kwa hisani ya emwandosya wa YOUTUBE:
Inatukumbusha jinsi Tanzania ilipokuwa kimbilio la wanamapinduzi wakaweka makazi yao Tanzania mfano Samora Machel, Eduardo Mondlane n.k na wazazi wangu waliupenda sana wimbo huu naambiwa ikiwemo Mzee Moses Mnauye na watoto wa halaiki.
Last edited by a moderator: