Ifanye forex kuwa biashara yakukuingizia kipato kidogo kila siku

Salaam....

Baada ya utafiti wangu wa muda kwenye soko la forex nimekuja na vitu ambacho naamini vinaweza kuwa ni msaada mkubwa sana kwa wapambanaji wenzangu wanaotaka kubadilisha mifumo ya maisha yao kwa fursa mbalimbali zinazojitokeza kutokana na kukua kwa technolojia.

Asilimia 90% ya watanzania tumeishi kwa mtazamo wa kwamba ndoto kubwa tunazotakiwa kuwa nazo ni kusoma na kuja kuajiriwa hasa hasa serikalini na kwa asilimia chache wapo ndoto zao ni kuajiriwa mashirika binafsi na tunaamini mafanikio yamejificha huko hii hali imeangamiza familia nyingi sana na imezalisha watu wengi sana wasiojielewa na izo fikra zimewafanya wazee wetu waendelee kuamini kua heshima pekee na mafanikio ni mwanae kuajiriwa bila kuangalia nafasi zilizopo kwenye ajira na idadi ya wahitaji ni wengi mno.

Sasa basi kurahisisha maisha vijana wengi tumejikuta tunazivaa fursa mbali mbali tunazoamini zitatuletea unafuu wa maisha kama vile kubet football, kubashiri michezo mbalimbali mitandaoni kama biko n.k sio kwamba zilikua ndoto zetu hapana hatuna namna system imetupeleka uko.

Turudi kwa wadau wangu wa forex trading wale beginers na wale wazoefu kuna jambo nataka tuwekane sawa apa na lengo ni kusaidiana sisi sote ni wamoja tunatakiwa tuwe pamoja katika kupambana na hali ngumu za maisha, binafsi naijua hii biashara tokea 2016 mwishoni nimeshapata pesa kutokana hii biashara na nimeshapoteza pesa kutokana na hii biashara, nishagombana na watu na sio kwamba kuwepo muda mrefu kwenye soko ndo mafanikio hii kitu haifanyi kazi ivo tunakosea sana kuliendea hili soko inatakiwa tubadilishe mitazamo yetu na kikubwa ninachoamini soko lina pesa ni namna ya kuzichukua ndo inahitaji mbinu za uhalisia.

Tunachokosea sisi ni kitu kimoja tunatamani tulale masikini tuamke matajiri ndugu zangu kila kitu kina level hata kukua kiuchumi ni lazima upite level mbali mbali lazima uanzie chini ili uende juu nayasema haya sio kwamba nina mafanikio makubwa sokoni nayasema haya kwa experience ya mistake mbalimbali nilizopitia na kugundua kuwa natakiwa nifanye nini na atleast sikosi pesa ya kula kupitia hii biashara na lengo ni hilo tuanze kwanza level ya chini yani usikose pesa ya kula elfu 10, 20, 30 zisikupige chenga kwa siku au siku mbili

Huna haja ya kutamani kutengeneza kiwango kikubwa cha pesa kwa muda mfupi au kwa kumuangalia mtu aliyefanikiwa kupitia hii biashara ukalazimisha uwe kama yeye unapaswa kuiendea biashara taratibu yani ifanye kama biashara zingine kwanza mambo mazuri yatakuja yenyewe na hivi ni vitu vya msingi unapaswa kuvizingatia:-

1. UNAPASWA KUJUA LEVEL YAKO KIUCHUMI
Yani hapa unatakiwa ujijue wewe ni nani unahali gani, mambo gani yamekuzunguka, una kiasi gani cha pesa na unatakiwa kuanzia wapi jua kabisa unafanya kwaajili ya nani usimuangalie mtu yeyote na ukataka kushindana nae labda umuangalie mtu kwa lengo lakujifunza au akupe motivation na hapa kuna mambo ya saikolojia yataingia sitayagusa kwa sasa ila ntawagusa watu wenyr level ya chini kama vijana wenzangu ambao hawana kazi wala biashara yakuwaingizia kipato

Unapoingia kwenye soko la forex usilazimishe kuwa tajiri mara moja hayo mawazo yatakucost na utaiona hii biashara ni mbaya siku zote

Ingia sokoni kwa kutafuta elfu 10 tu kwa siku

Yani hakikisha kwa siku unaingia order 7 tu na kila moja ikupatie $ 0.65

$0.65 = tsh 1500

1500 × 7 = 10500

Tsh 10500/= kwa siku ni kitu rahisi sana kukipata traders mnajua ilo, so hutokua na haja yakuwa omba omba kuwapiga watu mizinga hata pesa za vocha utaanza kukua taratibu kiuchumi ukijua unaweza kuingiza hata elfu 10 kwa siku.

2. UNAPASWA KUWA NA PLAN
Hii kitu muhimu sana unatakiwa ujue namna yakuandaa plan yako kutokana na kiwango cha pesa yako na unatakiwa ujue namna gani yakuifata na kuilinda plan yako siku zote

Sitoweza kuweka plan hapa kila mtu ana uchumi wake ila unapaswa kuandaa plan hata uwe na $5

Hupaswi mtu ukae kizembe tafuta namna yakupambana na umasikini

Nitaendelea nilipoishia...
Vijana katika safari yetu hii ngumu tuliyonayo sasa. Cha kwanza tupunguze matarajio hivyo tutapunguza presha na tutafanya mambo kwa hatua na tutafanikiwa
 
Acha kuwapotosha watu FX sio rahisi kiivyo braza.

Nyie ndio mnaitia nuksi hii industry.

Narudi kusema forex ni ngumu ngumu ngumu lakini inawezakana kuifanya.

Mnawaza pesa tu ila sio yaliyo kwenye hio biashara.

Mtu Hana ujuzi anaweza Hela zake Rehani anapigwa za uso na soko anakuja liialia.

Jamani eeh forex sio easy kiivyo

Kama hujadhamiria kweli kweli Hela Yako kafanye mitikasi mingine usije ukapoteza kizembe.

Forex is not for everyone.tuelewane wadau.
Sijampotosha mtu mzee point yako ni ipi apo mara forex ngumu mara inawezekana kuifanya so kumbe ni kitu kinachowezekana, ukizungumzia ugumu ofcoz ni ngumu ndo maana tunapambana kila siku na mbinu mpya ili tusurvive ingekua simple kila mtu angefanya na hakuna biashara rahis chini ya jua wewe ndo unapotosha watu ukishindwa wewe achia ngazi wengine wakae na lengo la uzi huu nikushare kitu ambacho naona kinanisaidia yani kurahisisha ugumu wa business na kivyovyote vile watu wataendelea kutrade tu hii industry sio ya leo ni kitambo ningezungumzia biashara ya mbao apa au biashara ya nguo nisingekua natia nuksi
 
jifunze then stage ya pili ni kdeal na emotion na risk management,

tafuta maarifa trade na mtaji mzuri weka lot ndogo think long term grow grow
 
Sijampotosha mtu mzee point yako ni ipi apo mara forex ngumu mara inawezekana kuifanya so kumbe ni kitu kinachowezekana, ukizungumzia ugumu ofcoz ni ngumu ndo maana tunapambana kila siku na mbinu mpya ili tusurvive ingekua simple kila mtu angefanya na hakuna biashara rahis chini ya jua wewe ndo unapotosha watu ukishindwa wewe achia ngazi wengine wakae na lengo la uzi huu nikushare kitu ambacho naona kinanisaidia yani kurahisisha ugumu wa business na kivyovyote vile watu wataendelea kutrade tu hii industry sio ya leo ni kitambo ningezungumzia biashara ya mbao apa au biashara ya nguo nisingekua natia nuksi
fx sio ngumu ila ugumu tunaweka wenyewe
 
Salaam....

Baada ya utafiti wangu wa muda kwenye soko la forex nimekuja na vitu ambacho naamini vinaweza kuwa ni msaada mkubwa sana kwa wapambanaji wenzangu wanaotaka kubadilisha mifumo ya maisha yao kwa fursa mbalimbali zinazojitokeza kutokana na kukua kwa technolojia.

Asilimia 90% ya watanzania tumeishi kwa mtazamo wa kwamba ndoto kubwa tunazotakiwa kuwa nazo ni kusoma na kuja kuajiriwa hasa hasa serikalini na kwa asilimia chache wapo ndoto zao ni kuajiriwa mashirika binafsi na tunaamini mafanikio yamejificha huko hii hali imeangamiza familia nyingi sana na imezalisha watu wengi sana wasiojielewa na izo fikra zimewafanya wazee wetu waendelee kuamini kua heshima pekee na mafanikio ni mwanae kuajiriwa bila kuangalia nafasi zilizopo kwenye ajira na idadi ya wahitaji ni wengi mno.

Sasa basi kurahisisha maisha vijana wengi tumejikuta tunazivaa fursa mbali mbali tunazoamini zitatuletea unafuu wa maisha kama vile kubet football, kubashiri michezo mbalimbali mitandaoni kama biko n.k sio kwamba zilikua ndoto zetu hapana hatuna namna system imetupeleka uko.

Turudi kwa wadau wangu wa forex trading wale beginers na wale wazoefu kuna jambo nataka tuwekane sawa apa na lengo ni kusaidiana sisi sote ni wamoja tunatakiwa tuwe pamoja katika kupambana na hali ngumu za maisha, binafsi naijua hii biashara tokea 2016 mwishoni nimeshapata pesa kutokana hii biashara na nimeshapoteza pesa kutokana na hii biashara, nishagombana na watu na sio kwamba kuwepo muda mrefu kwenye soko ndo mafanikio hii kitu haifanyi kazi ivo tunakosea sana kuliendea hili soko inatakiwa tubadilishe mitazamo yetu na kikubwa ninachoamini soko lina pesa ni namna ya kuzichukua ndo inahitaji mbinu za uhalisia.

Tunachokosea sisi ni kitu kimoja tunatamani tulale masikini tuamke matajiri ndugu zangu kila kitu kina level hata kukua kiuchumi ni lazima upite level mbali mbali lazima uanzie chini ili uende juu nayasema haya sio kwamba nina mafanikio makubwa sokoni nayasema haya kwa experience ya mistake mbalimbali nilizopitia na kugundua kuwa natakiwa nifanye nini na atleast sikosi pesa ya kula kupitia hii biashara na lengo ni hilo tuanze kwanza level ya chini yani usikose pesa ya kula elfu 10, 20, 30 zisikupige chenga kwa siku au siku mbili

Huna haja ya kutamani kutengeneza kiwango kikubwa cha pesa kwa muda mfupi au kwa kumuangalia mtu aliyefanikiwa kupitia hii biashara ukalazimisha uwe kama yeye unapaswa kuiendea biashara taratibu yani ifanye kama biashara zingine kwanza mambo mazuri yatakuja yenyewe na hivi ni vitu vya msingi unapaswa kuvizingatia:-

1. UNAPASWA KUJUA LEVEL YAKO KIUCHUMI
Yani hapa unatakiwa ujijue wewe ni nani unahali gani, mambo gani yamekuzunguka, una kiasi gani cha pesa na unatakiwa kuanzia wapi jua kabisa unafanya kwaajili ya nani usimuangalie mtu yeyote na ukataka kushindana nae labda umuangalie mtu kwa lengo lakujifunza au akupe motivation na hapa kuna mambo ya saikolojia yataingia sitayagusa kwa sasa ila ntawagusa watu wenyr level ya chini kama vijana wenzangu ambao hawana kazi wala biashara yakuwaingizia kipato

Unapoingia kwenye soko la forex usilazimishe kuwa tajiri mara moja hayo mawazo yatakucost na utaiona hii biashara ni mbaya siku zote

Ingia sokoni kwa kutafuta elfu 10 tu kwa siku

Yani hakikisha kwa siku unaingia order 7 tu na kila moja ikupatie $ 0.65

$0.65 = tsh 1500

1500 × 7 = 10500

Tsh 10500/= kwa siku ni kitu rahisi sana kukipata traders mnajua ilo, so hutokua na haja yakuwa omba omba kuwapiga watu mizinga hata pesa za vocha utaanza kukua taratibu kiuchumi ukijua unaweza kuingiza hata elfu 10 kwa siku.

2. UNAPASWA KUWA NA PLAN
Hii kitu muhimu sana unatakiwa ujue namna yakuandaa plan yako kutokana na kiwango cha pesa yako na unatakiwa ujue namna gani yakuifata na kuilinda plan yako siku zote

Sitoweza kuweka plan hapa kila mtu ana uchumi wake ila unapaswa kuandaa plan hata uwe na $5

Hupaswi mtu ukae kizembe tafuta namna yakupambana na umasikini

Nitaendelea nilipoishia...
Nafanya Nini kama nataka kujifunza forex from scratch? Yani Sina ninachokijua hata kimoja kuhusu forex lakini nimevutiwa nayo na nataka kuijua?
Au ni materials Gani naweza soma?
 
Mimi nilikua nafanya hii biashara nikawa nafanya analysis zangu fresh naambulia kidogo napoteza kidogo japo faida ilikua inazidi, nikashauliwa kununua signals hapo ndo nikala za uso balaa nikakimbia. Nawaza kuludi tena kwenye hii biashara so ushauli wangu tuanzishe group la kufanya analysis na kutuma pdf mbalimbali na videoa za mafunzo kwa wasiojua kabisa
 
Ugumu unakuja pale ambapo tunataka tutoboe fasta bila maarifa
Au mtu afuate huu utaratibu
IMG_20220713_170535_522.jpg
 
Salaam....

Baada ya utafiti wangu wa muda kwenye soko la forex nimekuja na vitu ambacho naamini vinaweza kuwa ni msaada mkubwa sana kwa wapambanaji wenzangu wanaotaka kubadilisha mifumo ya maisha yao kwa fursa mbalimbali zinazojitokeza kutokana na kukua kwa technolojia.

Asilimia 90% ya watanzania tumeishi kwa mtazamo wa kwamba ndoto kubwa tunazotakiwa kuwa nazo ni kusoma na kuja kuajiriwa hasa hasa serikalini na kwa asilimia chache wapo ndoto zao ni kuajiriwa mashirika binafsi na tunaamini mafanikio yamejificha huko hii hali imeangamiza familia nyingi sana na imezalisha watu wengi sana wasiojielewa na izo fikra zimewafanya wazee wetu waendelee kuamini kua heshima pekee na mafanikio ni mwanae kuajiriwa bila kuangalia nafasi zilizopo kwenye ajira na idadi ya wahitaji ni wengi mno.

Sasa basi kurahisisha maisha vijana wengi tumejikuta tunazivaa fursa mbali mbali tunazoamini zitatuletea unafuu wa maisha kama vile kubet football, kubashiri michezo mbalimbali mitandaoni kama biko n.k sio kwamba zilikua ndoto zetu hapana hatuna namna system imetupeleka uko.

Turudi kwa wadau wangu wa forex trading wale beginers na wale wazoefu kuna jambo nataka tuwekane sawa apa na lengo ni kusaidiana sisi sote ni wamoja tunatakiwa tuwe pamoja katika kupambana na hali ngumu za maisha, binafsi naijua hii biashara tokea 2016 mwishoni nimeshapata pesa kutokana hii biashara na nimeshapoteza pesa kutokana na hii biashara, nishagombana na watu na sio kwamba kuwepo muda mrefu kwenye soko ndo mafanikio hii kitu haifanyi kazi ivo tunakosea sana kuliendea hili soko inatakiwa tubadilishe mitazamo yetu na kikubwa ninachoamini soko lina pesa ni namna ya kuzichukua ndo inahitaji mbinu za uhalisia.

Tunachokosea sisi ni kitu kimoja tunatamani tulale masikini tuamke matajiri ndugu zangu kila kitu kina level hata kukua kiuchumi ni lazima upite level mbali mbali lazima uanzie chini ili uende juu nayasema haya sio kwamba nina mafanikio makubwa sokoni nayasema haya kwa experience ya mistake mbalimbali nilizopitia na kugundua kuwa natakiwa nifanye nini na atleast sikosi pesa ya kula kupitia hii biashara na lengo ni hilo tuanze kwanza level ya chini yani usikose pesa ya kula elfu 10, 20, 30 zisikupige chenga kwa siku au siku mbili

Huna haja ya kutamani kutengeneza kiwango kikubwa cha pesa kwa muda mfupi au kwa kumuangalia mtu aliyefanikiwa kupitia hii biashara ukalazimisha uwe kama yeye unapaswa kuiendea biashara taratibu yani ifanye kama biashara zingine kwanza mambo mazuri yatakuja yenyewe na hivi ni vitu vya msingi unapaswa kuvizingatia:-

1. UNAPASWA KUJUA LEVEL YAKO KIUCHUMI
Yani hapa unatakiwa ujijue wewe ni nani unahali gani, mambo gani yamekuzunguka, una kiasi gani cha pesa na unatakiwa kuanzia wapi jua kabisa unafanya kwaajili ya nani usimuangalie mtu yeyote na ukataka kushindana nae labda umuangalie mtu kwa lengo lakujifunza au akupe motivation na hapa kuna mambo ya saikolojia yataingia sitayagusa kwa sasa ila ntawagusa watu wenyr level ya chini kama vijana wenzangu ambao hawana kazi wala biashara yakuwaingizia kipato

Unapoingia kwenye soko la forex usilazimishe kuwa tajiri mara moja hayo mawazo yatakucost na utaiona hii biashara ni mbaya siku zote

Ingia sokoni kwa kutafuta elfu 10 tu kwa siku

Yani hakikisha kwa siku unaingia order 7 tu na kila moja ikupatie $ 0.65

$0.65 = tsh 1500

1500 × 7 = 10500

Tsh 10500/= kwa siku ni kitu rahisi sana kukipata traders mnajua ilo, so hutokua na haja yakuwa omba omba kuwapiga watu mizinga hata pesa za vocha utaanza kukua taratibu kiuchumi ukijua unaweza kuingiza hata elfu 10 kwa siku.

2. UNAPASWA KUWA NA PLAN
Hii kitu muhimu sana unatakiwa ujue namna yakuandaa plan yako kutokana na kiwango cha pesa yako na unatakiwa ujue namna gani yakuifata na kuilinda plan yako siku zote

Sitoweza kuweka plan hapa kila mtu ana uchumi wake ila unapaswa kuandaa plan hata uwe na $5

Hupaswi mtu ukae kizembe tafuta namna yakupambana na umasikini

Nitaendelea nilipoishia...
Basi mi huwa nashtukia nshamwaga lot hata room ya trade kubreath hakuna....yaan ndio tatzo langu hili
 
Mimi nilikua nafanya hii biashara nikawa nafanya analysis zangu fresh naambulia kidogo napoteza kidogo japo faida ilikua inazidi, nikashauliwa kununua signals hapo ndo nikala za uso balaa nikakimbia. Nawaza kuludi tena kwenye hii biashara so ushauli wangu tuanzishe group la kufanya analysis na kutuma pdf mbalimbali na videoa za mafunzo kwa wasiojua kabisa
Even me bro. Nimekuja kugundua tunawapa faida kwa wanao share signal..
 
Mimi naingia chimbo madesa ya kifa mtu miezi mitatu naanza kupiga mzigo...kwa real account...
 
Nakubaliana na point ya pili, ila ya kwanza nakupinga kwa sababu lazima utaishia kuunguza account tu. Kwenye forex usijiwekee malengo ya kifedha kwa siku. Lenga kutafuta setups nzuri hizo ndio zitakupa pesa zaidi ya hayo malengo ya per day.

Forex sio biashara ya bajaj sijui kila siku uwe unapeleka marejesho. Create plan yako then ishi nayo. Wiki iliyopita ya kuanzia tar 25-29 hii pair AUD/USD imelamba kichwa halafu NZD/JPY kanitoa mavumbini. TUENDELEE KUPAMBANA
 
achana na iyo forex inahitaji mtaji join hapa jishighilishe online pata pesa link iyo apo
Mzee hii Sasa unapata vip pesa maana naona inaleta hiz option tu hapa
Screenshot_20220813-041051.jpg


Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
 
Nakubaliana na point ya pili, ila ya kwanza nakupinga kwa sababu lazima utaishia kuunguza account tu. Kwenye forex usijiwekee malengo ya kifedha kwa siku. Lenga kutafuta setups nzuri hizo ndio zitakupa pesa zaidi ya hayo malengo ya per day.

Forex sio biashara ya bajaj sijui kila siku uwe unapeleka marejesho. Create plan yako then ishi nayo. Wiki iliyopita ya kuanzia tar 25-29 hii pair AUD/USD imelamba kichwa halafu NZD/JPY kanitoa mavumbini. TUENDELEE KUPAMBANA

Follow your plan usikimbize pesa. Kama siku iyo umekosa set up ya plan yako subiri kesho, kesho kutwa ata week ukiipata ingia
 
Forex sio ngumu na sio rahisi, Chukulia jana mfano kulikuwa na taarifa nyingi saba za Uchumi hasa Ulata maana yake walio kuwa wana sale EURO jana watakwa kwa sasa wanachekelea make Euro jana ili nyanyaswa mbaya na kibaya zaidi zile ncbi za ulaya zilikuwa zinapishana kama lisaa kutoa taarifa na mbaya taarifa zote zikawa mbaya.

Nilicho jifunza Forex pia ni kucheza na taarifa za habari zile zina impact ya kutisha make zile ndo either upige pesa au uunguze account.

Siku kama ya jana niliivulia kofia Fundamental analysisi
Sasa mkuu mbona hilo swala la kucheza na taarifa ya habari kama umesoma vizuri forex hatua kwa hatua ndo wanachokisisitiza tena ukisoma vitabu vinakuambia kwa kila bara i.e America, Ulaya, Asia taarifa za habari hua zinatoka muda gani ninachokiona watu wengi hawajawekeza kwenye elimu kabisa labda nikuulize kabla ya kutrade hua unaangalia kitu gani?
 
Back
Top Bottom