Ifahamu mikoa 10 yenye maghorofa mengi Tanzania

Acha masihala mkuu,wewe unaweza Jenga majengo sehemu ambayo haina biashara kwa hoja yako unamaanisha Kigoma?

Mkoa wa Kigoma una Kasulu na Kigoma Mjini usisahau Hilo Ni Miji mikubwa hiyo ,Rukwa na Katavi Ni hapo Mjini tuu Yaani Sumbawanga na Mpanda.

Kwa mfano Kuna mji unaitwa inyonga upo ndani ya pori kubwa Sana . Ila kwa Sasa umeunganishwa na lami hivyo utaanza kukua.
 
Kwa mfano Kuna mji unaitwa inyonga upo ndani ya pori kubwa Sana . Ila kwa Sasa umeunganishwa na lami hivyo utaanza kukua.

Kweli wilaya za katavi ni either kata au tarafa zilizo porini ndio zilikua promoted na zaidi nadhani kwa sababu shughuli kuu katavi ni kilimo na kuna tatizo nililiona Rukwa na Katavi bado hawajaweza kuzitumia fursa za mipaka yake na nchi kama Congo ipasavo hasa wenyeji hawajajichanganya sana kufetch pesa kwenye nchi ya congo,
 
Kumbe ishu ya jiji au mji na maghorofa ni vitu vyenye uhusiano kwa mbali sana ndo natambua leo

Just imagine Mwanza na Mbeya hakuna maghorofa mengi wanazidiwa mpaka na Arusha lakini ndo majiji makubwa ukiacha Dar

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app

Nadhani statistics zinaangalia mkoa mzima. Arusha Kama jiji wanaweza wasiwe na maghorofa mengi ila kimkoa akawazidi Mbeya na Mwanza.
 
Kweli wilaya za katavi ni either kata au tarafa zilizo porini ndio zilikua promoted na zaidi nadhani kwa sababu shughuli kuu katavi ni kilimo na kuna tatizo nililiona Rukwa na Katavi bado hawajaweza kuzitumia fursa za mipaka yake na nchi kama Congo ipasavo hasa wenyeji hawajajichanganya sana kufetch pesa kwenye nchi ya congo,

Kweli kabisa. Siku wakitumia ule ukaribu na zile nchi kibiashara watafika mbali.
 
Bora hata Majimoto kuliko hiyo Inyonga..

Maji moto niliwahi kwenda pakiwa porini kabisa miaka kumi baadae narudi nilitamani kuficha sura yangu yule msukuma jamaa yangu aliekua ananilazimisha ninunue mashamba ambayo ni viwanja wakati huo tena bei mbaya wakati walikua ananibebembeleza wanipe ekari kwa 50elfu miaka hiyo nilibaki najiona bonge la fara, yaani ni mji wa biashara sijawahi kuona na watu ni wengi pale maji moto, starehe zinafanyika na ukienda msimu utakimbia pesa mwenyewe
 
Wachaga wanajega ghorofa migombani huko zakuishi.
Lazima wawe juu, kwenye maghorofa, ukilinganisha na mwanza ambako ghorofa nyingi ziko town na ni serikali au biashara.

Uko sahihi kabisa mchaga ni mtu ambae nyumba ya kuishi ikiwa ghorofa anaona fahari sana na kweli kwanza ilitokana na changamoto za ardhi, lakini sio kwao tu hata Dar wachaga wanamiliki ghorofa za kutosha anzia za biashara na kuishi, mkoa kama kagera wanajenga nyumba za kuishi bora vijijini lakini sio za ghorofa, kuna mikoa vijijini wanatia aibu sana bado makazi duni, nyumba za tembe dunia ya leo ni aibu sana basi tu au kulala nyumba moja na mifugo kama mbuzi, kuku, ng’ombe nadhani ni kukosa ustaarabu na kutokuendelea kifikra, mtu anaelala na mifugo ndani hawezi kufikiri vizuri huyo
 
Maji moto niliwahi kwenda pakiwa porini kabisa miaka kumi baadae narudi nilitamani kuficha sura yangu yule msukuma jamaa yangu aliekua ananilazimisha ninunue mashamba ambayo ni viwanja wakati huo tena bei mbaya wakati walikua ananibebembeleza wanipe ekari kwa 50elfu miaka hiyo nilibaki najiona bonge la fara, yaani ni mji wa biashara sijawahi kuona na watu ni wengi pale maji moto, starehe zinafanyika na ukienda msimu utakimbia pesa mwenyewe
Ni kweli mkuu pale ndio Kuna Pesa kwa Halmashauri ya Mpimbwe.
 
Unamaanisha nini mkuu hapa? Unataka kusema kwa Mwanza na Mbeya wameangalia jiji tu?
Nadhani statistics zinaangalia mkoa mzima. Arusha Kama jiji wanaweza wasiwe na maghorofa mengi ila kimkoa akawazidi Mbeya na Mwanza.
 
Back
Top Bottom