comrade wetu
JF-Expert Member
- Nov 5, 2018
- 964
- 605
sijui mkuuAlifanya nini??
sijui mkuuAlifanya nini??
Siyo ccm na makada wakeHii idara ipo kwa ajili ya usalama wetu wote
Alifungiwa lini??sijui mkuu
sijui kabisa labda mode watujuzeAlifungiwa lini??
Writting style yenu mbona inaendana??!sijui kabisa labda mode watujuze
Writting style yenu mbona inaendana??!
Tatizo linatumika vibaya!! Lengo ni kutuweka salama lakini sasa linatumika kutisha usalama wa wananchi.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]sijui kama ni kweli mkuu
Usalama wa taifa letu la Tanzania na ustawi wake ni jukumu la kila mwananchi na unaanza na wewe. Timiza wajibu wako ipasavyo.Ifahamu TISS
Madhumuni, kazi na nguvu yao juu ya usalama wa nchi,
Angalieni hapo kwenye vipengele vya nguvu zao na limitation zao,
Kwa ufupi ni lazima wapate approval ya polisi au wizara kuingilia uhuru wa watu
Na vile vile inaeleza wazi wasiingilie uhuru wa watu kwenye masuala ya kisiasa, au matamshi yao kisiasa
Na muhimu zaidi iko chini ya ofisi ya Rais, Ndio hapa tunapoona vigugumizi vya wizara husika,
Kwa kweli sina muda wa kutosha kutafsiri lakini naomba wachangiaji waweze kututafsiria zaidi,
Na malalamiko yetu wananchi yafikishwe wapi, kipengele hicho sikioni, lakini bunge likae juu ya kufanya marekebisho MAKUBWA juu ya hichi chombo
![]()
![]()
![]()
![]()
http://www.vertic.org/media/National Legislation/Tanzania/TZ_Intelligence_Security_Services_Act.pdf
Kwa hiyo hautaki kuitwa polisi??Kuna katabia ambacho sikapendi hasa pale hawa Jamaa wanapokutana na Polisi utasikia "wewe POLISI hapa msafara utapinda kulia" Hawana adabu kabisa na wanadharau sana.....!!!
Wananchi wanatimiza sana wajibu wao shida ipo kwa tuliowapa dhamanaUsalama wa taifa letu la Tanzania na ustawi wake ni jukumu la kila mwananchi na unaanza na wewe. Timiza wajibu wako ipasavyo.
Mbona hata CIA FBI au FSB wanatajwa tajwa sana aiku hizi mpaka unyeti wa vyombo vya ushushu haupo ten sembuse TISS.Zamani ili kuwa kuwaona ama kusikia wakitajwatajwa ili kuwa ngumu zaidi sana waliogopeka na kuheshimika sana,,,walikuwa kama wajinga lakini makina Sana ata bar walikuwa hawajisemisemi wao kina nani
Zamani idara hii bila
Division 1 au 2 huendi ila kwa yamejazwa matoto ya wana CCM yaliyofeli yakaenda JKT et nayo usalama...sio hata maitelejens.