Ifahamu Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Rubondo

SautiYaMnyonge

JF-Expert Member
May 13, 2018
439
742
Ndege yetu mpya aina ya Boeing 787-8 Dreamliner itakayowasili mchana wa leo imepewa jina la kisiwa cha Rubondo 'Rubondo Island'. Hii ni ndege ya nane mpya katika ya 11 zilizonunuliwa na serikali ya CCM inayoongozwa na Mhe Rais Dkt John Pombe MAGUFULI kwa lengo la kuimarisha shirika letu na ndege (ATCL).


Nimeona nikufahamishe kidogo juu ya kisiwa hiki kilichopewa hadhi ya hifadhi ya Taifa. Moja ya faida ya kumiliki shirika imara la ndege ni pamoja na kuutangaza utalii wetu ili watalii wengi zaidi waje nchini. Kuzipa ndege majina ya vivutio vyenu vya utalii ni njia moja wapo ya kuutangaza utalii wenu.


Sasa fahamu machache juu ya kisiwa hiki cha Rubondo:-

1. Kisiwa hiki waliishi wakazi waliojulikana kama Banyarubondo hadi kati ya mwaka 1964-1965 serikali ilipolazimika kuwaondoa kwa kuwalipa fidia na kisiwa hiki kutangazwa pori la akiba mnamo mwaka 1966 na baadae kupandishwa daraja kuwa hifadhi ya Taifa mwaka 1977. Kisiwa cha Rubondo kipo kusini magharibi mwa ziwa Victoria.


2. Kisiwa cha hifadhi ya Taifa Rubondo kina ukubwa wa kilomita za mraba 457 ambazo kati yake 237 ni nchi kavu na 220 ni maji. Hifadhi hii ipo jirani na visiwa 11 vya makazi ambavyo ni Mizo, Nyamitundu, Chitende, Katera, Iroba, Chambuzi, Munyila, Makosi na Izilambula.

3. Kisiwa cha hifadhi ya Taifa Rubondo ndio pekee hapa nchini na Afrika vinavyopatikana katika makazi ya maji ya ziwa.


4. Rubondo ina wanyama wa asili na waliopandikizwa. Mnyama wa asili ni nzohe ambaye anapatikana katika hifadhi hii pekee. Wapo vile vile tembo, sokwe mtu, pongo, mamba, viboko, fisi maji, ngedere, kenge, ndezi, vicheche, nguchiro, ndege aina 400, samaki aina 13, misitu minene mikubwa ya asili ya Kongo, fukwe zilizojaa rasilimali za uoto wa asili wenye harufu nzuri ya kipekee na eneo zuri la kulala watalii.


wafanyakazi wengi wa migodi mikubwa na viwanda vikubwa kanda ya ziwa, raia wa kigeni wanaokuja kufanya tafiti pia hupendelea kwenda kupumzika katika kisiwa hiki kwani kinavutia na kinautulivu wa hali ya juu. Panga kukitembelea.

#TanzaniaUnforgettable
#MabadilikoBora #MabadilikoYaKweli #MabadilikoTuliyoyataka #ChaguaCCMKaziIendelee



IMG_20191026_013135.jpeg
Hifadhi-ya-Rubondo%20(1).jpeg
Moja-ya-visiwa-vya-ndege-vilivyopo-katika-Hifadhi-ya-Taifa-ya-Rubondo-ambao-uhamahama-na-kwen...jpeg
Kisiwa-cha-Mamba-kilichoko-katika-Hifadhi-ya-Taifa-ya-Rubondo.jpeg
 
Nilimsikia Msemaji wa Serikali, akisema ni Ndege ya Saba itakayowasili leo majira ya saa 9 .

Mkuu naomba uniorodheshee ndege ambazo zimenunuliwa tangu jembe aingie madarakani. Mimi najua kuna
1. Dash 8- Q400- tatu
2. Airbus 220-300- mbili
3. Dreamliner- mbili (pamoja na hii ya leo)
Nyingine ni zipi tena?
 
Pamoja na kukipamba sana bado hakistahili kubebwa na Boeing 787 Dreamliner. Dreamliner ilipaswa ibebe kitu unique na kikubwa kwa sababu ni ndege ya masafa marefu. Rubondo ingekuwa kwenye Bombardier ingekuwa sawa kabisa.

Watanzania bado tuna tatizo kwenye branding and promotion. Ninachikiona ni kufanya matangazo ya kumridhisha Rais kwa vile anatoka kanda hiyo.

Hakuna mtalii atakayetoka India au Guangzhou kwa ajili ya kwenda Rubondo kuja kuviona hivyo vitu ulivyo vitaja mtoa mada.

Tuendelee kupaza sauti ya kuitangaza Kilimanjaro, Ngorongoro na Serengeti. Ni kweli Kilimanjaro nalo limeandikwa, ila badala ya Rubondo basi tungeendelea kuandika vilele vya Mawenzi au Kibo.

Ushauri; ATCL ihusishe Wizara ya Utalii au taasisi zilizo chini yake kama TTB au TANAPA kwenye branding.
 
Pamoja na kukipamba sana bado hakistahili kubebwa na Boeing 787 Dreamliner. Dreamliner ilipaswa ibebe kitu unique na kikubwa kwa sababu ni ndege ya masafa marefu. Rubondo ingekuwa kwenye Bombardier ingekuwa sawa kabisa.

Watanzania bado tuna tatizo kwenye branding and promotion. Ninachikiona ni kufanya matangazo ya kumridhisha Rais kwa vile anatoka kanda hiyo.

Hakuna mtalii atakayetoka India au Guangzhou kwa ajili ya kwenda Rubondo kuja kuviona hivyo vitu ulivyo vitaja mtoa mada.

Tuendelee kupaza sauti ya kuitangaza Kilimanjaro, Ngorongoro na Serengeti. Ni kweli Kilimanjaro nalo limeandikwa, ila badala ya Rubondo basi tungeendelea kuandika vilele vya Mawenzi au Kibo.

Ushauri; ATCL ihusishe Wizara ya Utalii au taasisi zilizo chini yake kama TTB au TANAPA kwenye branding.


Kumbe umewaza km mm..nimeshangaa sn kuiita Rubondo ...mbona haifit kbs jamani?kuna mambo senstive sana ya kujiadvertise kuliko kitafutiza tu vitu tudogoooo
 
Pamoja na kukipamba sana bado hakistahili kubebwa na Boeing 787 Dreamliner. Dreamliner ilipaswa ibebe kitu unique na kikubwa kwa sababu ni ndege ya masafa marefu. Rubondo ingekuwa kwenye Bombardier ingekuwa sawa kabisa.

Watanzania bado tuna tatizo kwenye branding and promotion. Ninachikiona ni kufanya matangazo ya kumridhisha Rais kwa vile anatoka kanda hiyo.

Hakuna mtalii atakayetoka India au Guangzhou kwa ajili ya kwenda Rubondo kuja kuviona hivyo vitu ulivyo vitaja mtoa mada.

Tuendelee kupaza sauti ya kuitangaza Kilimanjaro, Ngorongoro na Serengeti. Ni kweli Kilimanjaro nalo limeandikwa, ila badala ya Rubondo basi tungeendelea kuandika vilele vya Mawenzi au Kibo.

Ushauri; ATCL ihusishe Wizara ya Utalii au taasisi zilizo chini yake kama TTB au TANAPA kwenye branding.
Zipo ndege tatu mpya zitakazowasili mwakani ambazo zitabeba majina hayo mengine.... Ngorongoro ipo au hujaosoma
 
Umeeleza kwa ufupi sana, labda niongezee nyama kidogo ni kwamba waliokuwa wakiishi katika kisiwa hicho ni wazinza wa ukoo wa wanyarubondo. Maana ulivyoeleza utadhani wanyarubondo ni kabila. Aidha, ifahamike kwamba kisiwa hicho kiko katika wilaya ya Geita na mkoa wa Geita.
Ndege yetu mpya aina ya Boeing 787-8 Dreamliner itakayowasili mchana wa leo imepewa jina la kisiwa cha Rubondo 'Rubondo Island'. Hii ni ndege ya nane mpya katika ya 11 zilizonunuliwa na serikali ya CCM inayoongozwa na Mhe Rais Dkt John Pombe MAGUFULI kwa lengo la kuimarisha shirika letu na ndege (ATCL).


Nimeona nikufahamishe kidogo juu ya kisiwa hiki kilichopewa hadhi ya hifadhi ya Taifa. Moja ya faida ya kumiliki shirika imara la ndege ni pamoja na kuutangaza utalii wetu ili watalii wengi zaidi waje nchini. Kuzipa ndege majina ya vivutio vyenu vya utalii ni njia moja wapo ya kuutangaza utalii wenu.


Sasa fahamu machache juu ya kisiwa hiki cha Rubondo:-

1. Kisiwa hiki waliishi wakazi waliojulikana kama Banyarubondo hadi kati ya mwaka 1964-1965 serikali ilipolazimika kuwaondoa kwa kuwalipa fidia na kisiwa hiki kutangazwa pori la akiba mnamo mwaka 1966 na baadae kupandishwa daraja kuwa hifadhi ya Taifa mwaka 1977. Kisiwa cha Rubondo kipo kusini magharibi mwa ziwa Victoria.


2. Kisiwa cha hifadhi ya Taifa Rubondo kina ukubwa wa kilomita za mraba 457 ambazo kati yake 237 ni nchi kavu na 220 ni maji. Hifadhi hii ipo jirani na visiwa 11 vya makazi ambavyo ni Mizo, Nyamitundu, Chitende, Katera, Iroba, Chambuzi, Munyila, Makosi na Izilambula.

3. Kisiwa cha hifadhi ya Taifa Rubondo ndio pekee hapa nchini na Afrika vinavyopatikana katika makazi ya maji ya ziwa.


4. Rubondo ina wanyama wa asili na waliopandikizwa. Mnyama wa asili ni nzohe ambaye anapatikana katika hifadhi hii pekee. Wapo vile vile tembo, sokwe mtu, pongo, mamba, viboko, fisi maji, ngedere, kenge, ndezi, vicheche, nguchiro, ndege aina 400, samaki aina 13, misitu minene mikubwa ya asili ya Kongo, fukwe zilizojaa rasilimali za uoto wa asili wenye harufu nzuri ya kipekee na eneo zuri la kulala watalii.


wafanyakazi wengi wa migodi mikubwa na viwanda vikubwa kanda ya ziwa, raia wa kigeni wanaokuja kufanya tafiti pia hupendelea kwenda kupumzika katika kisiwa hiki kwani kinavutia na kinautulivu wa hali ya juu. Panga kukitembelea.

#TanzaniaUnforgettable
#MabadilikoBora #MabadilikoYaKweli #MabadilikoTuliyoyataka #ChaguaCCMKaziIendelee



View attachment 1245023View attachment 1245024View attachment 1245025View attachment 1245026
 
Pamoja na kukipamba sana bado hakistahili kubebwa na Boeing 787 Dreamliner. Dreamliner ilipaswa ibebe kitu unique na kikubwa kwa sababu ni ndege ya masafa marefu. Rubondo ingekuwa kwenye Bombardier ingekuwa sawa kabisa.

Watanzania bado tuna tatizo kwenye branding and promotion. Ninachikiona ni kufanya matangazo ya kumridhisha Rais kwa vile anatoka kanda hiyo.

Hakuna mtalii atakayetoka India au Guangzhou kwa ajili ya kwenda Rubondo kuja kuviona hivyo vitu ulivyo vitaja mtoa mada.

Tuendelee kupaza sauti ya kuitangaza Kilimanjaro, Ngorongoro na Serengeti. Ni kweli Kilimanjaro nalo limeandikwa, ila badala ya Rubondo basi tungeendelea kuandika vilele vya Mawenzi au Kibo.

Ushauri; ATCL ihusishe Wizara ya Utalii au taasisi zilizo chini yake kama TTB au TANAPA kwenye branding.
Unajuaje Kama hawajawasiliana na tanapa
 
"Inayoongozwa na Dr John Joseph Pombe Magufuli" as if watu hawamjui Rais wa Tz! uchaguzi mkuu 2015 watu hawajui jina la Rais??? namna hii ya kumu adress Rais imekaa kimapambio ya sifa !!! ni Upuuzi! how about tax payers??? 😁😁😂😂😀😀
Ndege yetu mpya aina ya Boeing 787-8 Dreamliner itakayowasili mchana wa leo imepewa jina la kisiwa cha Rubondo 'Rubondo Island'. Hii ni ndege ya nane mpya katika ya 11 zilizonunuliwa na serikali ya CCM inayoongozwa na Mhe Rais Dkt John Pombe MAGUFULI kwa lengo la kuimarisha shirika letu na ndege (ATCL).


Nimeona nikufahamishe kidogo juu ya kisiwa hiki kilichopewa hadhi ya hifadhi ya Taifa. Moja ya faida ya kumiliki shirika imara la ndege ni pamoja na kuutangaza utalii wetu ili watalii wengi zaidi waje nchini. Kuzipa ndege majina ya vivutio vyenu vya utalii ni njia moja wapo ya kuutangaza utalii wenu.


Sasa fahamu machache juu ya kisiwa hiki cha Rubondo:-

1. Kisiwa hiki waliishi wakazi waliojulikana kama Banyarubondo hadi kati ya mwaka 1964-1965 serikali ilipolazimika kuwaondoa kwa kuwalipa fidia na kisiwa hiki kutangazwa pori la akiba mnamo mwaka 1966 na baadae kupandishwa daraja kuwa hifadhi ya Taifa mwaka 1977. Kisiwa cha Rubondo kipo kusini magharibi mwa ziwa Victoria.


2. Kisiwa cha hifadhi ya Taifa Rubondo kina ukubwa wa kilomita za mraba 457 ambazo kati yake 237 ni nchi kavu na 220 ni maji. Hifadhi hii ipo jirani na visiwa 11 vya makazi ambavyo ni Mizo, Nyamitundu, Chitende, Katera, Iroba, Chambuzi, Munyila, Makosi na Izilambula.

3. Kisiwa cha hifadhi ya Taifa Rubondo ndio pekee hapa nchini na Afrika vinavyopatikana katika makazi ya maji ya ziwa.


4. Rubondo ina wanyama wa asili na waliopandikizwa. Mnyama wa asili ni nzohe ambaye anapatikana katika hifadhi hii pekee. Wapo vile vile tembo, sokwe mtu, pongo, mamba, viboko, fisi maji, ngedere, kenge, ndezi, vicheche, nguchiro, ndege aina 400, samaki aina 13, misitu minene mikubwa ya asili ya Kongo, fukwe zilizojaa rasilimali za uoto wa asili wenye harufu nzuri ya kipekee na eneo zuri la kulala watalii.


wafanyakazi wengi wa migodi mikubwa na viwanda vikubwa kanda ya ziwa, raia wa kigeni wanaokuja kufanya tafiti pia hupendelea kwenda kupumzika katika kisiwa hiki kwani kinavutia na kinautulivu wa hali ya juu. Panga kukitembelea.

#TanzaniaUnforgettable
#MabadilikoBora #MabadilikoYaKweli #MabadilikoTuliyoyataka #ChaguaCCMKaziIendelee



View attachment 1245023View attachment 1245024View attachment 1245025View attachment 1245026
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom