Ifahamu ACT-Tanzania/Wazalendo

Ifahamu ACT-Tanzania/Wazalendo

Kaptula la Marx

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2015
Posts
981
Reaction score
449
Ndugu wanajamvi kuanzia sasa tutaanza kukichambua chama cha ACT-TANZANIA/WAZALENDO kwa kujadili mambo kadhaa yanayohusiana na chama hicho. Katika mfululizo wa mabandiko yetu pamoja na mambo mengine, duru ya siasa hapa jamvini itaangazia mambo yafuatayo:-

a) Nini maana ya ACT-TANZANIA/WAZALENDO? Jina lake, maana yake, nembo zake; kutoka ACT-TANZANIA hadi ACT-WAZALENDO, kunani? ACT TANZANIA vs ACT WAZALENDO nini tofauti? Ushahidi kutoka jikoni

b) Chimbuko la ACT-TANZANIA/WAZALENDO mfano, chanzo chake, waasisi/waanzishi wake, lini chama kilianza; ACT-TANZANIA / WAZALENDO na dhana ya usaliti kwa upinzani nchini Tanzania; Ujio wa ACT-TANZANIA / WAZALENDO unafuu kwa CCM au upinzani katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu? Ushahidi wa nyaraka na mawasiliano kutoka jikoni.

c) Misingi, Itikadi na Falsafa ya chama cha ACT-TANZANIA/ WAZALENDO; Misingi hiyo ni ipi? Itikadi ya ujamaa wa kidemokrasia ikoje; itikadi au falsafa? Uhalisia au njozi?

d) Mfumo na muundo wa uongozi ndani ya ACT-TANZANIA/ WAZALENDO; dhana ya Kiongozi Mkuu wa chama (Supreme Leader of the Party) na Kiongozi wa chama (Leader of the party); Kiongozi wa chama vs Mwenyekiti wa chama; mifano kutoka nchi mbalimbali duniani; Chama dola au si chama dola?

e) Dhana ya waasisi na wavamizi ndani ya ACT-TANZANIA/WAZALENDO; Je ni kweli kuna waasisi na wavamizi ndani ya ACT-TANZANIA / WAZALENDO? Nani walivamia na nani walivamiwa? ACT na msajili wa vyama kunani? Kwa nini maamuzi yale kutoka kwa msajili? Nini kiko nyuma ya pazia? Ushahidi kutoka jikoni

f) Uzinduzi wa ACT-TANZANIA / WAZALENDO; Kwa nini uzinduzi wa chama ulichelewa? Nini kilichelewesha uzinduzi na kwa nini? Mkutano mkuu wa chama; washiriki wa mkutano mkuu wa chama, washiriki au kiinimacho? Wapi walitoka? Ushahidi kutoka jikoni

g) Mapato na matumizi ndani ya ACT-TANZANIA/WAZALENDO; Tutaangazia vyanzo vya mapato ya chama hiki tangu kianze mwaka jana hadi hii leo; gharama za mkutano mkuu wa ACT-TANZANIA / WAZALENDO, nani alilipa gharama na kwa nini? Gharama za ziara ya kwanza ya kutambulisha chama mikoani (mikoa 10/11?) nani aligharimia ziara hizo na kwa nini? Je ziara awamu ya pili inaanza lini? Kwa nini ziara ya kutambulisha chama mikoani awamu ya pili imechelewa? Je tatizo ni gharama au kujipanga? Nani anakusudia kugharamia ziara awamu ya pili? Ushahidi kutoka jikoni.

Hili ni eneo ambalo limekuwa na maswali mengi kiasi kwamba hata wahusika wenyewe wamekuwa wakiulizwa vyanzo vya mapato wamekuwa ama wakikwepa kujibu au wanatoa visingizio. Duru tunasema sasa kila kitu kitawekwa wazi na ushahidi wa nyaraka zote na miamala, mawasliano ya barua, mazungumzo, minutes za vikao n.k vitawekwa hapa kwa ajili ya kuhakiki. Habari zote zinatoka jikoni na katika vyanzo vya uhakika.

f) Tutaangalia kuhusu mengineyo mfano katiba ya ACT-TANZANIA / WAZALENDO; Mabadiliko iliyopitia; Ushiriki wa ACT-TANZANIA / WAZALENDO katika uchaguzi wa serikali za mitaa, 2014; ushiriki wa ACT-TANZANIA / WAZALENDO katika Uchaguzi mkuu mwaka huu; uhusiano wa ACT-TANZANIA / WAZALENDO na vyama vingine vya upinzani hususani vyama vinavyounda UKAWA; uhusiano wa ACT-TANZANIA / WAZALENDO na CCM na mambo mengine mengi kama muda utaturuhusu duruni.

Uwazi na ukweli ndio dira yetu katika duru; unafiki kwetu mwiko. Tutasema kweli daima kwa ajili ya maslahi ya taifa, na sio kwa ajili ya maslahi binafsi ya genge la watu wachache au wachumia tumbo. Kila mnafiki tutamuumbua, na mkweli tutamuenzi katika duru zetu hizi.

Tusemezane; stay tuned, coming up soon! Tafadhali usiache kuchungulia humu JF mara kwa mara
 
ACT maana yake ni Agizo la Chama Tawala linaloongozwa na msaliti au wengi siku hizi humwita CEO --------- Zitto..Ni Tawi la chama cha majangili Tanzania yaani CCM, mapato yao ni kutoka chama mama yaani CCM..
 
ACT maana yake ni Agizo la Chama Tawala linaloongozwa na msaliti au wengi siku hizi humwita CEO --------- Zitto..Ni Tawi la chama cha majangili Tanzania yaani CCM, mapato yao ni kutoka chama mama yaani CCM..

Kutakuwa na mfululizo wa mabandiko mbalimbali yatakayojadili mambo yote hayo huku yakiambatana na ushahidi au viambatanisho kutoka jikoni. Mwenye uwezo wa kukanusha aje akanushe duru tuone kama ni mwanaume. Stay tuned, coming up later!
 
Kutakuwa na mfululizo wa mabandiko mbalimbali yatakayojadili mambo yote hayo huku yakiambatana na ushahidi au viambatanisho kutoka jikoni. Mwenye uwezo wa kukanusha aje akanushe duru tuone kama ni mwanaume. Stay tuned, coming up later!
ACT Ni kikundi kilichoundwa katika misingi ya usaliti kikiongozwa na MM (msaliti MKUU).Alliance for Cowards and Traitors Ni mkusanyiko WA wasaka tonge waliosaliti vyama vyao vya awali kwa kununuliwa na maccm.
 
Walipeni Mbeya city ,angalau Jezi zao ndio zinawabeba beba huku mtaani,nikiona mtu kaivaa najua ni nyie.


Halafu mkuu hivi wewe ndio 'usajili wa dirisha dogo la Mei'?, Kuja kuwa substitute ya Mwl. K? Maana speed yake siielewi elewi siku hizi.
 
Walipeni Mbeya city ,angalau Jezi zao ndio zinawabeba beba huku mtaani,nikiona mtu kaivaa najua ni nyie.


Halafu mkuu hivi wewe ndio 'usajili wa dirisha dogo la Mei'?, Kuja kuwa substitute ya Mwl. K? Maana speed yake siielewi elewi siku hizi.

Hapana, mimi siko huko mkuu. Sina chama chochote, bali ni Mtanganyika tu wa kawaida na mpenda mabadiliko. Watu wote wanaozuia mabadiliko haya ambayo Watanzania wameyahitaji muda mrefu tutamuumbua. Duruni ni uwazi na ukweli tu, unafiki kwetu mwiko. Tutasema kweli daima kwa ajili ya maslahi mapana ya taifa letu; wanafiki na wasaliti wa mabadiliko haya lazima tuwaumbue!
 
Hapana, mimi siko huko mkuu. Sina chama chochote, bali ni Mtanganyika tu wa kawaida na mpenda mabadiliko. Watu wote wanaozuia mabadiliko haya ambayo Watanzania wameyahitaji muda mrefu tutamuumbua. Duruni ni uwazi na ukweli tu, unafiki kwetu mwiko. Tutasema kweli daima kwa ajili ya maslahi mapana ya taifa letu; wanafiki na wasaliti wa mabadiliko haya lazima tuwaumbue!

Mkuu mbona huleti huo mundelezo nimekaa masaa kibao hapa Jf nikikusubili wewe au huna unalolijua umetupia hii thread kupima upepo?
 
Hata wale act-wasaliti waliopewa maburungutu wawe wanashinda mitandaoni kupaka dawa kiatu kichafu wamepotea kabisa......Wanasubiri awamu nyingine ya mgao wa pesa. Haya sasa mwiguluneti kakataa kuongeza pesa naona kimyaa.....CHAMA CHA MSIMU
NA TUTAJUANA TU MPAKA MWISHO
 
Mkuu mbona huleti huo mundelezo nimekaa masaa kibao hapa Jf nikikusubili wewe au huna unalolijua umetupia hii thread kupima upepo?

Mkuu Wa Kwilondo wewe subiri kila kitu kitaiva hapa jamvini kwenye duru. Mabandiko yanaendelea kuandaliwa mkuu, lazima kije kitu ambacho kimeshiba. Pia evidences za kutosha zinahitajika hasa kwenye eneo la mapato na matumizi. Mie niko jikoni kwa hiyo usiwe na wasiwasi, kila kitu kitawekwa wazi bwana mkubwa. Mbona nilishawahi kuweka ushahidi hapa toka jikoni kabisa lakini haukukaa muda mrefu ukafutwa. We endelea na shughuli zako, but stay tuned, coming up later!
 
teh teh teh dah aisee vichekesho vya act, zitto atawapoteza wengi kweli dah
 
Ndugu wanajamvi kuanzia sasa tutaanza kukichambua chama cha ACT-TANZANIA/WAZALENDO kwa kujadili mambo kadhaa yanayohusiana na chama hicho. Katika mfululizo wa mabandiko yetu pamoja na mambo mengine, duru ya siasa hapa jamvini itaangazia mambo yafuatayo:-

a) Nini maana ya ACT-TANZANIA/WAZALENDO? Jina lake, maana yake, nembo zake; kutoka ACT-TANZANIA hadi ACT-WAZALENDO, kunani? ACT TANZANIA vs ACT WAZALENDO nini tofauti? Ushahidi kutoka jikoni

b) Chimbuko la ACT-TANZANIA/WAZALENDO mfano, chanzo chake, waasisi/waanzishi wake, lini chama kilianza; ACT-TANZANIA / WAZALENDO na dhana ya usaliti kwa upinzani nchini Tanzania; Ujio wa ACT-TANZANIA / WAZALENDO unafuu kwa CCM au upinzani katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu? Ushahidi wa nyaraka na mawasiliano kutoka jikoni.

c) Misingi, Itikadi na Falsafa ya chama cha ACT-TANZANIA/ WAZALENDO; Misingi hiyo ni ipi? Itikadi ya ujamaa wa kidemokrasia ikoje; itikadi au falsafa? Uhalisia au njozi?

d) Mfumo na muundo wa uongozi ndani ya ACT-TANZANIA/ WAZALENDO; dhana ya Kiongozi Mkuu wa chama (Supreme Leader of the Party) na Kiongozi wa chama (Leader of the party); Kiongozi wa chama vs Mwenyekiti wa chama; mifano kutoka nchi mbalimbali duniani; Chama dola au si chama dola?

e) Dhana ya waasisi na wavamizi ndani ya ACT-TANZANIA/WAZALENDO; Je ni kweli kuna waasisi na wavamizi ndani ya ACT-TANZANIA / WAZALENDO? Nani walivamia na nani walivamiwa? ACT na msajili wa vyama kunani? Kwa nini maamuzi yale kutoka kwa msajili? Nini kiko nyuma ya pazia? Ushahidi kutoka jikoni

f) Uzinduzi wa ACT-TANZANIA / WAZALENDO; Kwa nini uzinduzi wa chama ulichelewa? Nini kilichelewesha uzinduzi na kwa nini? Mkutano mkuu wa chama; washiriki wa mkutano mkuu wa chama, washiriki au kiinimacho? Wapi walitoka? Ushahidi kutoka jikoni

g) Mapato na matumizi ndani ya ACT-TANZANIA/WAZALENDO; Tutaangazia vyanzo vya mapato ya chama hiki tangu kianze mwaka jana hadi hii leo; gharama za mkutano mkuu wa ACT-TANZANIA / WAZALENDO, nani alilipa gharama na kwa nini? Gharama za ziara ya kwanza ya kutambulisha chama mikoani (mikoa 10/11?) nani aligharimia ziara hizo na kwa nini? Je ziara awamu ya pili inaanza lini? Kwa nini ziara ya kutambulisha chama mikoani awamu ya pili imechelewa? Je tatizo ni gharama au kujipanga? Nani anakusudia kugharamia ziara awamu ya pili? Ushahidi kutoka jikoni.

Hili ni eneo ambalo limekuwa na maswali mengi kiasi kwamba hata wahusika wenyewe wamekuwa wakiulizwa vyanzo vya mapato wamekuwa ama wakikwepa kujibu au wanatoa visingizio. Duru tunasema sasa kila kitu kitawekwa wazi na ushahidi wa nyaraka zote na miamala, mawasliano ya barua, mazungumzo, minutes za vikao n.k vitawekwa hapa kwa ajili ya kuhakiki. Habari zote zinatoka jikoni na katika vyanzo vya uhakika.

f) Tutaangalia kuhusu mengineyo mfano katiba ya ACT-TANZANIA / WAZALENDO; Mabadiliko iliyopitia; Ushiriki wa ACT-TANZANIA / WAZALENDO katika uchaguzi wa serikali za mitaa, 2014; ushiriki wa ACT-TANZANIA / WAZALENDO katika Uchaguzi mkuu mwaka huu; uhusiano wa ACT-TANZANIA / WAZALENDO na vyama vingine vya upinzani hususani vyama vinavyounda UKAWA; uhusiano wa ACT-TANZANIA / WAZALENDO na CCM na mambo mengine mengi kama muda utaturuhusu duruni.

Uwazi na ukweli ndio dira yetu katika duru; unafiki kwetu mwiko. Tutasema kweli daima kwa ajili ya maslahi ya taifa, na sio kwa ajili ya maslahi binafsi ya genge la watu wachache au wachumia tumbo. Kila mnafiki tutamuumbua, na mkweli tutamuenzi katika duru zetu hizi.

Tusemezane; stay tuned, coming up soon! Tafadhali usiache kuchungulia humu JF mara kwa mara

Kifungu d. mwishoni umeandika nanukuu, "Chama dola au si chama dola?"


Umamana gani ,unajua unachoandika ?
 
Mimi nafikiri kuliko kupoteza muda kuwaambia watu wa JF ambao tayari wanauelewa ungejikita vijijini kwa walengwa zaidi.
 
Kifungu d. mwishoni umeandika nanukuu, "Chama dola au si chama dola?"


Umamana gani ,unajua unachoandika ?

Chama dola au si chama dola? Nina maana yangu mkuu, na ninajua nilichoandika hapo. Hilo lisikupe shida. Nitakapoweka mabandiko wewe utatoa maoni yako, lakini kitakachojadiliwa hapo ninakijua na nina uhakika nacho
 
Mimi nafikiri kuliko kupoteza muda kuwaambia watu wa JF ambao tayari wanauelewa ungejikita vijijini kwa walengwa zaidi.

Kuna njia nyingi za kuwafikishia watu ujumbe mkuu. Hata vijijini habari zitafika tu. Haya mabandiko hayawekwi hapa JF pekee bali yanawekwa kwenye mitandao mingi tu ya kijamii. Mabandiko mengine yatatumwa kwa marafiki zangu waliotapakaa vijijini nchi nzima kupitia mtandao wa WhatsApp, nawo watasambaza kwa watu wengine vijijini. Teknolojia iko juu sana mkuu siku hizi, mpaka vijijini kuna mitandao ya kijamii!

Kwa hiyo, huo ushauri wako ni wa kututoa watu wa duru kwenye malengo ili tusianike uozo kwa maslahi mapana ya taifa letu. Hatukubali, hatukubali, hatukubali; [Lazima Umma wa Watanzania ushinde vita hii]
 
Kwani ACT bado ipo ?.

Bado ipo mkuu, ila iko taabani kifedha. Hali ni mbaya mkuu. Juzi kati tu hapa kulikuwa na kikao kujadili hali ya ukata inayokikumba hicho chama kwa sasa. Wakubwa hawajatoa fedha bado
 
Back
Top Bottom