If you remember them say something.....

If you remember them say something.....

O safa, saphel' isizw' esimnyama O safa isizwe sabantsundu Anitshelen' inkokheli zethu zisilamulele kuloludaba"

O safa, saphel' isizw' esimnyama O safa isizwe sabantsundu Anitshelen' inkokheli zethu zisilamulele kuloludaba" O safa, saphel' isizw' esimnyama O safa isizwe sabantsundu Anitshelen' inkokheli zethu zisilamulele kuloludaba"


Na utu uzima huu nikiangalia hiyo movie bado machozi yanadondoka
ha ha ha, kwel ulikua mfatiliaj yaan had wimbo wao una ukumbuka kwa lyrics
 
Umenikumbusha mbali, yule mwenye kiduku alivyopigwa bastola akafa eti nilikua naumia nadhania nia kweli kafa
Tulikua tunapenda kumuita mandela jamaa mwenye kiduku!! Nlikua sijua kama zinaitwa movie,"mkanda wa sarafina" VHS TAPE Kipindi hiyo,mkienda kuangalia kwenye ukumbi wa wafanyakazi wa kampuni la chai Mufindi hiyo!! Mkipiga kelele tu mnafukuzwa watoto woteee!!! Asante sana mleta uzi
 
Tulikua tunapenda kumuita mandela jamaa mwenye kiduku!! Nlikua sijua kama zinaitwa movie,"mkanda wa sarafina" VHS TAPE Kipindi hiyo,mkienda kuangalia kwenye ha ha ha..., asante na wewe mkuu
 
Tutauimba huo mwimbo mda sio mrefu kwa namna ambavyo huyu anajofanya mjiaji Wa kila idara huo mwisho Wa kuonewa kidikiteta uchwara
 
Tutauimba huo mwimbo mda sio mrefu kwa namna ambavyo huyu anajofanya mjiaji Wa kila idara huo mwisho Wa kuonewa kidikiteta uchwara
kwel mkuu.
 
Kuna kale kawimbo ka freedom is coming tomorrow nako nakapenda kwenye hii movie
 
O safa, saphel' isizw' esimnyama O safa isizwe sabantsundu Anitshelen' inkokheli zethu zisilamulele kuloludaba"

O safa, saphel' isizw' esimnyama O safa isizwe sabantsundu Anitshelen' inkokheli zethu zisilamulele kuloludaba" O safa, saphel' isizw' esimnyama O safa isizwe sabantsundu Anitshelen' inkokheli zethu zisilamulele kuloludaba"


Na utu uzima huu nikiangalia hiyo movie bado machozi yanadondoka
Nlikua naumauma tu maneno kwenye kuimba huo wimbo, naomba tafasiri yake kaka.
 
Hakuna mdau mwenye namba ya sarafina....maana niligombana na mtu wa karbu kwa kkumsifia yy.ila watani wetu wa jadi wana wivu hatari
 
Kizungu mkuu! Hii movie nimeiangalia nikiwa St. Kayumba primary school...hatukuwa tukielewa maneno mengi tu ila picha zilitusaidia kuelewa wanasema nini!
Dah hapo sasa nimekuelewa maana kwa movie ilivyo hata sidhani kama mmatumbi kama mimi nilikuwa nahitaji kujua kingereza kiuelewa ,picha tu ilitosha kama ulivyosema hapo mwishoni

Mwanzoni mawazo yangu hayakuwa haya ya kutokujua kingereza nilidhani ulivyosema hivyo kuna codes zimefichwa natakiwa kuzi crack ikabidi niombe ufafanuzi pengine utanitoa tongotongo
 
Nlikua naumauma tu maneno kwenye kuimba huo wimbo, naomba tafasiri yake kaka.
1480362892294.jpg
mkuu sina uhakika sana na hiyo translation ila walau itakupa mwanga walikuwa wanamaanisha nini
 
Nilikua nafurahia kile kipande sarafina ameenda kwa wazungu mama yake anapofanyia kazi anaanza kufunguliia maji, anapanda kitandani na kutibua kila kitu!
 
Nilikua nafurahia kile kipande sarafina ameenda kwa wazungu mama yake anapofanyia kazi anaanza kufunguliia maji, anapanda kitandani na kutibua kila kitu!


Hapana, ile sehemu ilikuwa inasikitisha. Unakumbuka alimwambiaje mama yake? "I'd rather die like my dad than live like you!"


Ila kitu ilinihuzunisha kama kweli vile.
 
Dah hapo sasa nimekuelewa maana kwa movie ilivyo hata sidhani kama mmatumbi kama mimi nilikuwa nahitaji kujua kingereza kiuelewa ,picha tu ilitosha kama ulivyosema hapo mwishoni

Mwanzoni mawazo yangu hayakuwa haya ya kutokujua kingereza nilidhani ulivyosema hivyo kuna codes zimefichwa natakiwa kuzi crack ikabidi niombe ufafanuzi pengine utanitoa tongotongo


there was no code mkuu.
 
If I get fired who is going to buy you school books?

Sarafina: School books are full of lies

At this rate you are going to end up like your father

Sarafina: I'd rather die like him than live like you!


[HASHTAG]#sad[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom