If you remember them say something.....

If you remember them say something.....

If I get fired who is going to buy you school books?

Sarafina: School books are full of lies

At this rate you are going to end up like your father

Sarafina: I'd rather die like him than live like you!


[HASHTAG]#sad[/HASHTAG]
Hapo anajibishana na mama yake, RIP Miriam kama sikosei maana long time.
 
Hakuna mdau mwenye namba ya sarafina....maana niligombana na mtu wa karbu kwa kkumsifia yy.ila watani wetu wa jadi wana wivu hatari
Ameolewa tena na mfanyabiashara amezaa nae twins jumla ana watoto watatu mmoja kwa lile jamaa mandevu aliloigiza nalo anajutia ndoa yake na bwana mindevu pia ana ugonjwa wa ngozi mikononi .Nimegoogle habari zake amekuwa mtu mzima wakati anaigiza alikuwa na miaka 15 tu.
 
Rest in peace Sarafina Walikuwa wananikosha na vile visket vyao vifupi kama shule za wakorea
 
Back
Top Bottom