Yomakon
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 638
- 679
Chini ya sakafu au juu ya sakafu mkuu?Enzi hizo kaka kwa jirani, tena chini sakafuni mzee
Chini ya sakafu au juu ya sakafu mkuu?Enzi hizo kaka kwa jirani, tena chini sakafuni mzee
Miaka 61 anaitwa Whoopi Goldbergalikua anatimiza miaka mingap?
Moja kati ya movie nilizokuwa nazipenda na kunitoa machozi, lazima nikumbuke, na kale kawimbo ka leee lelele mama😀😀😀😀😀😀ha ha ha yan una kumbuka had salam mkuu...,
Waliisha achana.....walipata mtoto kama sikosei....Hivi yule mzee aliyekuwa anaigiza kumtongoza mwanafunzi Sarafina si ndio alifanya kweli behind the scene na kumuoa Sarafina!? Kama nipo sahihi hivi ndoa yao bado ipo na wamejaliwa watoto!!?
Lakini mtu yeyote ukimwambia kuwa zanzibar TV walikuwa wanaangalia majumbani mwao tangu miaka ya 70 hawezi amini.Zanzibar tv coloured zimeingia miaka ya 69,,,wakati Tanganyika miaka ya 88 baada ya mzee ruksa kuachia mipaka!! 74 RTD ikaanzishwa kabla ya hapo mwalimu J.K alikuwa anaenda Nairobi KBC!
okysor it was a mistake.., nlidhamiria kum-qoete 'expected value'
Umetisha nilikuwa na watoto wa sista ukimnyima hamsini ya kuingilia video atakununia wiki nzima.Enzi trela ni boziboziana,,,kama huna hela unaishia kucheki trela!
Sijakuelewa mkuu hebu tusaidie kufafanua unamaanisha niniWakati naangalia hii movie kwa mara ya kwanza sikuwa naelewa wanachosema...ni mpaka majuzi nilikuja kuiangalia tena ndo nikaelewa vyema!