If you change,there would be no more tears...

chriss brown

JF-Expert Member
Nov 3, 2011
292
63
If you won't cheat to ur girl or to ur boy,he or she will love you forever,but if you do so,expect the worse.
kulalamika mara nimeachwa,mara hanipendi,mara hajibu message,kanizimia simu..kaniacha valentine.This wont help.

know your weaknesses and change today.

Nice weekend to you all people and to ur loved ones.
 
Such an innocent soul...
CB there are so many other factors zinazo determine "loving a person forever". Si kila wanaogombana cheating ndio source... Kuna vitu kama on going conflicts katika mahusiano hata bila ku cheat mwaweza kukuta mnatofautiana sana kimawazo na kimipango, over expectations za mwenza, n.k hivyo ni ushauri mzuri kwamba "we shouldnt cheat" but sio kwamba ni hilo tu la ku consider ili kudumisha mapenzi.
 
Nice wknd u too baby! When u grow up u will understand how these things work. Walio walemavu haimaanishi wazazi wao walitenda dhambi.
A bustard will meet u when u ar a virgin, mary u, serial cheat u and still blame u for it!
 
Nice wknd u too baby! When u grow up u will understand how these things work. Walio walemavu haimaanishi wazazi wao walitenda dhambi.
A bustard will meet u when u ar a virgin, mary u, serial cheat u and still blame u for it!

Hehehe

LMAO
 
~~Once upon a time a handsome man met this very beautiful lady and later they got married had two healthy kids a boy and a girl and lived happily ever after~~.
Brother fairy tales remain in story books the real world is like mega screwed up.Just be a good 'non cheating' guy for your own sake[pleasing God(if you believe in one),good conscience and health] but believe me this is no guarantee to getting the so called 'forever loving lifemate'.Better avoid higher expectations so that you don't end up completely dissappointed.
Afterall nowadays ''Good don't get much attention anymore which keeps you on the safe side''.Have a wonderful weekend.
 
siku hz mambo ya kuachana tunayaweka pembeni ukisikia yupo na kajamaa au kabint unamfata mkong'oto kwa wote au huyo mwizi unajitwisha mtu wako unamrudisha home! Yupo bar au kwnye mkoko hvyo hvyo tutarekebishana tu.
 
hakunga kitu km hiko siku izi.
Mapenzi yalikuepo zamani, saivi ni kuumizana.com, hata ujaribu kubehave like an angel bado utaumizwa tu
 
Back
Top Bottom