Elections 2015 If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him!

Kama taasisi ya umma inayojua thamani ya pesa imefungua FD ili fedha hizo zizae na kuongezeka imehukumiwa kifo, then nasisitiza tuzidishe maombi kwa Mungu amjaalie rais wetu Magufuli afunguke macho ya kiuchumi aone mwanga, vinginevyo. ..

Paskali

Ni majanga sana...sasa alitaka watu wafanyeje? watu wamekuwa creative kuirahisishia serikali...Mimi nadhani tuna tatizo kubwa sana...huyu mtu huyu sidhani kama anashaurika....

Uchumi wetu anauua huyu mtu alafu tunamwangalia tuuuu
 


Mkuu..zaidi ya kulalamika ume play part gani kuleta hayo mabadiliko..ujue mimi na wewe tunapishana sehemu moja...wewe ni mfuasi wa mtu sio wa itikadi...ndio maana umebaki kama mwanamke aliyeachwa na mumewe ilihali bado anampenda
 
Leo hujavuta bangi!
Mkuu Dada yangu Faiza, mimi sivuti bangi ila imetokea tuu wengine akili zimekaa kibangi bangi hadi kudhaniwa tunavuta bangi, ila nakiri kwenye ujana niliisha ijaribu na humu jf nimewahi kuitetea iruhusiwe kwa wale ambao bangi inawatuma vizuri.

https://www.jamiiforums.com/threads/moral-question-morphine-drug-iruhusiwe-kupunguza-maumivu-makali.

Ila pía sikuitetea bangi peke yake, bali pía nimeitetea ile biashara ya profesionalprofesion yako nayo ihalalishwe.

https://www.jamiiforums.com/threads...me-tanzania-tuhalalishe-the-oldest-profession.

Paskali
 
Rukwa?????
 
Najikumbusha tuu nilisema nini in light ya hiki kinachotokea CCM sasa. Wenye uwezo wa kudetect tone ya visasi watakuwa wameona!. 2020 hakutakuwa na uchaguzi wa rais bali igizo la uchaguzi na CCM imara, majaaliwa ya upinzani ni mashakani sana! .

Paskali
 
In light ya muongozo uliotolewa leo pale Ubungo kuhusu majadiliano kwenye mitandao ya kijamii, tunatakiwa tusi discuss watu, tudiscuss ideas, hivyo nashauri kuanzia leo tusizungumzie kabisa mtu yoyote kuwa dikteta bali tusizungumzie udikteta tuu na sio watu.

Paskali
 
Tetesi: - Trend Reading: Mabadiliko Madogo ya Baraza la Mawaziri Yananukia!. Head-hunting Imeishaanza!.
Magufuli kiboko!.
Any way, Kabudi ni jembe, na Mwakyembe ni mwanahabari.
Jina la Nape limeandikwa kwenye kitabu cha majina ya mashujaa wa taifa hili, na uwaziri sio kitu mbele ya karma!.
Paskali
Kuna vitu niliwahi kusema siku nyingi, sasa naanza kuvishuhudia little by little!.
We are doomed!.
Paskali
 
Hii ni mbolea kwenye hoja za udikiteta

Paskali
 
Jimbo la kilindi: Jumla ya Wapiga kura = 46830
Kura halali = 46830
Kura zilizokataliwa = Hakuna

Matokeo
ACT = 324
ADC = 221
CCM = 33942
CHADEMA = 22123
CHAUMA = 40
NLRA = 31
TLP = 27
UPDP = 22

SASA JUMLISHA MWENYEWE UJIONEE MSHANGAO WAKE.
Ukifuga kuku kuna vitu anavyofanya vilivyo tofauti na kufunga ng'ombe au mbwa. Vivyo hivyo kujiita (kuwa) binadamu kuna vitu unavitarajia kutoka kwa kiumbe huyu vilivyo tofauti na viumbe wengine. Tunachofanya sisi ni kudharirisha ubinadamu!
 
Kwenye hoja ya udikiteta wa rais Magufuli, kuna madikiteta wabaya na madikiteta wazuri au madikiteta wema.
Madikiteta wazuri ni wale ambao wanafanya vitendo vya udikiteta kwa nia njema, hata ikibidi kuivunja katiba, au kukiuka sheria, taratibu na kanuni, kwa nia njema, ni udikiteta unaokubalika, mfano katiba inaruhusu vyama vya siasa kufanya mikutano, rais Magufuli anataka watu wafanye kazi na sio kuwa wazururaji kwa kisingizio cha kufanya maandamano, au kuwa ni watu wanaokaa bure tuu kwa kisingizio cha kuhudhuria mikutano ya siasa, watu wenye muda wa kuhudhuria mikutano ya siasa kila siku ni watu wasio na kazi, hivyo kama tangazo lake la kupiga marufuku mikutano ya siasa na maandamano ni ili watu wasizurure ovyo, na wasikae onyo bila kufanya kazi, then huu ni udikiteta mzuri. Dikiteta wa aina hii anaitwa a benevolent dictator.

Hata kuachiwa kwa Babu Seya, sheria hairuhusu wabakaji na wauwaji kuachiliwa kwa msamaha wa rais, kilichofanyika pia ni udikiteta, ila umefanywa kwa nia njema kuwa vipindi walivyotumikia gerezani, wamejirekebisa, na sasa ni watu wema, hivyo udikiteta is not necessarily ni udikiteta mbaya, udikiteta mwingine ni udikiteta mzuri.

Big up sana rais Magufuli.

Paskali
 
Wewe inabidi tuoongee kisukusu ndo tuaelewana....

Kinyume cha dictator ni nini???
 

Mkuu tukienda kwa utashi wa mtu mmoja mmoja hivyo nchi itakua banana republic..ndio maana kuna katiba...utashi wa Magufuli kwa muono wake anaweza ona sahihi ila kwa wengine sio sahihi,kipimo ni kipi?Hakuna kipimo kingine kuacha katiba

There is a reason katiba kuwepo na iheshimiwe.Binadamu anafanya makosa,Magufuli ni mwanadamu wa kawaida kabisa,kosa lake moja tu la bahati mbaya linaweza tukausha wananchi milioni 50.......

Eti kuwaachia Babu Seya nalo ni jambo jema,hivi Paskali mzima kweli ndugu yangu?Mtu kadhibitishwa na mahakama zote ni mbakaji na mlawiti,kuanzia mahakama ya mwanzo mpaka mahakama ya rufaa imedhibitisha hilo,wewe ni nani mpaka uje useme eti ni jambo jema?

Mtu anaetetea udikteta wa aina yoyote ile decision making skills zake ni very suspect.

Eti dikteta mzuri...ridiculous premise kabisa.......Watu mil 50 waishi kwa IQ very suspect ya mtu mmoja anaeitwa Rais?Itakua Tanzania kama jamii hatujafikia civilization stage collectively......Yaani mtu atoe maamuzi kuendesha watu mil50 bila kuwekwa kwenye scrutiny na peers wake ni hatari mnooo,ni hatari kama kulala na binti yako wa kumzaa.Tanzania kama civilization hatuwezi rudi nyuma kiasi hiki,ni insult to Tanzanians' intelligence

Paskali kubali unakua academically dishonest na unatoa lip services kwa mtawala.
 
Karibu pande hizi, haya yanayotokea leo, angalia akina sisi tulianza kuyaona lini!.
Paskali
 
Pascle usiwe mkata tamaa,siasa ni uga wa upepo. Upinzani unasoma yanayojili kwa mda huu hasa watu kuama kwa vishawishi. Genge la wanunuzi lingefanya mchezo huu januari ya 2020 naamini wangefanyikiwa san. Rushwa ya kisiasa sasa tanzania iko waz. Ushahidi wa waz wa akina nasari ni turufu nzur upinzan ukiitumia ku reverse ujinga wote huu. Wapinzan naiona their bright future kama watabadili gia ya kisiasa kufuatana na hali ya sasa. Bahati mbaya watesi wao hanawa uvumilivu.wanaweka silaha ya hela kununua watu mchana kweupe. Cku zote ukiona mtu anaalalisha kuungwa mkono na watu ujue kaishiwa sera. Msiogope utamaduni huu wa kununua watu utazoeleka mwishoni utakwisha na wasionunulika watawaumbua WANUNUZI. Tena wenye AUDIO CLIP za Maongez ya biashara hizo ebu rusheni hewani TUZIFANYE CALLER TUNE YA CM ZETU ili tuwakomeshe.
 
Maishani kuna pande mbili za ubaya na wema utakuwa mwendawazimu kujiunga upande wa ubaya kwasababu tu wao ndio walioshinda,Hata kama kuna asilimia moja ya ushindi na tisini na tisa za kushinda .
 
Ccm hii sio imara bali ccm ya dictator,ya Lisu yanaogopesha,,kwa dictator bora kumpenda kwa unafiki na kumsifu unaweza kuwa safe kuliko kumpinga,ameshasema takwimu ambazo hazina authority ya NBS marufuku,vinginevyo jela itamhusu mtu,hatari sana.
"Natamani malaika ashuke afungie mitandao"
 
Hili la Lowassa kwenda ikulu, limewashangaza baadhi ya watu, kwetu sisi wengine ni kufanya tuu rejea, siku ya Mbowe Lema na Lissu na makamanda wengine kupiga hodi ikulu kumshukuru rais Magufuli na kumpongeza pia itafika, nawaomba msishangae!.

Paskali
 

yan me huwa wanakusoma sana wacha leo nikoment kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…