Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,217
Kama taasisi ya umma inayojua thamani ya pesa imefungua FD ili fedha hizo zizae na kuongezeka imehukumiwa kifo, then nasisitiza tuzidishe maombi kwa Mungu amjaalie rais wetu Magufuli afunguke macho ya kiuchumi aone mwanga, vinginevyo. ..
Paskali
Ni majanga sana...sasa alitaka watu wafanyeje? watu wamekuwa creative kuirahisishia serikali...Mimi nadhani tuna tatizo kubwa sana...huyu mtu huyu sidhani kama anashaurika....
Uchumi wetu anauua huyu mtu alafu tunamwangalia tuuuu