GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Mimi nimechanjwa chanjo ya P fizer muda mrefu wakati hapa kwetu tukihubiri malimao na matangawizi, Tuliimba pambio wote za ujasiri wakati huo kuwa beberu hafai na chanjo hazifai
Leo bila aibu na Haya wana CCM tumegeuka ghafla na kuanza kudance ngoma ya mwenyekiti wa chama
Nimeandika uzi huu baada ya kuona nchi ya Israel inawapa watu wake kitu kinaitwa Booster baada ya chanjo, Yaani baada ya miezi kadhaa ya watu kuchanja Nchini Israel sasa wanaongezewa nguvu kama gari bovu iitwayo Booster kupambana na corona
Gwajima ana hoja ya msingi, Ajibiwe kwa hoja na Facts
Prof Kabudi alionekana akinywa dawa ya miti shamba ya madagaska mbele ya uma wakati sayansi ikiendelea na tafiti,
Maprofesa wa afya Muhimbili walionekana wakisisitiza ujenzi wa mabanda ya kufukiza nyungu pale Muhimbili
Waziri wa afya Dkt Dorothy Gwajima alionekana akinywa mchanganyiko wa limao, tangawizi na vitunguu
Questions?
Lengo la profesa Kabudi, Waziri wa afya Doroth Gwajima, na Maprofesa wa afya Muhimbili ilikuwa ina lengo gani kuhimiza mambo ya miti shamba badala ya Science?
Lengo Lao la sasa kwenye chanjo ni kitu gani?
Je? Wana uhakika ndimu na malimao jumlisha miti shamba haitibu tena Corona?
Je? Chanjo wanazosifia sasa hasa Waziri wa afya ana uhakika hazina madhara ya muda mrefu au mfupi
Je, hii booster mpya ambayo watu wanaongezewa baada ya kuchanja wataalamu wetu wanafahamu na wamewaambia Raia wanaowachanja
Je, ni Propaganda za kisiasa wanazifanya kwa kuangalia uelekeo wa anayeongoza?
Hoja za kisayansi zijibiwe kisayansi na si kuzijibu kwa propaganda
Leo bila aibu na Haya wana CCM tumegeuka ghafla na kuanza kudance ngoma ya mwenyekiti wa chama
Nimeandika uzi huu baada ya kuona nchi ya Israel inawapa watu wake kitu kinaitwa Booster baada ya chanjo, Yaani baada ya miezi kadhaa ya watu kuchanja Nchini Israel sasa wanaongezewa nguvu kama gari bovu iitwayo Booster kupambana na corona
Gwajima ana hoja ya msingi, Ajibiwe kwa hoja na Facts
Prof Kabudi alionekana akinywa dawa ya miti shamba ya madagaska mbele ya uma wakati sayansi ikiendelea na tafiti,
Maprofesa wa afya Muhimbili walionekana wakisisitiza ujenzi wa mabanda ya kufukiza nyungu pale Muhimbili
Waziri wa afya Dkt Dorothy Gwajima alionekana akinywa mchanganyiko wa limao, tangawizi na vitunguu
Questions?
Lengo la profesa Kabudi, Waziri wa afya Doroth Gwajima, na Maprofesa wa afya Muhimbili ilikuwa ina lengo gani kuhimiza mambo ya miti shamba badala ya Science?
Lengo Lao la sasa kwenye chanjo ni kitu gani?
Je? Wana uhakika ndimu na malimao jumlisha miti shamba haitibu tena Corona?
Je? Chanjo wanazosifia sasa hasa Waziri wa afya ana uhakika hazina madhara ya muda mrefu au mfupi
Je, hii booster mpya ambayo watu wanaongezewa baada ya kuchanja wataalamu wetu wanafahamu na wamewaambia Raia wanaowachanja
Je, ni Propaganda za kisiasa wanazifanya kwa kuangalia uelekeo wa anayeongoza?
Hoja za kisayansi zijibiwe kisayansi na si kuzijibu kwa propaganda