If Trump wins election

Tua Ngoma

JF-Expert Member
Apr 14, 2015
3,185
8,294
Itakuwa hivi...
 

Attachments

  • IMG_20160319_011707_116.JPG
    IMG_20160319_011707_116.JPG
    60.9 KB · Views: 47
Trump hapati kitu...!
...ana nafasi kubwa ya kushinda kulinganisha na wengine japo kuna wamarekani wengi wasiompenda kabisa lakini wanaomfagilia ni wengi zaidi..
Sipati picha huyo jamaa kama kweli akiwa rais na kutokana na ushawishi wa Marekani katika siasa za dunia, basi ni mawili kati ya haya;
Ama dunia itakuwa sehemu salama zaidi ya kuishi au anaweza akaharibu sana mambo kutokana na misimamo yake
 
Back
Top Bottom