Your writting style says it all huh...UE njema buddy!
mbwamzee tell me about u'r bank account, i want to know u'r current balance........... haijalishi unafanya kazi wapi hata bank kuna wapishi, wafagiaji n.k hahahahaha!!!!!!! tupia bank statement ili nijitathimini kama nitakung'ang'ania au nitakuacha upite.
View attachment 263141
wee acha tu wakaka wa benk wana njaa sijawai ona sijui ni kwakua wanakopa vile vigari vidogo sijui vinaitwaje? Loh kama una mkaka wa benk kimbia kinachowasaidia ni kiyoyozi cha ndani wangekuwa wamepauka mbaya. Kama nadanganya mkaka yeyote wa benk aje hapa anipinge with strong point. Ntampa zawadi ambayo hataisahau maishan. Shida yao nyingine ntaisema kesho!
nakulia taiming uje na mambo kama hizi ntakuumbuaje
Hahahahahahahaha hiyo picha mi hoiiiiiiiii
I wanted to teach you something, but unfortunately i remembered this "you can't teach an old dog new hunting tricks"
wee acha tu wakaka wa benk wana njaa sijawai ona sijui ni kwakua wanakopa vile vigari vidogo sijui vinaitwaje? Loh kama una mkaka wa benk kimbia kinachowasaidia ni kiyoyozi cha ndani wangekuwa wamepauka mbaya. Kama nadanganya mkaka yeyote wa benk aje hapa anipinge with strong point. Ntampa zawadi ambayo hataisahau maishan. Shida yao nyingine ntaisema kesho!
wee acha tu wakaka wa benk wana njaa sijawai ona sijui ni kwakua wanakopa vile vigari vidogo sijui vinaitwaje? Loh kama una mkaka wa benk kimbia kinachowasaidia ni kiyoyozi cha ndani wangekuwa wamepauka mbaya. Kama nadanganya mkaka yeyote wa benk aje hapa anipinge with strong point. Ntampa zawadi ambayo hataisahau maishan. Shida yao nyingine ntaisema kesho!
luckyline
Aisee huo ni mtazamo wako dada.Njaa ya mtu ni kitu personal,hata uwe BOT lakini kama u cnt manage ur finances properly u just gonna end up like na hizo njaa unazosema.Mimi niko hapa,nna maisha mazuri tu ambayo najua wengi tu humu hawana.Nngekuwa na njia sahihi ya kuthibitisha hilo ningefanya,ila kwa sasa..Endelea na imani yako!
Mimi hapa! I'm ready to prove u wrong..
huhuuuu looo imetulia hii nangojea kesho mpendwa usiache kunijuza ntakuwa napitia hii thread
to prove me wrong??? Just by words??? God 4bid
How can I prove to u online anyway?
Oh my G so u wan me to show u the way? What kind of man? banangee nze abasaja bawano wansobedee.
Omg! Gud English wsh i could take u
ahaaaaaa mku nilijua hakuna wa kunipinga loh nilikuwa nimekusubiri sana mkuu ukuje hapa thibitisha lakini kwakuwa ndo ivo tena umeshindwa kujitetea kiume basi " thema dada umeshinda" ukweli wangu una exclude ma meneja. Mkuu rudi tena una nafasi ya kujitete ulikuwa unaelekea.
N:B mwanaume hujitetea kwa vitendo.