Idea ya biashara

flulanga

JF-Expert Member
Jul 1, 2016
4,861
6,342
Habari ndugu zanguni,

Najua humu kuna watu wamadaraja tofauti tofauti. Vilevile natambua uwepo wa madaraja yote hayo na mimi pia ni miongoni mwao katika moja ya madaraja. Hapa naongelea madaraja ya kimaisha/uwezo wa kipesa, uwezo wa kiuwekezaji.

Niende kwenye mada moja kwa moja. Nina wazo la biashara ila wazo hilo linahitaji pesa kuanzia Milion 15 mpaka milioni 25. Nasema kuanzia hicho kiasi sio kama mtu awezi kufanya akiwa na mtaji chini ya hapo ila kwa kuifanya kwa kujiamini zaidi na kwa ufanisi kabisa inataka uwekezaji wa kiasi cha pesa nilichokitaja hapo juu.

Nisiwe muongo, uwekezaji huu sio kama unafaida kubwa sana eti nianze kudanganya ili nimvutie mtu hapana! Faida yake ni juhudi za kuingia sokoni kufanya kazi na ndio faida yake ipo hapo, wewe utatoa pesa mimi nitaingia sokoni, usalama wapesa upo wakutosha sana, nahii biashara sio kama unanunua bidhaaa nakuuza, NO!

Hii biashara ukihitaji kuvunja mkataba labda tumefanya miezi miwili na umeona mrejesho sio mzurii basi tunavunja mkataba na kurudishia pesa yako siku hiyo hiyo.

Uhakika wa faida niwakawaida ila ukiwekeza milioni 15 ndani yamiezi 12 basi uhakika wakutengeneza faida ya milioni 10 uhakika nandiomana sijasema nifaida kubwa ila niyakawaida ila vilevile niyauhakika.

Kama kuna mtu anaweza kuwa tayari basi kwa ajili ya kufanya kazi na mimi yeye atoe pesa mimi niwe nguvu kazi basi aje PM.

Karibuni.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitendo cha wewe kutoitaja ni biashara gani humu na kukomaa watu waende pm nimeshaanza kuhisi harufu za UTAPELI msisene hamjaambiwa.
Kuna mawazo mengine ukimwaga humu jamvini unakua tayari umemwaga mtama penye kuku wengi ,hivyo kama huo mtonyo unao mcheki kwanza before kuhisi utapeli
 
Uwezo wa kuwekeza hiyo hela ninao ila kwa kuwa dunia hii biashara zote zimefanyika na tunaziona ni bora ukaiweka wazi hata kugusia juu juu tu
PM siijui kabisa Mkuu nisamehe


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Habari ndugu zanguni,

Najua humu kuna watu wamadaraja tofauti tofauti. Vilevile natambua uwepo wa madaraja yote hayo na mimi pia ni miongoni mwao katika moja ya madaraja. Hapa naongelea madaraja ya kimaisha/uwezo wa kipesa, uwezo wa kiuwekezaji.

Niende kwenye mada moja kwa moja. Nina wazo la biashara ila wazo hilo linahitaji pesa kuanzia Milion 15 mpaka milioni 25. Nasema kuanzia hicho kiasi sio kama mtu awezi kufanya akiwa na mtaji chini ya hapo ila kwa kuifanya kwa kujiamini zaidi na kwa ufanisi kabisa inataka uwekezaji wa kiasi cha pesa nilichokitaja hapo juu.

Nisiwe muongo, uwekezaji huu sio kama unafaida kubwa sana eti nianze kudanganya ili nimvutie mtu hapana! Faida yake ni juhudi za kuingia sokoni kufanya kazi na ndio faida yake ipo hapo, wewe utatoa pesa mimi nitaingia sokoni, usalama wapesa upo wakutosha sana, nahii biashara sio kama unanunua bidhaaa nakuuza, NO!

Hii biashara ukihitaji kuvunja mkataba labda tumefanya miezi miwili na umeona mrejesho sio mzurii basi tunavunja mkataba na kurudishia pesa yako siku hiyo hiyo.

Uhakika wa faida niwakawaida ila ukiwekeza milioni 15 ndani yamiezi 12 basi uhakika wakutengeneza faida ya milioni 10 uhakika nandiomana sijasema nifaida kubwa ila niyakawaida ila vilevile niyauhakika.

Kama kuna mtu anaweza kuwa tayari basi kwa ajili ya kufanya kazi na mimi yeye atoe pesa mimi niwe nguvu kazi basi aje PM.

Karibuni.



Sent using Jamii Forums mobile app
WAKUU,

KWA KUKONEKTI DOTS NA KUTUMIA INTELIJENSIA
HII BIASHARA YA MTOA MADA NI YA UWAKALA WA M-PESA, TIGOPESA, AIRTEL MONEY, T-PESA, EAZY PESA, HALOPESA, FAHARI_HUDUMA, NMB WAKALA NA NYINGINE KAMA HIZO!!

NA HAINA UBISHI!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtaji wa 15,000,000 kwa mwaka ambao una miezi 12 unapata faida ya jumla 10,000,000 na uki igawanya hii 10,000,000 kwa miezi 12 unapata kama 833,000 ambayo ndio sawa na gawio ama faida ya kila mwezi.
Kwa jibu jepesi ni ikiwa utapata mtu awekezi 15,000,000 kwenye wazo lako, basi ataweza kupata faida ya 833,000 ambayo ni sawa na 6% ya 15,000,000

Sent using Jamii Forums mobile app
 
66% Annual Return, haya wazoefu wa biashara tunaomba mtuambie, hiyo inawezekanaje?
Habari ndugu zanguni,

Najua humu kuna watu wamadaraja tofauti tofauti. Vilevile natambua uwepo wa madaraja yote hayo na mimi pia ni miongoni mwao katika moja ya madaraja. Hapa naongelea madaraja ya kimaisha/uwezo wa kipesa, uwezo wa kiuwekezaji.

Niende kwenye mada moja kwa moja. Nina wazo la biashara ila wazo hilo linahitaji pesa kuanzia Milion 15 mpaka milioni 25. Nasema kuanzia hicho kiasi sio kama mtu awezi kufanya akiwa na mtaji chini ya hapo ila kwa kuifanya kwa kujiamini zaidi na kwa ufanisi kabisa inataka uwekezaji wa kiasi cha pesa nilichokitaja hapo juu.

Nisiwe muongo, uwekezaji huu sio kama unafaida kubwa sana eti nianze kudanganya ili nimvutie mtu hapana! Faida yake ni juhudi za kuingia sokoni kufanya kazi na ndio faida yake ipo hapo, wewe utatoa pesa mimi nitaingia sokoni, usalama wapesa upo wakutosha sana, nahii biashara sio kama unanunua bidhaaa nakuuza, NO!

Hii biashara ukihitaji kuvunja mkataba labda tumefanya miezi miwili na umeona mrejesho sio mzurii basi tunavunja mkataba na kurudishia pesa yako siku hiyo hiyo.

Uhakika wa faida niwakawaida ila ukiwekeza milioni 15 ndani yamiezi 12 basi uhakika wakutengeneza faida ya milioni 10 uhakika nandiomana sijasema nifaida kubwa ila niyakawaida ila vilevile niyauhakika.

Kama kuna mtu anaweza kuwa tayari basi kwa ajili ya kufanya kazi na mimi yeye atoe pesa mimi niwe nguvu kazi basi aje PM.

Karibuni.



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtaji wa 15,000,000 kwa mwaka ambao una miezi 12 unapata faida ya jumla 10,000,000 na uki igawanya hii 10,000,000 kwa miezi 12 unapata kama 833,000 ambayo ndio sawa na gawio ama faida ya kila mwezi.
Kwa jibu jepesi ni ikiwa utapata mtu awekezi 15,000,000 kwenye wazo lako, basi ataweza kupata faida ya 833,000 ambayo ni sawa na 6% ya 15,000,000

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndogo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biashara ya mtaani kimyakimya : 15000000 kopesha kwa watu waaminifu kwa hata asilimia 20 kwa mwezi, kwa mwaka cheki ni sh ngapi? Kuna watu wametoka kwa mchezo huo ila awamu hii sijui!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom