Hii ni mojawapo ya ID mpya zilizotoka baada baada ya Mr EGM-TTC-Butimba kutakiwa atoe maelezo juu ya elimu yake yenye mashaka mengi!Tenga ana elimu gani? kama ni zile za CDM anaweza kuwa huko.
Hii ni mojawapo ya ID mpya zilizotoka baada baada ya Mr EGM-TTC-Butimba kutakiwa atoe maelezo juu ya elimu yake yenye mashaka mengi!Tenga ana elimu gani? kama ni zile za CDM anaweza kuwa huko.
Huyu jamaa ana maana hata Aden Rage,Joel Bendera na Venance Mwamoto nao mpira uliwashindaAcha utoto wewe mbona maisha yamekushinda usemi kwanza hiyo simu unayotumia ya mother ako.Ndio kusema suleman mathew maisha yememshinda kujiunga ccm.
So what?
So what?
njaa imempeleka kuhemea
Kipa namba moja wa Simba na Timu ya Taifa Idd Pazi "Father" amejiunga CHADEMA. Alisema CHADEMA ndio Chama pekee kinaweza kuleta mageuzi ya kweli Tanzania.
Source: Tz Daima
Karibu Idd Pazi,
Ulipata heshima sana ukiwa mchezaji mpira.....
Umefanya vema kwenda kwenye Chama kitachokupa heshima..
Angalizo...sasa CCM ndio wataanza kuona umuhimu wako, watakuwa wanakupa mipesa mingi sana na kukulaghai kwa ahadi mbalimbali ili uisaliti CHADEMA. Kuwa Mwanagalifu sana na mafisadi haya!!! ukiyasikiliza hapa ndio heshima yako itashuka....
Wakiongozwa na Rage! kuna watu wanaojiita watu wa mpira lazima waende kumlaghai!!!
Hii nchi bwana!
Natamania atue Kaseja afu agombee kinondoni. Idd Azan anazingua 2
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Teh teh teh, CCM watakuwa wamemwangalia CV yake na kugundua size yake ni CDM akaungane na SUGU, MNYIKA, LEMA na wengine ili wasaidie kupiga mayoe
Hivi hili neno KAMANDA ni msamiati wa KICHAGGA nini? tuangalie tusije tukaanza kuita Mbwa tunaowafuga kamanda.
Ndo vyama visivyopenda wasomi. Wamejaa form 4 na form 6 ndo Bonge la msomi ndani ya Chadema kwanini njaa Kali wasikimbilie. Kesho utasikia Mr Nice kajiunga Chadema
Wrong Turn....kwa wale wanaozijua Hizi movies wanajua nini kinamsubiri Idi huko Chadema
Hii nayo ni habari???