Idd Pazi "Father" Atua CHADEMA

Idd Pazi "Father" Atua CHADEMA

Inaonekana siku hizi mtu maisha yakimshinda anakimbilia siasa na CHADEMA ndiyo kichaka wanachoenda kujifichia.

Kwenye uchaguzi mkuu wa 2015 kwa kutumia kura zetu tutawafurumusha wote kutoka huko kichakani ili wakafanye kazi taifa lisonge mbele.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

kuna kichaka kikubwa wamejificha wezi wa epa meremeta wa pembe tunajipanga kukichoma2015............
 
Hamieni huku CDM kuna kila kitu na tutashinda 2015 tusubiri wengine wananyata hawataki kujionesha
 
ANATAKA KUGOMBEA UONGOZI GANI TENA HUKO???? AANGALIE AKIUKOSA UONGOZI, AU NAFASI YA KUGOMBEA AKATANGAZA TENA KWA MBWEMBWE KURUDI CCM... TEH TEH TEH YETU MACHO TUUU:A S angel::A S angel::A S angel::A S angel: PAMOJA TUIJENGE TANZANIA YETU NZURI
 
Ndo vyama visivyopenda wasomi. Wamejaa form 4 na form 6 ndo Bonge la msomi ndani ya Chadema kwanini njaa Kali wasikimbilie. Kesho utasikia Mr Nice kajiunga Chadema
 
Kajiunga na crew mpya ya kijanja jijini.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Jamani mtu ana haki ya kujiunga na chama chochote acheni roho mbaya
Ndo vyama
visivyopenda wasomi. Wamejaa form 4 na form 6 ndo Bonge la msomi ndani
ya Chadema kwanini njaa Kali wasikimbilie. Kesho utasikia Mr Nice
kajiunga Chadema
 
Back
Top Bottom