Idd Pazi "Father" Atua CHADEMA

Idd Pazi "Father" Atua CHADEMA

Mkuu hili nina mashaka nalo linaweza kutokea mapema sana!
CCM wana mipango ya kijinga sana!

Nadhani kama ameamua kufanya hivyo ili magamba wamfuate awale pesa basi ni mjanja sana. Mimi naamini anaweza kufanya hivyo ila moyo wake utakuwa chadema ambacho ndicho tunachotaka mtu awe nacho maana hiyo ndiyo kura ya chadema. Natamani wajanja wengi wafanye hivi ili wale pesa za magamba lakini mioyo yao ibaki chadema!
 
Teh teh teh, CCM watakuwa wamemwangalia CV yake na kugundua size yake ni CDM akaungane na SUGU, MNYIKA, LEMA na wengine ili wasaidie kupiga mayoe

Unamaana tusiosoma hatutakiwi ccm? poa, lakini kaa ujue tusio na hizo digirii zenu tu wengi
kuliko nyinyi wasomi, pia tunawapenda sana viongozi wetu kwa kuwa wanafanana nasi, na
hatuna hofu ya wao kutumia digirii zao kutuibia kama mfanyavyo nyinyi.
 
Kwa wale mliozaliwa kizazi hiki cha JK hamfahamu Idd Pazi ni nani. Huyu mzee alikuwa anajaa golini na hafungiki kirahisi. Wachezaji nyota wa Sports Villa wa Uganda hawatamsahau mwaka 1992 walipofungwa na Simba 3-0 yakifungwa na Zamoyoni Mogella mawili na moja likifungwa na kocha mchezaji Hassan Affif. Mchezaji bora Afrika Majidu Musisi alipiga kiki kali 4 langoni mwa simba na kuokolewa na Father Idd Pazzi. Adam Semugabi, Robert Aloro, Paul Hasule, Jackson Mayanja walimnyooshea mikono Pazzi. Ukuta wa Simba uliongozwa na Jamhuri Kihwelu ''Julio'' Chadema wamepata jembe.
 
Kwa wale mliozaliwa kizazi hiki cha JK hamfahamu Idd Pazi ni nani. Huyu mzee alikuwa anajaa golini na hafungiki kirahisi. Wachezaji nyota wa Sports Villa wa Uganda hawatamsahau mwaka 1992 walipofungwa na Simba 3-0 yakifungwa na Zamoyoni Mogella mawili na moja likifungwa na kocha mchezaji Hassan Affif. Mchezaji bora Afrika Majidu Musisi alipiga kiki kali 4 langoni mwa simba na kuokolewa na Father Idd Pazzi. Adam Semugabi, Robert Aloro, Paul Hasule, Jackson Mayanja walimnyooshea mikono Pazzi. Ukuta wa Simba uliongozwa na Jamhuri Kihwelu ''Julio'' Chadema wamepata jembe.

Duh Duh! Hassan Hafif kocha mchezaji haitokei tena bongo!!
 
2015 chaguzi za kuteuwa wagombea ndani ya CDM itakuwa na changamoto sana.....chama itabidi kijipanges vilivyo.....
 
Ndo vyama visivyopenda wasomi. Wamejaa form 4 na form 6 ndo Bonge la msomi ndani ya Chadema kwanini njaa Kali wasikimbilie. Kesho utasikia Mr Nice kajiunga Chadema
huko kwa hilo chama linalo ongwoza na viongozi wengi wenye ma-phd fake na wengine ya kutunukiwa wemelifanyia nini taifa kwa miaka 50?
 
Kwa wale mliozaliwa kizazi hiki cha JK hamfahamu Idd Pazi ni nani. Huyu mzee alikuwa anajaa golini na hafungiki kirahisi. Wachezaji nyota wa Sports Villa wa Uganda hawatamsahau mwaka 1992 walipofungwa na Simba 3-0 yakifungwa na Zamoyoni Mogella mawili na moja likifungwa na kocha mchezaji Hassan Affif. Mchezaji bora Afrika Majidu Musisi alipiga kiki kali 4 langoni mwa simba na kuokolewa na Father Idd Pazzi. Adam Semugabi, Robert Aloro, Paul Hasule, Jackson Mayanja walimnyooshea mikono Pazzi. Ukuta wa Simba uliongozwa na Jamhuri Kihwelu ''Julio'' Chadema wamepata jembe.
umenikumbusha mbali sana katika enzi zile
 
Mmefikia wapi na ule utaratibu wenu wa kutengeneza kadi za CHADEMA, alafu wakati wa ile mikutano yenu mnayowasumba watu kwa malori, mnazionyesha kwa mbwembwe za "tumevuna wanachama wa chadema"?
you don't know me!
 
Back
Top Bottom