Idd Amin alikuwa na nia njema!!

Ninja

JF-Expert Member
Feb 5, 2010
348
535
Niliwahi kukutana na jamaa mmoja mganda huko Kakurezato Japan, tukiwa pamoja mafunzoni na akanishangaza sana kuhusu yule aliyekuwa adui yetu watanzania miaka ya 70 nduli Idd Amin Dada.
Alisema kuwa Idd Amin pamoja na picha ya ubaya iliyokuwa ikionekana huku Tanzania kuhusu udikteta na unyanyasaji wa raia wa Uganda aliokuwa akiufanya bado alikuwa na mashabiki wengi sana Uganda ambao walimhesabu kama shujaa wao. Kilichonimaliza ni alipotamka maneno haya, naomba kuyanukuu;

"Idd Amin alikuwa na nia njema sana kwa nchi yetu Uganda na kwa Afrika nzima, alikuwa ni mzalendo wa kweli toka moyoni, aliuchukia sana ukoloni na wakoloni wa aina zote, na aliamua kuwanyanganya wageni mali zao ili kuwarudishia waganda, na hadi alifukuza jamii ya waasia na kuwarudisha kwao; kila aliyekua mpinzani wa mikakati madhubuti ya kizalendo ya rais mpendwa wa wakati huo Idd Amin basi mpinzani huyo aling'olewa duniani. Waganda wengi mwanzoni mwa miaka ya 70 waliamini Idd Amin angeifanya Uganda iwe sawa na Ulaya kiuchumi hadi kufikia mwaka 1980."

My take

Duh!
 
Hivi ni kwa nini watu hawakai wakazungumzia maendeleo yaliyopatikana awamu ya nne?
Au ni kwa sababu mheshimiwa yule alikua anatoka kakabila kadogo sana ambako kana wasomi wachache na wafanyabiashara wachache zaidi ambao hawana nafasi ya kusimama na kuyatangaza maendeleo aliyoyaleta na mzungulo mkubwa wa fedha na wakati huo huo akiwa anakaribia kabisa kuifanya nchi yake kuwa ya uchumi wa kati.
Aliimarisha demokrasia na uhuru wa kutoa maoni.
Aliibua vipaji vingi vikiwemo vya wanamuziki na wana soka.
Aliweza kuongeza idadi ya vyuo na udahili wa wanafunzi.
Alikua anaajiri hata mara mbili kwa kila mwaka na kusababisha kila mtu aweze angalau kupata kaunafuu ka maisha.
Alikua hafukuzi holela watumishi wa umma.
Aliweza kukaa na wafanyabiashara na heta kuwasaidia kwenye misamaha ya kodi kwa lengo la kuvutia wawekezaji na kukuza mitaji baade ajira kuongezeka sekta binafsi na pesa kuwafikia wananchi wa kawaida.
Aliimarisha miundo mbinu ya Jeshi la nchi yake kwa vifaa na maslahi.
Alijenga maelfu ya barabara za lami na za changarawe kwa malaki.
Alijenga majengo makubwa akihamasisha mifuko ya jamii.
Alijenga madaraja makubwa kama la Ligamboni n.k.
Alinunua manuari mbili za Jeshi.
Alikarabati na kujenga viwanja vya ndege kila nchi nzima.
Aliboresha hospitali za umma kama Muhimbili n.k.
Alianzisha miradi mikubwa ya maji maeneo mengi.
Alianzisha mchakato wa katiba mpya.
Alikenga ukumbi wa mwal.JK Nyerere.
Aliweka vifaa bora ikiwemo silaha kwa askari wa wanayama pori.
Alianza
Alikarabati uwanja wa mpira wà Uhuru.
Usawa mwenye ajira.
Usawa wa jinsia.
Mahusiano mazuri na vyama vingine vya upinzani pamoja na pingapinga yao.
Alikuaza diplomasia ya kimataifa.
Aliifanya Tanzania kuwa kati ya nchi za kupigiwa mfano mzuri wa demokrasia na uhuru wa mawazo Afrika.
Aligawa ruzuku za pembejeo kwa wakulima.
Alito ruzuku kwa familia maskini kupitia TASAF.
Alileta umeme wa REA.
Alianzisha miradi mikubwa ya uchimbaji wa gesi.
alianzisha mtandao wa Halotel.
Alijenga chuo cha UDOM.
Alianzisha mradi wa mabasi ya Mwendo kasi.
Wananchi waliboresha maisha yao kwa kupitia mikopo na kujenga nyumba bora maeneo ya vijijini na mijini.Watu waliboresha maisha yao na kununua magari binafsi na ya biashara.
Biashara za kwenda china na Thailand ziliongezeka. Maduka makubwa yaliongeseka Kariakoo na miji yote nchini na hivyo watu kuongeza uwezo wa kulea familia zao kimavazi, chakula na makazi.
Aliweka mazingira mazuri ya ukusanyaji mapato kama EFD machine kwa TRA na tochi kwa trafiki barabarani .
Alianzisha mchakato wa vitambulisho vya Taifa.
Aliweka mfumo bora wa kupiga kura kwa kuanzisha vitambulisho vya kupiga kura.
Alimarisha mazungumzo na hatimaye kuleta muafaka kwa Siasa za Zanzibar kati ya CUF na CCM pamoja na uhasama uliokuwepo wa muda mrefu.
Alimaliza mgogoro wa kisiasa Kenya.
Aliimarisha ulinzi wa amani DRC.
Alithubutu kupinga wazi wazi utawala wa kimabavu wa Kagame.
Tuliona ustawi wa Nyumba za ibada kimajengo ikiashiria kukua kwa mapato ya waumini wao.
Kuongezeka kwa utalii na Mahoteli ya kitalii.
Kuanzishwa kwa mradi wa mji mpya wa Kigamboni.
Alipeleka vijana wengi kusoma Udaktari na mambo ya gesi nje ya nchi.
Aliongeza idadi ya Majaji nchini .
Kwa mara ya kwanza wakulima wa Tanzania walivuna mazao na kukosa pa kuuza na hivyo kuomba wauze nje ya nchi.
Aliongeza idadi ya majiji kama Mwanza, Arusha, Mbeya n.k kutokana na kukua kwa kasi kwa shughuli za kiuchumi.
Vyombo vya habari kama Radio ziliongezeka karibu kila wilaya na Mkoa.
Wakina mama waliwezeshwa na kuwa wajasiria mali.
Wanafunzi wengi wa vyuo walipata mikopo.
Makato ya Bodi ya kikopo ilikua ni % ndogo.
Aliandaa vijana kuingia kwenye siasa za ushindani kwa hoja bila kupigana risasi na kutishiana maisha.
Watu wengi walisoma elimu ya juu ngazi ya digrii na masters wakiwa makazini kutokana na fursa kuwa nyingi.
Watu walikua na uhuru wa kubadili kazi.
Mabenki yalishamiri.
Biashara za fedha kupitia mitandao ya simu ilishamiri mpaka vijijini.

Aliruhusu mawaziri wake na watendaji wake kukosolewa na kuchunguzwa kwa kashfa zilizoibuliwa ndani ya serikali yake.
Na pale ilipobainika alichuka hatua za kuwasimamisha mawaziri wake.
Kashfa zote za ufisadi alichukua hatua na hata kuvunja baraza la mawaziri.
Kashfa ya Richmond alichukua hatua.
Kashfa ya Jairo kuhonga wabunge alichukua hatua.
Kashfa ya oparation Tokomeza na Kimbunga alichukua hatua.
Kashfa zilizoibuka mali asili alichukua hatua na kubadili mawaziri.
Kashfa ya Escrow alichukua hatua na kuwaondoa mawaziri.
Alitoa misaada ya chakula wakati wa njaa.
Hakua na ubaguzi wa kidini, kikabila wala jinsia.
Alishirika kwenye shida na raha za watanzania.

Na kadhalika na ladhalika.

Hayo ni kati ya mafanikio makubwa ya awamu ya nne.
Ni vema tukayatambua ili tujue kuwa tunaanzia wapi na tunarekebisha wapi. Hatuweze tukayapuuza yote.
Aliyofanya ni mengi kuliko aliyokosea kama Taifa tumenufaika kwa yale mazuri ambayo ni mengi.
Tujifunze na kuenzi yale mema na kurekebisha makosa ili tusonge mbele.
 
Niliwahi kukutana na jamaa mmoja mganda huko Kakurezato Japan, tukiwa pamoja mafunzoni na akanishangaza sana kuhusu yule aliyekuwa adui yetu watanzania miaka ya 70 nduli Idd Amin Dada.
Alisema kuwa Idd Amin pamoja na picha ya ubaya iliyokuwa ikionekana huku Tanzania kuhusu udikteta na unyanyasaji wa raia wa Uganda aliokuwa akiufanya bado alikuwa na mashabiki wengi sana Uganda ambao walimhesabu kama shujaa wao. Kilichonimaliza ni alipotamka maneno haya, naomba kuyanukuu;

"Idd Amin alikuwa na nia njema sana kwa nchi yetu Uganda na kwa Afrika nzima, alikuwa ni mzalendo wa kweli toka moyoni, aliuchukia sana ukoloni na wakoloni wa aina zote, na aliamua kuwanyanganya wageni mali zao ili kuwarudishia waganda, na hadi alifukuza jamii ya waasia na kuwarudisha kwao; kila aliyekua mpinzani wa mikakati madhubuti ya kizalendo ya rais mpendwa wa wakati huo Idd Amin basi mpinzani huyo aling'olewa duniani. Waganda wengi mwanzoni mwa miaka ya 70 waliamini Idd Amin angeifanya Uganda iwe sawa na Ulaya kiuchumi hadi kufikia mwaka 1980."

My take

Duh!

Hata uwe mbaya na mkatili kiasi gani, kuna watu watakutetea.
Hata uwe mzuri na mpole kiasi gani, kuna watu watakutafutia ubaya tu.
 
Niliwahi kukutana na jamaa mmoja mganda huko Kakurezato Japan, tukiwa pamoja mafunzoni na akanishangaza sana kuhusu yule aliyekuwa adui yetu watanzania miaka ya 70 nduli Idd Amin Dada.
Alisema kuwa Idd Amin pamoja na picha ya ubaya iliyokuwa ikionekana huku Tanzania kuhusu udikteta na unyanyasaji wa raia wa Uganda aliokuwa akiufanya bado alikuwa na mashabiki wengi sana Uganda ambao walimhesabu kama shujaa wao. Kilichonimaliza ni alipotamka maneno haya, naomba kuyanukuu;

"Idd Amin alikuwa na nia njema sana kwa nchi yetu Uganda na kwa Afrika nzima, alikuwa ni mzalendo wa kweli toka moyoni, aliuchukia sana ukoloni na wakoloni wa aina zote, na aliamua kuwanyanganya wageni mali zao ili kuwarudishia waganda, na hadi alifukuza jamii ya waasia na kuwarudisha kwao; kila aliyekua mpinzani wa mikakati madhubuti ya kizalendo ya rais mpendwa wa wakati huo Idd Amin basi mpinzani huyo aling'olewa duniani. Waganda wengi mwanzoni mwa miaka ya 70 waliamini Idd Amin angeifanya Uganda iwe sawa na Ulaya kiuchumi hadi kufikia mwaka 1980."

My take

Duh!
Hivi ni kwa nini watu hawakai wakazungumzia maendeleo yaliyopatikana awamu ya nne?
Au ni kwa sababu mheshimiwa yule alikua anatoka kakabila kadogo sana ambako kana wasomi wachache na wafanyabiashara wachache zaidi ambao hawana nafasi ya kusimama na kuyatangaza maendeleo aliyoyaleta na mzungulo mkubwa wa fedha na wakati huo huo akiwa anakaribia kabisa kuifanya nchi yake kuwa ya uchumi wa kati.
Aliimarisha demokrasia na uhuru wa kutoa maoni.
Aliibua vipaji vingi vikiwemo vya wanamuziki na wana soka.
Aliweza kuongeza idadi ya vyuo na udahili wa wanafunzi.
Alikua anaajiri hata mara mbili kwa kila mwaka na kusababisha kila mtu aweze angalau kupata kaunafuu ka maisha.
Alikua hafukuzi holela watumishi wa umma.
Aliweza kukaa na wafanyabiashara na heta kuwasaidia kwenye misamaha ya kodi kwa lengo la kuvutia wawekezaji na kukuza mitaji baade ajira kuongezeka sekta binafsi na pesa kuwafikia wananchi wa kawaida.
Aliimarisha miundo mbinu ya Jeshi la nchi yake kwa vifaa na maslahi.
Alijenga maelfu ya barabara za lami na za changarawe kwa malaki.
Alijenga majengo makubwa akihamasisha mifuko ya jamii.
Alijenga madaraja makubwa kama la Ligamboni n.k.
Alinunua manuari mbili za Jeshi.
Alikarabati na kujenga viwanja vya ndege kila nchi nzima.
Aliboresha hospitali za umma kama Muhimbili n.k.
Alianzisha miradi mikubwa ya maji maeneo mengi.
Alianzisha mchakato wa katiba mpya.
Alikenga ukumbi wa mwal.JK Nyerere.
Aliweka vifaa bora ikiwemo silaha kwa askari wa wanayama pori.
Alianza
Alikarabati uwanja wa mpira wà Uhuru.
Usawa mwenye ajira.
Usawa wa jinsia.
Mahusiano mazuri na vyama vingine vya upinzani pamoja na pingapinga yao.
Alikuaza diplomasia ya kimataifa.
Aliifanya Tanzania kuwa kati ya nchi za kupigiwa mfano mzuri wa demokrasia na uhuru wa mawazo Afrika.
Aligawa ruzuku za pembejeo kwa wakulima.
Alito ruzuku kwa familia maskini kupitia TASAF.
Alileta umeme wa REA.
Alianzisha miradi mikubwa ya uchimbaji wa gesi.
alianzisha mtandao wa Halotel.
Alijenga chuo cha UDOM.
Alianzisha mradi wa mabasi ya Mwendo kasi.
Wananchi waliboresha maisha yao kwa kupitia mikopo na kujenga nyumba bora maeneo ya vijijini na mijini.Watu waliboresha maisha yao na kununua magari binafsi na ya biashara.
Biashara za kwenda china na Thailand ziliongezeka. Maduka makubwa yaliongeseka Kariakoo na miji yote nchini na hivyo watu kuongeza uwezo wa kulea familia zao kimavazi, chakula na makazi.
Aliweka mazingira mazuri ya ukusanyaji mapato kama EFD machine kwa TRA na tochi kwa trafiki barabarani .
Alianzisha mchakato wa vitambulisho vya Taifa.
Aliweka mfumo bora wa kupiga kura kwa kuanzisha vitambulisho vya kupiga kura.
Alimarisha mazungumzo na hatimaye kuleta muafaka kwa Siasa za Zanzibar kati ya CUF na CCM pamoja na uhasama uliokuwepo wa muda mrefu.
Alimaliza mgogoro wa kisiasa Kenya.
Aliimarisha ulinzi wa amani DRC.
Alithubutu kupinga wazi wazi utawala wa kimabavu wa Kagame.
Tuliona ustawi wa Nyumba za ibada kimajengo ikiashiria kukua kwa mapato ya waumini wao.
Kuongezeka kwa utalii na Mahoteli ya kitalii.
Kuanzishwa kwa mradi wa mji mpya wa Kigamboni.
Alipeleka vijana wengi kusoma Udaktari na mambo ya gesi nje ya nchi.
Aliongeza idadi ya Majaji nchini .
Kwa mara ya kwanza wakulima wa Tanzania walivuna mazao na kukosa pa kuuza na hivyo kuomba wauze nje ya nchi.
Aliongeza idadi ya majiji kama Mwanza, Arusha, Mbeya n.k kutokana na kukua kwa kasi kwa shughuli za kiuchumi.
Vyombo vya habari kama Radio ziliongezeka karibu kila wilaya na Mkoa.
Wakina mama waliwezeshwa na kuwa wajasiria mali.
Wanafunzi wengi wa vyuo walipata mikopo.
Makato ya Bodi ya kikopo ilikua ni % ndogo.
Aliandaa vijana kuingia kwenye siasa za ushindani kwa hoja bila kupigana risasi na kutishiana maisha.
Watu wengi walisoma elimu ya juu ngazi ya digrii na masters wakiwa makazini kutokana na fursa kuwa nyingi.
Watu walikua na uhuru wa kubadili kazi.
Mabenki yalishamiri.
Biashara za fedha kupitia mitandao ya simu ilishamiri mpaka vijijini.

Aliruhusu mawaziri wake na watendaji wake kukosolewa na kuchunguzwa kwa kashfa zilizoibuliwa ndani ya serikali yake.
Na pale ilipobainika alichuka hatua za kuwasimamisha mawaziri wake.
Kashfa zote za ufisadi alichukua hatua na hata kuvunja baraza la mawaziri.
Kashfa ya Richmond alichukua hatua.
Kashfa ya Jairo kuhonga wabunge alichukua hatua.
Kashfa ya oparation Tokomeza na Kimbunga alichukua hatua.
Kashfa zilizoibuka mali asili alichukua hatua na kubadili mawaziri.
Kashfa ya Escrow alichukua hatua na kuwaondoa mawaziri.
Alitoa misaada ya chakula wakati wa njaa.
Hakua na ubaguzi wa kidini, kikabila wala jinsia.
Alishirika kwenye shida na raha za watanzania.

Na kadhalika na ladhalika.

Hayo ni kati ya mafanikio makubwa ya awamu ya nne.
Ni vema tukayatambua ili tujue kuwa tunaanzia wapi na tunarekebisha wapi. Hatuweze tukayapuuza yote.
Aliyofanya ni mengi kuliko aliyokosea kama Taifa tumenufaika kwa yale mazuri ambayo ni mengi.
Tujifunze na kuenzi yale mema na kurekebisha makosa ili tusonge mbele.

Umetisha sana mkuu.
 
Ukienda ujerumani kuna watu watakwambia hitler alikuwa na nia njema.

ukiwa dikteta haimaanishi utachukiwa na watu wote.

pia hakuna uhusiano kati ya udikteta na kuleta maendeleo.

unaweza ukawa dikteta na maendeleo ukaleta.

Hiyo inawezekana mkuu, ikiwa una uwezo wa kiakili na hekima kuunganisha malengo na nyakati, mazingira, wadau, vipaumbele pamoja na kuwa na uwezo wa kufanya maamuzi sahihi....

Angalia maamuzi aliyokuwa akiyafanya Idd Amin, kutangaza uadui usiokuwa na sababu tena wenye kuharibu maslahi ya nchi, kukandamiza haki za wapinzani ikiwa ni pamoja na kuwaua(kutengeneza uadui wa ndani maana unaowaua wana ndugu, marafiki, mitandao n.k), kupingana na wataalamu, kukataa mawazo mbadala, kuhusisha vyombo vya ulinzi na usalama na siasa, kutisha wawekezaji na kujiona mungu.
 
Baniani mbaya kiatu chake dawa.........alijitahidi sana kujenga uchumi wa Uganda. Aliwafurahisha sana waganda alipowatimua wahindi na uchumi/biashara kushikiliwa na waganda hasa baganda
 


Watu walimshangilia, alijinadi kupiga vita rushwa na blah blah nyingi lakini mwishowe!

Kilichowapata wenzetu waganda, kisitutokee watanzania....
 
Niliwahi kukutana na jamaa mmoja mganda huko Kakurezato Japan, tukiwa pamoja mafunzoni na akanishangaza sana kuhusu yule aliyekuwa adui yetu watanzania miaka ya 70 nduli Idd Amin Dada.
Alisema kuwa Idd Amin pamoja na picha ya ubaya iliyokuwa ikionekana huku Tanzania kuhusu udikteta na unyanyasaji wa raia wa Uganda aliokuwa akiufanya bado alikuwa na mashabiki wengi sana Uganda ambao walimhesabu kama shujaa wao. Kilichonimaliza ni alipotamka maneno haya, naomba kuyanukuu;

"Idd Amin alikuwa na nia njema sana kwa nchi yetu Uganda na kwa Afrika nzima, alikuwa ni mzalendo wa kweli toka moyoni, aliuchukia sana ukoloni na wakoloni wa aina zote, na aliamua kuwanyanganya wageni mali zao ili kuwarudishia waganda, na hadi alifukuza jamii ya waasia na kuwarudisha kwao; kila aliyekua mpinzani wa mikakati madhubuti ya kizalendo ya rais mpendwa wa wakati huo Idd Amin basi mpinzani huyo aling'olewa duniani. Waganda wengi mwanzoni mwa miaka ya 70 waliamini Idd Amin angeifanya Uganda iwe sawa na Ulaya kiuchumi hadi kufikia mwaka 1980."

My take

Duh!
Hapa unaleta lugha za mafumbo. Kuna kitu unakizungumza hapa ambacho kinahusu utawala wetu. Unabisha?
 
Hapa unaleta lugha za mafumbo. Kuna kitu unakizungumza hapa ambacho kinahusu utawala wetu. Unabisha?
Umewahi kupanda ndege halafu mkiwa angani mnatangaziwa rubani kafa ghafla na msaidizi wake ndiye anaendesha lakini kibaya ni kwamba amejidunga cocaine na ame-overdoze na wakati huo huo ndege iko 'nose down' kwa zaidi ya dakika 1 kwa kasi ya zaidi ya 900km/h. What do you think comes next in some few seconds?

Hata sijui kama nabisha au lah!
 
Back
Top Bottom