johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Rais Samia amesema Viongozi wa Serikali wajitahidi kutatua migogoro ya Ardhi kwa Wakati Kwani kuna migogoro mingi
Rais amesema Vita vingi duniani kwa sasa husababishwa na kugombea Ardhi na huko tunakoelekea Kugombea Maji kutaleta Vita pia
Sisi tulimpiga Idd Amin kwa sababu ya kuvamia Ardhi yetu, amesisitiza
Source TBC
Nawatakia Dominica njema 🌟
Rais amesema Vita vingi duniani kwa sasa husababishwa na kugombea Ardhi na huko tunakoelekea Kugombea Maji kutaleta Vita pia
Sisi tulimpiga Idd Amin kwa sababu ya kuvamia Ardhi yetu, amesisitiza
Source TBC
Nawatakia Dominica njema 🌟