mosieJ
Member
- Sep 18, 2016
- 9
- 4
Ukisafiri routes za makambako~songea~lindi to DSM kuna baadhi ya gari zina utaratibu mbovu kwel mda wa kuchimba Dawa abiria wanashushwa porini utasikia kiume mbele ya gari na kike nyuma ya gari watu wazima kwa sababu tuu wamebanwa hawana namna
Chamsingi vyoo vipo humo njiani sijui kwanini mantinki isifuatwe!
Sent using Jamii Forums mobile app
Chamsingi vyoo vipo humo njiani sijui kwanini mantinki isifuatwe!
Sent using Jamii Forums mobile app