Mkurugenzi wa Manispaa Kigoma, Waziri husika na viongozi wengine wanaoweza kusaidia hili, fuatilieni Ofisi ya Utumishi Kgm kuna tatizo somewhere.
Wafanyakazi wananyanyaswa.
Wastaafu mafaili yao yanafichwa ili watoe chochote kwanza.
Kauli mbaya kwa Wahitaji wa huduma.
Ninaendelea kufanya utafiti then nitarudi hapa na nyaraka mbalimbali za kudhihirisha hayo.
Wafanyakazi wananyanyaswa.
Wastaafu mafaili yao yanafichwa ili watoe chochote kwanza.
Kauli mbaya kwa Wahitaji wa huduma.
Ninaendelea kufanya utafiti then nitarudi hapa na nyaraka mbalimbali za kudhihirisha hayo.

