Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,502
- 6,403
Kwa sasa nchi yetu imekumbwa na changamoto ya wahamiaji haramu wanaotoka nchi mbalimbali hasa Somalia, Ethiopia, Rwanda, Kenya Na kwingineko huko
Kuna haja sasa ya idara ya uhamiaji Tanzania kusogeza ushirikishwaji wa wananchi ili kuweza kukomesha au kupunguza wahamiaji haramu hapa nchini
Idara ianzishe namba ya simu wananchi tuwapigie simu kuwataarifu juu ya watu hao wanaozamia hapa nchini kwetu bila kufuata utaratibu
Kama PCCB wanayo namba na namna hii, Idara ya uhamiaji nayo iige jambo hili jema kwa ulinzi na usalama wa nchi yetu
Kuna haja sasa ya idara ya uhamiaji Tanzania kusogeza ushirikishwaji wa wananchi ili kuweza kukomesha au kupunguza wahamiaji haramu hapa nchini
Idara ianzishe namba ya simu wananchi tuwapigie simu kuwataarifu juu ya watu hao wanaozamia hapa nchini kwetu bila kufuata utaratibu
Kama PCCB wanayo namba na namna hii, Idara ya uhamiaji nayo iige jambo hili jema kwa ulinzi na usalama wa nchi yetu