OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 3,628
- 9,175
Mimi ni Raia mwema nina nia njema wala sina kinyongo na mtu yeyote, kwa sasa naishi Mtwara lakini nimewahi kufika hapo Ofisi za TRA Morogoro mjini.
Kuna watumishi baadhi yao hapo ofisini ukiwaangalia tu lazima upate wasi wasi na uraia wao, kwa wale ambao mmewahi kuingia hapo nadhani mnaweza kuelezea zaidi.
Mimi ni raia mwema natoa tu taarifa, kama nitakuwa nimevunja sheria yeyote Mods fanyeni uhalili au chukueni umiliki wa hii post.
Nawasilisha.
Kuna watumishi baadhi yao hapo ofisini ukiwaangalia tu lazima upate wasi wasi na uraia wao, kwa wale ambao mmewahi kuingia hapo nadhani mnaweza kuelezea zaidi.
Mimi ni raia mwema natoa tu taarifa, kama nitakuwa nimevunja sheria yeyote Mods fanyeni uhalili au chukueni umiliki wa hii post.
Nawasilisha.