K Koryo2 JF-Expert Member Nov 28, 2016 2,056 2,515 Dec 20, 2016 #21 Ndugu Gachuma ndiye Mwenyekiti wa Bodi mumtafute na awape matumaini.
serengo JF-Expert Member Jul 30, 2013 478 339 Dec 20, 2016 Thread starter #22 munyagamasero said: Mbona walishatoa sababu? Kwa nini @ kitu ufikirie ni jipu? Click to expand... Hiyo sababu wametoa Jana lakini hadi Leo mtaani kwangu hakuna maji,hayo ni majipu
munyagamasero said: Mbona walishatoa sababu? Kwa nini @ kitu ufikirie ni jipu? Click to expand... Hiyo sababu wametoa Jana lakini hadi Leo mtaani kwangu hakuna maji,hayo ni majipu
hibiscus interior JF-Expert Member Jan 13, 2016 1,168 594 Jul 25, 2017 #23 Mwanza imekuwaje na maji. Hiv mwanza ipo pemben ya ziwa kwel????? Sent using Jamii Forums mobile app