Inasikitisha kuona kuwa Idara zetu nyeti haziko tayari katika kazi zao, na ndio maana tunaona wanavyo litia aibu Taifa wakati huu wa kifo na mazishi ya Raisi wetu mpendwa.
1. IKULU na Idara zote zinazohusika na Raisi wa nchi, hawakuwa sawa na madhubuti tokea Raisi aanze kuuguwa, si ajabu hata walishindwa kumuuguza Raisi kwa wakati muafaka. Hili linahitaji Uchunguzi wa kina na iwapo kutapatikana dosari zozote basi sheria ichukue mkondo
2. Idara Husika zingechukua hatua zilizopangwa vizuri kuwajuza wananchi kuwa Raisi anauugua, ili watu wangekuwa wanafuatilia hali ya kiongozi wao. Tanzania kama dola tumepata aibu sana kwa kigeugeu hichi kilicholetwa na unprofessionalism ya wahusika. HAPA PANAHITAJIKA KUBADILISHWA NA WATU MAKINI KUWEKWA
3. Wakalimani kwenye mazishi, Hawa wametutia aibu sana. Ninashauri Boss wa hawa wakalimani ATUMBULIWE HARAKA SANA, huyusi ajabu amelitia janga Taifa pahali pengi. Hawa wakalimani sijui wamepewa hii kazi kiNDUGU au Kikabila. Tokea Jana najiuliza hivi hawa ndio waliokuwa wanawatafsiria mazungumzo Raisi na Mawaziri katika mikutano na viongozi wa njee au Mashirika yanayokuja kuwekeza, kama ni hivyo basi mambo mengi yameenda MRAMBA. HATUA STAHIKI ICHUKULIWE
4. Mheshimiwa Waziri Kabudi, kama MC wa tukio la Jana, jee alikaa na wahusika wote hata hawa wakalimani na wakafanya mazoezi ya hii shughuli kubwa na muhimu kwa TAIFA, au kama kawaida ya viongozi wetu, watakuwa wamekurupuka papo hapo na kumparamia mkalimani kwa matusi na vitisho, Huku kosa ni la kwao. Sijui Marehemu Raisi alijisikiaje kwenye JENEZA, nadhani alipiga kelele nyingi za SAMIA TUMBUWA HAO WOTE NA HATA HUYO PROFESSOR JALALANI, lakini maskini sauti yake inasikika peponi na haisikiki duniani tena.
1. IKULU na Idara zote zinazohusika na Raisi wa nchi, hawakuwa sawa na madhubuti tokea Raisi aanze kuuguwa, si ajabu hata walishindwa kumuuguza Raisi kwa wakati muafaka. Hili linahitaji Uchunguzi wa kina na iwapo kutapatikana dosari zozote basi sheria ichukue mkondo
2. Idara Husika zingechukua hatua zilizopangwa vizuri kuwajuza wananchi kuwa Raisi anauugua, ili watu wangekuwa wanafuatilia hali ya kiongozi wao. Tanzania kama dola tumepata aibu sana kwa kigeugeu hichi kilicholetwa na unprofessionalism ya wahusika. HAPA PANAHITAJIKA KUBADILISHWA NA WATU MAKINI KUWEKWA
3. Wakalimani kwenye mazishi, Hawa wametutia aibu sana. Ninashauri Boss wa hawa wakalimani ATUMBULIWE HARAKA SANA, huyusi ajabu amelitia janga Taifa pahali pengi. Hawa wakalimani sijui wamepewa hii kazi kiNDUGU au Kikabila. Tokea Jana najiuliza hivi hawa ndio waliokuwa wanawatafsiria mazungumzo Raisi na Mawaziri katika mikutano na viongozi wa njee au Mashirika yanayokuja kuwekeza, kama ni hivyo basi mambo mengi yameenda MRAMBA. HATUA STAHIKI ICHUKULIWE
4. Mheshimiwa Waziri Kabudi, kama MC wa tukio la Jana, jee alikaa na wahusika wote hata hawa wakalimani na wakafanya mazoezi ya hii shughuli kubwa na muhimu kwa TAIFA, au kama kawaida ya viongozi wetu, watakuwa wamekurupuka papo hapo na kumparamia mkalimani kwa matusi na vitisho, Huku kosa ni la kwao. Sijui Marehemu Raisi alijisikiaje kwenye JENEZA, nadhani alipiga kelele nyingi za SAMIA TUMBUWA HAO WOTE NA HATA HUYO PROFESSOR JALALANI, lakini maskini sauti yake inasikika peponi na haisikiki duniani tena.