badison
JF-Expert Member
- May 29, 2015
- 1,451
- 2,692
Kwa sasa Serikali ya Tanzania hasa Bara kuna wasaliti flani ambao ni wahaini hawana utii sio tu kwa mamlaka bali hata kwa kiongozi mkuu wa nchi. Ni wazi kuwa ile dhana inayoogopwa ya government inside the government inajionyesha sura yake katika uongozi wa serikali wa awamu ya sita.
Dhana ya serikali ndani ya serikali kwa lugha nyingine ni deep state. Kuna makundi mawili ambayo yanaongozwa na Clowns wanaojifanya wao wana akili sana kuliko Mamlaka za Nchi na mkuu wa nchi. Serikali ya awamu ya Tano ilijitahidi sana kupambana na hawa deep state na kupelekea mkuu wa Nchi Hayati JPM kutukanwa sana yeye pamoja na mama yake na kuchafua dhamira na taswira ya serikali yake.
Kuwepo kwa deep state kuna punguza nguvu yako kama mkuu wa nchi na pia kunawekwa ucheleweshwaji wa makusudi wa jitihada za serikali. Kwa sasa Tanzania hakuna deep state yoyote nihawa Clowns wahaini wachache ambao ni wasaliti. Hawa wasaliti makundi mawili ndio wanajifanya wao ndio deep state.
Wahaini hao ambao ni vikundi viwili vinavyo shindana kwa falsafa za kugawa nchi havina hatari wala ushawishi wowote. Sio kwa katiba hii ya mwaka 1977 tulionayo. Katiba hii inakupa mamlaka wewe kumchagua umtakaye na nani umuondoe.
Usije ukaingia kwenye mtego wa kuchagua kikundi utagawa chama chako na utaigawa serikali yako na utajichimbia anguko lako. Nakushauri waondoe hawa watu wa makundi haya katika uso wa siasa za Tanzania kama JPM alivyo fanya.
Hakuna anaye kupenda katika makundi hayo bali ni watu wenye tamaa kali na maslahi ya kutaka kushika nchi na kujinufaisha wao kama kikundi.. Makundi hayo ya wahaini na wasaliti wa serikali kuu wameanzisha hizo Cartel kwa lengo la kutaka kushika dola na kusaliti watanzania wote. Wanataka vikundi au kikundi kimoja wapo kiwe na monopoly katika siasa za tanzania ili tufanane na nchi kama kenya. Hii sio sawa na haikubaliki.
Muda sio mrefu wataanza kampeni za kusema nani anafaa kuwa raisi 2025 na kama utachelewa kuwaondoa hawa watu mapema utawapa ushawishi mkubwa sana.
Watu tunakuangalia wewe tuone utafanyaje kwani changamoto uliyokuwa nayo ni ndogo sana ondoa hofu wewe ndio mkuu wa nchi. Mimi sikushauri kitu ila jua kuna watu ni watiifu sana na hawana majina wala umaarufu wa kisiasa lakini uongozi wanaujua na wana mapenzi na nchi yao.
Kwa mwaka 2022 vunja hilo baraza na uondoe masalia ya awamu ya tano na pia uondoe viashiria vya awamu ya nne vinavyoanza kujitokeza sura yake katika serikali yako na kufanya uonekane kama haupo huru katika utawala wako.
Mamlaka unayo usimwogope mtu. Jeshi lipo chini yako na Idara ya usalama wa Taifa ipo chini yako na kama wananchi tuna kuheshimu na hizo mamlaka zinakuheahimu pia.
Hawa wahaini wamepanga kukusumbua sana mwaka 2022. Waondoe haraka dalili zao sio nzuri vunja baraza la mawaziri chagua watu ambao hawana makundi yoyote chagua watu watakao ona Vision yako ni wapi unataka kutupeleka.
Namalizia kwa kukupa tofauti kati ya siasa za Tanzania na Afrika Kusini. Hapa Tanzania hatuja tenganisha kofia ya uraisi na mwenyekiti wa chama ndio mana nguvu unayo na hawa Clowns unaweza kudeal nao haraka sana na kuwafuta kabisa. Afrika kusini wao wametenganisha kofia za uraisi na mwenyekiti wa chama ndio mana mwenyekiti wa chama ANC anaweza kushindana na Raisi.
Zingatia usijiunganishe na kundi lolote kati ya haya. Makundi mawili wala usipatane na adui yako ambao ni haya makundi. Hayo makundi wote ni maadui zako na ni maadui wa Taifa kwani mipango yao ni Uhaini. Kama watu ni maadui zako usijipatanishe nao Wamalize kabla hawajakumaliza.
Katiba ya Tanzania ni moja kati ya katiba bora ndio mana huwezi kuskia wala kuona migongano kati ya mihimili nakukumbusha yanayo tokea kenya ndio hayo yataanza kujitokeza hapa Tanzania. Wataanza kukuchafua na kukuzushia. Jiandae sasa Unaingia Vitani.
Watanzania watiifu tuna kupenda sana na tuna kuheshimu sana. Kama amirijeshi mkuu waadhibu hawa Clowns wasaliti bila kujali una historia nao gani adui yako ni yule mtu wa nyumbani kwako. 2025 sio mbali hata kama huna dhamira ya kuendelea kuongoza hakikisha hawa maaduni wa makundi haya mawili hawana nguvu wala ushawishi wowote 2025 usipo fanya hivo utaingiza serikali na chama chako katika mpasuko mkubwa sana.
Hi hayo tu.
Dhana ya serikali ndani ya serikali kwa lugha nyingine ni deep state. Kuna makundi mawili ambayo yanaongozwa na Clowns wanaojifanya wao wana akili sana kuliko Mamlaka za Nchi na mkuu wa nchi. Serikali ya awamu ya Tano ilijitahidi sana kupambana na hawa deep state na kupelekea mkuu wa Nchi Hayati JPM kutukanwa sana yeye pamoja na mama yake na kuchafua dhamira na taswira ya serikali yake.
Kuwepo kwa deep state kuna punguza nguvu yako kama mkuu wa nchi na pia kunawekwa ucheleweshwaji wa makusudi wa jitihada za serikali. Kwa sasa Tanzania hakuna deep state yoyote nihawa Clowns wahaini wachache ambao ni wasaliti. Hawa wasaliti makundi mawili ndio wanajifanya wao ndio deep state.
Wahaini hao ambao ni vikundi viwili vinavyo shindana kwa falsafa za kugawa nchi havina hatari wala ushawishi wowote. Sio kwa katiba hii ya mwaka 1977 tulionayo. Katiba hii inakupa mamlaka wewe kumchagua umtakaye na nani umuondoe.
Usije ukaingia kwenye mtego wa kuchagua kikundi utagawa chama chako na utaigawa serikali yako na utajichimbia anguko lako. Nakushauri waondoe hawa watu wa makundi haya katika uso wa siasa za Tanzania kama JPM alivyo fanya.
Hakuna anaye kupenda katika makundi hayo bali ni watu wenye tamaa kali na maslahi ya kutaka kushika nchi na kujinufaisha wao kama kikundi.. Makundi hayo ya wahaini na wasaliti wa serikali kuu wameanzisha hizo Cartel kwa lengo la kutaka kushika dola na kusaliti watanzania wote. Wanataka vikundi au kikundi kimoja wapo kiwe na monopoly katika siasa za tanzania ili tufanane na nchi kama kenya. Hii sio sawa na haikubaliki.
Muda sio mrefu wataanza kampeni za kusema nani anafaa kuwa raisi 2025 na kama utachelewa kuwaondoa hawa watu mapema utawapa ushawishi mkubwa sana.
Watu tunakuangalia wewe tuone utafanyaje kwani changamoto uliyokuwa nayo ni ndogo sana ondoa hofu wewe ndio mkuu wa nchi. Mimi sikushauri kitu ila jua kuna watu ni watiifu sana na hawana majina wala umaarufu wa kisiasa lakini uongozi wanaujua na wana mapenzi na nchi yao.
Kwa mwaka 2022 vunja hilo baraza na uondoe masalia ya awamu ya tano na pia uondoe viashiria vya awamu ya nne vinavyoanza kujitokeza sura yake katika serikali yako na kufanya uonekane kama haupo huru katika utawala wako.
Mamlaka unayo usimwogope mtu. Jeshi lipo chini yako na Idara ya usalama wa Taifa ipo chini yako na kama wananchi tuna kuheshimu na hizo mamlaka zinakuheahimu pia.
Hawa wahaini wamepanga kukusumbua sana mwaka 2022. Waondoe haraka dalili zao sio nzuri vunja baraza la mawaziri chagua watu ambao hawana makundi yoyote chagua watu watakao ona Vision yako ni wapi unataka kutupeleka.
Namalizia kwa kukupa tofauti kati ya siasa za Tanzania na Afrika Kusini. Hapa Tanzania hatuja tenganisha kofia ya uraisi na mwenyekiti wa chama ndio mana nguvu unayo na hawa Clowns unaweza kudeal nao haraka sana na kuwafuta kabisa. Afrika kusini wao wametenganisha kofia za uraisi na mwenyekiti wa chama ndio mana mwenyekiti wa chama ANC anaweza kushindana na Raisi.
Zingatia usijiunganishe na kundi lolote kati ya haya. Makundi mawili wala usipatane na adui yako ambao ni haya makundi. Hayo makundi wote ni maadui zako na ni maadui wa Taifa kwani mipango yao ni Uhaini. Kama watu ni maadui zako usijipatanishe nao Wamalize kabla hawajakumaliza.
Katiba ya Tanzania ni moja kati ya katiba bora ndio mana huwezi kuskia wala kuona migongano kati ya mihimili nakukumbusha yanayo tokea kenya ndio hayo yataanza kujitokeza hapa Tanzania. Wataanza kukuchafua na kukuzushia. Jiandae sasa Unaingia Vitani.
Watanzania watiifu tuna kupenda sana na tuna kuheshimu sana. Kama amirijeshi mkuu waadhibu hawa Clowns wasaliti bila kujali una historia nao gani adui yako ni yule mtu wa nyumbani kwako. 2025 sio mbali hata kama huna dhamira ya kuendelea kuongoza hakikisha hawa maaduni wa makundi haya mawili hawana nguvu wala ushawishi wowote 2025 usipo fanya hivo utaingiza serikali na chama chako katika mpasuko mkubwa sana.
Hi hayo tu.