Tetesi: Idara kuwa 6 na Vitengo 2 tu

Econometrician

JF-Expert Member
Oct 25, 2013
15,795
28,450
Kuna tetesi kuwa kutakuwa na mabadiliko ya Idara na Vitengo katika Halmashauri za Wilaya,Miji na Manisipaa.
Idara zitakuwa ni
1.Utawala,Mipango na Fedha
2.Majengo,Mitambo,Miundombinu na Maji
3.Maliasili,Ardhi,Nyuki na Mazingira
4.Afya,Usafi na Ustawi wa Jamii
5.Elimu
6.Kilimo,Mifugo,Umwagiliaji na Ushirika

VITENGO NI
1.Sheria
2.Ukaguzi wa Ndani
Hili jambo ni jema kwa kiasi fulani maana hadi sasa Idara na Vitengo Ndani za Halmashauri za Wilaya na Miji zilikuwa zaidi ya 18
kwa sasa kutakuwa na Wakuu wa Idara 6 na Vitengo 2 Jumla 8.

Tukichukulia kwa Dhana ya Kupunguza Matumizi (Mishahara) ina maana Wakuu wa Idara na Vitengo 12 katika kila Halmashauri za Wilaya,Miji,Manisipaa lazima Wapigwe chini. Hii inamanisha ktk halmashauri 185@12=2,220x 3,400,000 tutaokoa Tshs 7,548,000,000 kwa mwezi
Swali la msingi ni kuwa MISHAHARA YA HAWA WAKUU WA IDARA NA VITENGO ITASHUSHWA?? NA KUREJEA KWENYE MISHAHARA YA MUUNDO WA VYEO VYAO VYA AWALI KABLA YA UTEUZI WAO???
Na kama ikiwa Hivyo Itabidi kanuni na Taratibu zinazohusu mishashara ya Mfanyakazi inabidi zivunjwe!!
Na kama wataendelea kulipwa Mishahara yao ya Million 3.4 kutakuwa na maana gani ya kupunganisha hizi idara??
 
watu wengi watapoteza ajira ila wewe unafurahi eti unabana matumizi

hii nchi tunakwenda wapi ?
Hakuna mtu atapoteza ajira bali wata hamishiwa kwenye vitengo vingine? Hivi unajua sheria za utumishi wa Umma? Kama mgelikuwa mna msikiliza waziri wa tamisemi bungeni wala msingalisema haya hili jambo halikuanza kuongelewa leo!
Kuna tetesi kuwa kutakuwa na mabadiliko ya Idara na Vitengo katika Halmashauri za Wilaya,Miji na Manisipaa.
Idara zitakuwa ni
1.Utawala,Mipango na Fedha
2.Majengo,Mitambo,Miundombinu na Maji
3.Maliasili,Ardhi,Nyuki na Mazingira
4.Afya,Usafi na Ustawi wa Jamii
5.Elimu
6.Kilimo,Mifugo,Umwagiliaji na Ushirika

VITENGO NI
1.Sheria
2.Ukaguzi wa Ndani
Hili jambo ni jema kwa kiasi fulani maana hadi sasa Idara na Vitengo Ndani za Halmashauri za Wilaya na Miji zilikuwa zaidi ya 18
kwa sasa kutakuwa na Wakuu wa Idara 6 na Vitengo 2 Jumla 8.

Tukichukulia kwa Dhana ya Kupunguza Matumizi (Mishahara) ina maana Wakuu wa Idara na Vitengo 12 katika kila Halmashauri za Wilaya,Miji,Manisipaa lazima Wapigwe chini. Hii inamanisha ktk halmashauri 185@12=2,220x 3,400,000 tutaokoa Tshs 7,548,000,000 kwa mwezi
Swali la msingi ni kuwa MISHAHARA YA HAWA WAKUU WA IDARA NA VITENGO ITASHUSHWA?? NA KUREJEA KWENYE MISHAHARA YA MUUNDO WA VYEO VYAO VYA AWALI KABLA YA UTEUZI WAO???
Na kama ikiwa Hivyo Itabidi kanuni na Taratibu zinazohusu mishashara ya Mfanyakazi inabidi zivunjwe!!
Na kama wataendelea kulipwa Mishahara yao ya Million 3.4 kutakuwa na maana gani ya kupunganisha hizi idara??
 
Kila siku unakata miti. Unatengeneza jangwa. Halafu bado unategemea mvua inyeshe kwa wingi. Hatari sana.

Hapo unapoteza P.A.Y.E., unapoteza "purchasing power" iliyokuwepo. Unaongeza idadi ya wasio na ajira. Utakusanya kodi kutoka wapi? Inashangaza sana.

Haya ni madhara ya mawazo ya mtu mmoja kuendesha watu zaidi ya milioni 50....
 
Ndiyo maana promotions zimesimamishwa kwa muda ili haya yafanyike. Hao nyuki dar mnafugia wapi?
 
Hakuna mtu atapoteza ajira bali wata hamishiwa kwenye vitengo vingine? Hivi unajua sheria za utumishi wa Umma? Kama mgelikuwa mna msikiliza waziri wa tamisemi bungeni wala msingalisema haya hili jambo halikuanza kuongelewa leo!
kumbe unajitiaga hamnazo tu au ukiwa wa kijani unabadilishana akili na mwanao ?
 
Karibuni mashetani.....karibuni sana maana barabara ya kuja huku kuzimu ni pana sana hivyo hamtabanana.

Mlizani hapa kazi tu ni kuwahi kuingia ofisini na tai? Hata kugombea rimoti na mwanao nyumbani baada ya kufukuzwa kazi pia ni Kazi.

Chagua jina linalokufaa katika utawala wa kuzimu,Makata? Maimuna?Subiani?
 
watu wengi watapoteza ajira ila wewe unafurahi eti unabana matumizi

hii nchi tunakwenda wapi ?
Mkuu sifurahii ila ninaandika kutokana na uhalisia wa jambo maana lengo leo la serikali kufanya hvyo ni kupunguza matumizi
 
Hakuna mtu atapoteza ajira bali wata hamishiwa kwenye vitengo vingine? Hivi unajua sheria za utumishi wa Umma? Kama mgelikuwa mna msikiliza waziri wa tamisemi bungeni wala msingalisema haya hili jambo halikuanza kuongelewa leo!
Watahamishiwa kwenye vitengo vingine vipi wakati ndo vimepunguzwa?
 
Karibuni mashetani.....karibuni sana maana barabara ya kuja huku kuzimu ni pana sana hivyo hamtabanana.

Mlizani hapa kazi tu ni kuwahi kuingia ofisini na tai? Hata kugombea rimoti na mwanao nyumbani baada ya kufukuzwa kazi pia ni Kazi.

Chagua jina linalokufaa katika utawala wa kuzimu,Makata? Maimuna?Subiani?
duuuh haaaahaaa umetisha ina mana huko kuzimu ndio vipo viwanda?
 
Vyeo vyote ni vya wana ccm
1468062261376.jpg
 
ajira zinapungua tu!
Lakini sometime ukiwaza kama binadamu ambaye survival is a order of the day kuna maswali unaweza kujiuliza:
- hivi wasio ajiliwa serikalini huwa wanaishije!?
- hivi ni busara kuwa na wafanyakazi wengi kwa kisingizio cha ajira huku wakizalisha negatives!?
- tunajua hakuna 'wakulima hewa', sasa ni busara kuwa na heka 50 za shamba na wafanyakazi 100,000 wasioweza kuzalisha hata chakula chao!? ...achana na kulisha wilaya au mkoa mzima!
 
Hakuna mtu atapoteza ajira bali wata hamishiwa kwenye vitengo vingine? Hivi unajua sheria za utumishi wa Umma? Kama mgelikuwa mna msikiliza waziri wa tamisemi bungeni wala msingalisema haya hili jambo halikuanza kuongelewa leo!
Sasa hivi hakuna kuhamishiwa kwingine mdau,au hujui hilo,?????
 
Utaratibu mzuri sana huu!Viva JPM na washauri wako kuhusiana na hili kupunguza idara.
Unakuta Maafisa Elimu 10,wakiwa hawana hata kazi za kufanya ofisini,zaidi ya kupiga umbeya na kutafuta dili za rushwa,jambo linalopunguza ufanisi wa utoaji elimu.Hii hutokea hata kwa idara zingine.
Mfano,unakuta
Elimu msingi wilayani kuna
1.Afisa Elimu
2.Taalum No.1,No.2,No.3,
3.Vielelezo No.1,No2,No3. 4.Ufundi.
5.Sayansi kimu.
6.Mazingira
7.Elimu Maalum
8.Michezo
9.Watu wazima
10.Vifaa
Pia unakuta kuna Waratibu TRC na waratibu elimu kata wakutosha, ambao wanahesabika wapo kazini lakini hawana vipindi darasani.
Narudia kuunga mkono mpango huu wa kurejebisha idara wilayani kuongeza ufanisi
 
Back
Top Bottom