Watu bwana!!! tuko selfish sana!! Yaani tunapenda tu kutanua na hatutaki watoto wengi!! yaani sielewi..msomi unakuwa na mtoto 1 au wawili??
Minimum kwa wasomi iwe ni 5 na wamachinga iwe 3!
Wasomi you are not doing Justice to the future welfare of Tz!
Eti unakuta Professor mzima ana watoto wawili ..na mmachinga ana watoto 6! If this fair kwa future ya hili taifa kweli?