idadi ya watoto vs maisha bora

Watu bwana!!! tuko selfish sana!! Yaani tunapenda tu kutanua na hatutaki watoto wengi!! yaani sielewi..msomi unakuwa na mtoto 1 au wawili??

Minimum kwa wasomi iwe ni 5 na wamachinga iwe 3!

Wasomi you are not doing Justice to the future welfare of Tz!

Eti unakuta Professor mzima ana watoto wawili ..na mmachinga ana watoto 6! If this fair kwa future ya hili taifa kweli?


Nakukubali,nimeona hili kwa sana mitaani,wasomi wana watoto wachache tatizo wanaogopa maisha eti maisha ni magumu, sasa suala la kuogopa maisha ni kitu ambacho kwa mtazamo wangu naona kama ni kinyume na mapenzi ya Mungu (kama sikosei) wakati Mungu mwenyewe ndo hutoa neema ya kuzaa watoto kadhaa katika familia.

Wewe unaweza ukasema nitazaa watoto labda wawili(2), wakati Mungu pengine amepanga mzae watoto labda wanne(4) au watano(5). Kwa mtazamo ki-Mungu ni kwamba unao uwezo wa kutunza watoto wengi tu.

Msiogope maisha jamani.Mwombeni Mungu atawaongozeni na kuwajulisheni mzae wangapi na malezi ya watoto pia atawapa maarifa ya kuwatunza.

Kwa Mungu kila kitu kinawezekana.
 
Back
Top Bottom